TANZIA Dkt. Deogratius Rugaimukamu afariki dunia

TANZIA Dkt. Deogratius Rugaimukamu afariki dunia

Rest well Deogratius Rugaimukamu
Pole kwa wafiwa na wote walioguswa na msiba
 
R. I. P. Deo. POLENI SANA PROFS. KATAPA , AKARO NA MBAGO KWA KUONDOKEWA NA MWENZENU.!
 
Rest in peace mwalimu wangu Dr. Rugaimukamu.
Poleni sana nyote mlioguswa na msiba huu.
 
Siku hizi hatuambiwi chanzo cha kifo. RIP professor
 
Daa RIP babu. Kanifundisha Linear modal , ni pigo kwa wanafunzi wa actuarial science na takwimu . Mzee alikuwa anahekima sana na hakasiriki
 
Corona.si unaona watabiri wanavyopiga ramli?
Sikuwa na access na was up ya classmates leo ndio nimepata na kuufahamisha umma wa jf .. je, ni kosa ?
na kabla sijapost hapa nmejiridhisha hakuna habari kama Hyo hapa jukwaani.
Wasiwasi wako ni Nini labda?
 
Wekeni potential solutions ya nini kifanyike practically in our context na labda atafanya maana ni member humu na anasoma comments daily. Kulalamika tuuu haitusaidii sisi wote

Poleni sana kwa msiba. Hili janga sasa imefika mahali liwe personalized na kila mtu ajikinge kivyake.
Kuna marufuku ya kujadili ugonjwa fulani toka Tisiaraei inatrend watsap..watu wafanyeje?.

tuendelee kuchukua tahadhari
 
Kuna marufuku ya kujadili ugonjwa fulani toka Tisiaraei inatrend watsap..watu wafanyeje?.

tuendelee kuchukua tahadhari
Huutaji. Sema “nyumonia” au “changamoto ya upumuaji” huku ukichukua hatua stahiki
 
Jamani family yoyote yenye watu wakubwa au maradhi mengine tuache kuwatembela bila sababu muhimu tuwalinde hawa wazee. Kijana unaweza kuwa na corona lakini usijue ukampa mzee ukamleta matatizo. sisemi kama hii corona inaweza kuwa issue nyingine ila hili ni angalizo tu punguzeni visafari kwa wazee au ziara sio za lazima. pigeni simu tu kwa sasa.
Hakuna corona wewe acha kudanganya umma
 
Back
Top Bottom