Ngurukia
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 4,407
- 16,942
Tumuhukumu kwa anachokifanya sasa na sio atakaloweza kufanya baadae. Kwa sasa yupo vizuri mno. Ni mmoja kati ya mawaziri ambao wapo hands on katika mambo yanayohusiana na wizara yake.Alikua anakera sana yani jins alivokua akifanya kazi mim adi leo simuelew kabisa sabu nahis akija rais kama jiwe atakua kama vile tena