Dkt. Dorothy Gwajima: Kama unataka nitumbuliwe ili uchukue nafasi yangu, fanya kazi zaidi yangu sio ufitini

Say it more! She is too local, and you? Exotic? That is garbage, men! Acha mshike adabu. Wizi imekuwa ni sehemu ya kazi yenu. Hamujiongezi, hatusikii ubunifu wowote ktk hospitali. Mulichosoma chuoni ni hichochicho kila siku! Hata kujifukiza kuzuia corona ni ubunifu wa watu nje ya sekta ya afya. If the minister is too local, you are too brain locked.
 
Ukimfuatilia vizuri wala hata hakuna anayemnyoosha hadi sasa. Yeye ni full kubwabwaja tu. Yaani hata haeleweki kama kweli yupo serious au labda anafanyia mzaha hiyo kazi. Huyu waziri utendaji wake haueleweki kabisa.
Wewe TAGA nini kimekutokea
 
Ndugu wamejaribu kumuongopea kaonyesha dawa zipo those are the established facts.

Acha kutengeneza scenario to justify unethical practices, wewe kama mtaalamu uwe M.D, nurse pharmacist or any other clinician ukufundishwa siku zote unatakiwa kutoa evidence based arguments or when making health decision for patients apply available evidence.

Wote tumeona uzembe alioibua hakuna anaejua balance sheet ya hiyo hospitali so achana na hizo hoja za kitoto kutengeneza mazingira ambayo hayana evidence.

Vinginevyo leta bank statement ya ukerewe hospital ndio useme hawana hela ya kununua dawa.
 
Mnateua mtu wa Buza kuwa Waziri mnategemea nini ?
 
Naongelea huu anao uongelea Field Marshall, waziri wa Afya.

Uozo unaouona ni yeye kushindwa kuhudumu na kuimudu nafasi yake au ni madudu anayoibua?

 
Just note; MSD na wizara ya Afya na hospitali are in a circle of thieves! MSD imekuwa ni kitovu cha wizi kwa miaka sasa!
 
Uozo unaouona ni yeye kushindwa kuhudumu na kuimudu nafasi yake au ni madudu anayoibua?

Ni madudu anayoibua, yaliyotendeka ndani ya awamu hii hii ya 5 ambayo inaongozwa na CCM Mpya.

Msingi wa swali langu ni, je CCM Mpya tuanze kuangalia ufanisi wake kuanzia lini? 2016, au 2021?
 
Mazingira ya hospital zetu yanafanana sana ndoo maana akieda ukerewe maswa Bukoba mtwara kote huko kwa akili yako katona amegundua uozo .serikal ikiingiaza pesa ni kwa hospitali zote au vituo vya afya vyote chini sio nansio pekee
 
Ni watu muhimu sana na watu tunathamini sana mchango wao ila kuna wakati hutumia vibaya hiyo nafasi na kutaka kutuona sie wengine kama wajinga.
 
Mazingira ya hospital zetu yanafanana sana ndoo maana akieda ukerewe maswa Bukoba mtwara kote huko kwa akili yako katona amegundua uozo .serikal ikiingiaza pesa ni kwa hospitali zote au vituo vya afya vyote chini sio nansio pekee
Without a bank statement it’s blah blah besides sidhani kama hospitali zitakuwa zinanunua dawa in cash wakati malipo ya bima wana pokea late; I am certain wanauziwa dawa on credit.

Either way kilichopo walitaka kumuongopea wameshindwa; mengine ni majungu tu na utetezi wa kitoto.

Kubalini tu wizara imepata field Marshall uongo wa kishamba waziri anawaumbua dakika moja tu.

Me out
 
Kwa Bongo hii, ilihitajika viongozi wa Aina hiyo angalau Kwa miaka kama kumi hivi!!
 

Mkuu hayo unayosema ni kama marudio tu hapa jukwaani. Kwa miaka mitano iliyopita tumuona fokafoka, tumbua tumbua, karipia karipia, kick kick na kila mbwembwe kwenye serikali zikigusa wizara zote, na tukaambiwa kwa style hiyo ufisadi umekwisha, utendaji wa mazoea umekwisha na maendeleo makubwa chini ya miaka mitano ya kwanza ya Magufuli!!

Sasa Leo hii akija waziri mpya na kusema huko serikalini (Kilimo, Afya nk) kumeoza sana inabidi tushangae na kujiuliza upya, nini kilitokea hapo kabla na yeye ana kitu gani kipya cha msingi cha kuweza kufanya ili kupambana na hayo. Bahati mbaya tunaona na yeye anakuja na blah blah zile zile, kick kick, ropoka ropoka na mikwara kibao.

Sasa waziri wa Afya wa sasa amekuwa mnyapara wa kuzurura na kuvamia vituo cha afya ili kuangalia kama kuna wizi wa panadol!
Upuuzi mtupu.
 
Kaagizwa afanye hivyo anavyofanya sidhani kama kakurupuka. anainyoosha wizara.
 
Anafanya kazi nzuri sana. Majizi na mazembe kazini ndiyo yanayomchukia. Mi sijaona ubaya wake. Kama hutaki kuelekezwa na wewe ni mtumishi, basi jiajiri kaka.
 
Ni madudu anayoibua, yaliyotendeka ndani ya awamu hii hii ya 5 ambayo inaongozwa na CCM Mpya.

Msingi wa swali langu ni, je CCM Mpya tuanze kuangalia ufanisi wake kuanzia lini? 2016, au 2021?
CCM mpya ni kuanzia 2016, CCM na mwenyekiti John Pombe Joseph Magufuli

Nimekujibu kwamba haya mabadiliko na maboresho sio ya siku moja bali ni endelevu. Dada Ummy alifanya kazi na pale alipoishia dada Dorothy anaendelea. Wewe unaona kama hakuna kilichofanyika?

Dada Ummy alianza kazi hospital na vituo vya afya vichache na hizo chache hazina vitanda, madawa, watumishi...... na mengine mengi.

Kama hujaiona CCM mpya kwenye hii wizara ni sababu umedhamiria kupinga, na hajawahi teseka kwa kushindwa kujitibia kwenye private hospitals baada ya kukosa huduma serikalini.

Ukweli wa hayo mabadiliko sisi wananchi wa hali ya chini tunaotegemea government hospitals tunauona
 
Taratibu za manunuzi zinaruhusu hivyo Kuwa baada ya kuletewe mzigo ndo ulipo.lakini huwezi kufanya hivyo Kama huna hela Kwenye a/c yako maana unakuwa na kufungu cha shuguli husikia
 
Akiendelea hivi atatumbuliwa madaktari Ni watu muhimu sio vizuri kuwazalilisha bila kutumia ustaarabu.
Huyuu kapaniki kuwa waziri bado wenge la kuwa waziri halijamuisha.

Akiendelea hivi lazima kamgoma baridi na hujuma katokee.
Vipi walipogoma enzi za jk mpaka watz wakafa kwa mamia.??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…