Bado namkumbuka mama mwenye zake hekima Mama Ummy Mwalim! Wizara ilimpenda, naye akaipenda.
Kwa hiyo mnaiba dawa kwa kuwa wezi wako hata huko polisi?Wezi wapo kila mahali.Ata huko polisi kuna askari wengine ni wezi.
Mh....wewe naona hoja zako ni dhaifu dhaifu ( In Prof Assad Voice).Kwa hiyo mnaiba dawa kwa kuwa wezi wako hata huko polisi?
Niliijua peke yangu nimeliona HiloWakuu habari za mchana.
Naomba walio karibu na huyu mama waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na watoto, wampe semina ya ku-behave kama top government official. Naona hilo linamshinda. Mama atulize ubongo aje na solutions. Aache majungu na malalamiko kila kukicha.
Hizi clip tunazoziona hazimpi heshima kabisa. Anajiita Field Marshall wa wizara lakini mimi namuona bado sana. Kama ana vinyongo na maumivu ya huko nyuma, asahau. Ajulishwe majukumu yake kama waziri. Aache kuleta viswahili kama vya vijiwe vya kina mama wakiwa peke yao.
Hahahhaaaa natamani hii comment aioneYani ni kama Wizara ya Afya imekabidhiwa kwa Mama yake Diamond.
Acha tunyookeAkikuta dr hujamlizisha kwa utendaji wako basi anaanza kukuchambaaa mpaka akili ikikuae
Wakuu habari za mchana.
Naomba walio karibu na huyu mama waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na watoto, wampe semina ya ku-behave kama top government official. Naona hilo linamshinda. Mama atulize ubongo aje na solutions. Aache majungu na malalamiko kila kukicha.
Hizi clip tunazoziona hazimpi heshima kabisa. Anajiita Field Marshall wa wizara lakini mimi namuona bado sana. Kama ana vinyongo na maumivu ya huko nyuma, asahau. Ajulishwe majukumu yake kama waziri. Aache kuleta viswahili kama vya vijiwe vya kina mama wakiwa peke yao.
Unajua JF na hizi media zetu tia maji tia maji azitoi picha kamili wanafuta info za msingi na kuweka contents zitakazowapa YouTube views nyingi.Wakati mwingine unakua innocent na huwezi kujitetea maana kuna chain ya events ambayo huwezi kuielezea ukaeleweka. kuna kipindi nikiwa kama mtumishi katika hospital X niliwahi kujievaluate na nikagundua kwamba kuna mambo mengi niliyafanya kwa nia nzuri lakini sio documents zote zilikaa sawa na isingewezekana kabisa zikae sawa na kama kuna mtu mkubwa angefuatilia vizuri na kuniuliza basi nisingekua na points nzuri za kueleweka bila kuonekana mwizi.
Na ole wako ukose mafuta upate mate Maternal death ndo utakuja kujua maharage nayo ni mbona.all in umezumgumz mambo ya msingi sanaMama anajitahidi na anamaono flan lakn aproach yake mbovu na kwa nchi hii ilivyo na kwa sekta hyo ilivyo kubalisha mambo ghafla been vuu ni ngumuuu...yalipo ndani ya sekta ni tofauti na jinsi watu wanaskia nje..afya na ulinzi ni sekta ambazo zinahitaji fedha sio kutishana wala kuumizana vichwa..kwanza wiz upo kila sehem koteee wiz upo..pili hicho kina
Chosemwa kimeibwa ukiambiwa haya hichi hapa hakikai hata siku 3 kinaisha maana demand ni kubwa mnoo..yan unataka watu waendeshe hosp za serekali kama zao [emoji16][emoji16] yani waumize vichwa namna ya kukusanya mapato badala waumize vichwa namna ya kutibu wagonjwa[emoji2303] serekali iweke hela na iweke utaratibu mzur wa kusimamia na waajiriwa wapige kazi wakiwa mawe relax sio Incharge anamgonjwa wa refferal anawaza mafuta anatoa wapi aisee
Mkuu hayo unayosema ni kama marudio tu hapa jukwaani. Kwa miaka mitano iliyopita tumuona fokafoka, tumbua tumbua, karipia karipia, kick kick na kila mbwembwe kwenye serikali zikigusa wizara zote, na tukaambiwa kwa style hiyo ufisadi umekwisha, utendaji wa mazoea umekwisha na maendeleo makubwa chini ya miaka mitano ya kwanza ya Magufuli!!
Sasa Leo hii akija waziri mpya na kusema huko serikalini (Kilimo, Afya nk) kumeoza sana inabidi tushangae na kujiuliza upya, nini kilitokea hapo kabla na yeye ana kitu gani kipya cha msingi cha kuweza kufanya ili kupambana na hayo. Bahati mbaya tunaona na yeye anakuja na blah blah zile zile, kick kick, ropoka ropoka na mikwara kibao.
Sasa waziri wa Afya wa sasa amekuwa mnyapara wa kuzurura na kuvamia vituo cha afya ili kuangalia kama kuna wizi wa panadol!
Upuuzi mtupu.
Kwa hiyo unamainisha Mtu akiwa Dr Au Pharmacist hawezi kuwa na mtaji wa kununua dawa zake za kuuza mpaka aibe au, nimegundua watu wengi sana wako obsessed na watumishi wa afya kuliko uhalisia, hivi unaanzaje kuuza dawa iliyoandikwa MSD, ukizeeka lazima uwe mchawi weweSekta ya Afya ni Sekta nyeti sana na in Sekta ambayo Serikali na wafadhili mbalimbali wamekua wakinwaga mifedha mingi ajabu ni Fedha nyingi sana zimepigwa na viongozi wa Sekta hiyo yani ma DMO na MaDED... Ukieenda saivi ktk hospital za Serikali yan Vituo vya Afya,Zahanati na Hospital za Wilaya huwezi amini HAKUNA MADAWA zaidi ya Diclopa,Aluu na Dawa za kuharisha... ma Dr wengi wameiba sana hadi kufungua Dispensary zao na Pharmacy zao... Dr Gwajima amekua Tamisemi upande wa Afya anaijua fika Sekta hii... Tusimkatishe Tamaa aendelee kutumbua plus kuwafokea maana wameiba vyakutosha
Acheni wizi wa dawa mtamuelewa tu, Mh ni mtendaji sio mwanasiasa,
Kuna Mh Aweso anawanyoosha wahandisi feki, miradi mikubwa ya maji mbona hamuongelei!
Serikali inanunua madawa lakini mahospitalini hayapo..NI WIZI WIZI WIZI TU..!
Unajua hawa watumishi wa afya walizoea kuiba dawa, kuua vifaa vya tiba, kunyanyasha wagonjwa, uzembe, nk, na wakaona hiyo ni haki yao. Sasa kaja mtu anayeijua system ya afya kwa undani na anaweza kuwaumbua kwa uovu wao, wanamwona ni mnoko.Hapana wewe ndiye una upungufu wa uelewa. Pamoja na mapungufu yaliyopo ya eekta ya afya, ila kulikuwa na wizi sana na mlizooea kuiba mno na kutoa huduma mbovu bila kujua wajibu wenu. Acha awanyooshe kabisa mlijijaza uzembe. Kikubwa mfano wa kuacha kutumia GOT HOMIS sekta ya afya inaibiwa mno. Pia waziri huyu anayo dhamira ya kazi toka moyoni mwake. Labda lile tukio la mkunga ndiyo linahitaji busara juu yake.