Dkt. Dorothy Gwajima: Kama unataka nitumbuliwe ili uchukue nafasi yangu, fanya kazi zaidi yangu sio ufitini

Bado namkumbuka mama mwenye zake hekima Mama Ummy Mwalim! Wizara ilimpenda, naye akaipenda.

Ummy Mwalimu alipwaya sana hapo, alikuwa hana mbele wala nyuma alikuwa anaburuzwa tu!!! Jiwe alifanya vizuri kumuondoa hapo!!! Kapelekwa kule kushuhulika na mazingira naona analala usingizi tu watu wanaharibu fukwe za Bahari kule Mbezi Beach kwa kujenga hovyo bila kuzingatia sheria!!
 
Kwa hiyo mnaiba dawa kwa kuwa wezi wako hata huko polisi?
Mh....wewe naona hoja zako ni dhaifu dhaifu ( In Prof Assad Voice).

Yaani umesahau kuwa waliotuhumiwa kuchota fedha za Escrow ni mawaziri.?Ndo maana nasema wizi upo kila mahali na ni kosa la jinai.

Majukumu ya waziri ni kutengeza sera nzuri na mifumo mizuri ya usimamizi ili dawa zimfikie mlaji wa mwisho na vile vile kuongeza morali wa kazi na ubunifu kwa mtoa dawa.
 
Niliijua peke yangu nimeliona Hilo
Simjui vizuri lakini namuona kama anapenda kusutana
 
Kazi inaendelea
 

Attachments

  • IMG-20210117-WA0035.jpg
    50.9 KB · Views: 1

Bora umeyatoa ya moyoni mkuu hope ataona hii post[emoji1666][emoji1666][emoji1666]
 
Unajua JF na hizi media zetu tia maji tia maji azitoi picha kamili wanafuta info za msingi na kuweka contents zitakazowapa YouTube views nyingi.

Jamaa wamedai hawana paracetamol tangia December mkuu wa wilaya kaenda mara kadhaa kuulizia kaambiwa hakuna; yeye alipoenda ndani ya dakika chache za kukagua makaratasi jamaa ikabidi wamwambie ukweli zipo box 30 kila box nadhani zinakaa mia.

Yeye akuridhika akataka wampeleke storage akaone akakuta kuna box 130 na hazi match na auditing trail. Baada ya kuona ivyo wakataka kumuongopea tena hao wagonjwa awakwenda kwao, akataka kuwaletea ushahidi wa mgonjwa.

Nadhani mpaka hapo unapata picha kwanini alikasirishwa na ndio akawaambia hawana huo uwezo wa kumdanganya wahusika wenyewe walikiri makosa na kuomba msamaha.

Sema clip nyingi zinaonyesha akijiita field Marshall tu lakini sakata zima lililopelekea kujiita ivyo ni media moja tu ndio imeonyesha. Na ndio sababu akasema nisingekuwa mtaalamu si ndio tayari mshanirushia changa la macho.
 
Na ole wako ukose mafuta upate mate Maternal death ndo utakuja kujua maharage nayo ni mbona.all in umezumgumz mambo ya msingi sana
 

Sasa hivi wanafanya kazi kama vile uongozi wa 2015-2020 ulikuwa ni awamu tofauti.
 
Mama msamba sana yule na hana swaga za kiongozi. Alitakiwa kuwa na funzo zito kutoka kwa Ummy
 
Huyu mama anatia aibu. Anakera kumuangia hata kumsikiliza....shida yake ni nini?
 
Kwenye Afya kuna madudu mengi, ngoja awachambe hao. Ukiumwa ukaenda kwenye hizi hospitali zetu ndo utajionea kero za huko.
Namuunga mkono.
 
Kwa hiyo unamainisha Mtu akiwa Dr Au Pharmacist hawezi kuwa na mtaji wa kununua dawa zake za kuuza mpaka aibe au, nimegundua watu wengi sana wako obsessed na watumishi wa afya kuliko uhalisia, hivi unaanzaje kuuza dawa iliyoandikwa MSD, ukizeeka lazima uwe mchawi wewe
 
hata kama mnamcriticize sio hivi,kumdogolesha tu mama wa watu..sijui mnapata nini
 
Acheni wizi wa dawa mtamuelewa tu, Mh ni mtendaji sio mwanasiasa,
Kuna Mh Aweso anawanyoosha wahandisi feki, miradi mikubwa ya maji mbona hamuongelei!
Serikali inanunua madawa lakini mahospitalini hayapo..NI WIZI WIZI WIZI TU..!

Hahahaa eti serikali inanunua dawa! hii sekta ina changamoto sana hajui lolote kaa kimya.
 
Unajua hawa watumishi wa afya walizoea kuiba dawa, kuua vifaa vya tiba, kunyanyasha wagonjwa, uzembe, nk, na wakaona hiyo ni haki yao. Sasa kaja mtu anayeijua system ya afya kwa undani na anaweza kuwaumbua kwa uovu wao, wanamwona ni mnoko.
Dawa kwao ni kubadilika na kufanya kazi kwa kufuata maadili ya kazi zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…