Dkt. Dorothy Gwajima ndiye waziri anayekubalika kwasasa nchini Tanzania

Ni yule ambae alibanwa na hoja nyepesi bungeni akashindwa kuijibu na kuanza kulia kisanii ?
 
Ni yule ambae alibanwa na hoja nyepesi bungeni akashindwa kuijibu na kuanza kulia kisanii ?
Kujibu maswali bungeni sio utendaji Kuna wabunge na mawaziri ni mahodari ila ukija kwenye utendaji ni ovyo kabisa
 
Huyu Bi Mkubwa ni mfano wa kuigwa kwa Mawaziri na viongozi wanawake wana takiwa wajifunze kwake.
 
Kiukweli huyu mama anafaa kabisa kuwa hata Waziri Mkuu.
 
Na ndio inapaswa kiongozi kuwa karibu na watu wake, ukaribunna raia ndo utajua Nini wanachi wanataka sio kiongozi unataka... Citizen voice is national voice cause are ones with needs not leaders 😊
Exactly 💯
 
Kujibu maswali bungeni sio utendaji Kuna wabunge na mawaziri ni mahodari ila ukija kwenye utendaji ni ovyo kabisa

Aaah wapi !
Nendeni kajipangeni upya ktk kumfanyia huo uchawa wenu.
Hatudanganyiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…