jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Nimeona Tangazo kwenye jumbe za watsapp ikionesha kuwa kitakuwa na mjadala kuhusu wimbi la tatu la corona nchini Tanzania.
Katika mjadala huo nimeona mwenyekiti wa MAT pamoja na Mwenyekiti aliyemaliza muda wake.
Ieleweke kuwa kujadili covid sio tatizo ila ni muhimu pia sheria tulizojiwekea zizingatiwe.
Yaani linapokuja suala la mlipuko wa magonjwa wapo wasemaji sahihi kuhusu hilo. Hata ngazi ya kimataifa tuna Director General Dr Tedros ambaye anayo mandate ya kuongelea situation ya ugonjwa wa covid duniani na si mwingine.
Sasa nimeshangaa kuona kwenye ratiba kuna Dr Elisha Osati (mgombea ubunge jimbo la Temeke aliyekatwa na wajumbe wa CCM) ambaye inasemekana ataongelea covid 19 situation in Tanzania katika kikao cha zoom tarehe 22 mei 2021.
Ikumbukwe kikao hiki hakina mshiriki kutoka serikalini ambaye atasimama kama mtoa mada.
9.-{1) The Minister, in consultation with the authorized officer, shall notifY the public by a publication in the local newspaper circulating in the area notice boards on the area or any other method which may be considered fit on the occurrence, existence of any infectious, communicable and non-communicable disease prescribed in the First. Schedule to this Act(PUBLIC HEALTH ACT 2009)
Kwanini mnataka kutulazimishia wimbi la tatu ili wapendwa wetu wapotee?
Katika mjadala huo nimeona mwenyekiti wa MAT pamoja na Mwenyekiti aliyemaliza muda wake.
Ieleweke kuwa kujadili covid sio tatizo ila ni muhimu pia sheria tulizojiwekea zizingatiwe.
Yaani linapokuja suala la mlipuko wa magonjwa wapo wasemaji sahihi kuhusu hilo. Hata ngazi ya kimataifa tuna Director General Dr Tedros ambaye anayo mandate ya kuongelea situation ya ugonjwa wa covid duniani na si mwingine.
Sasa nimeshangaa kuona kwenye ratiba kuna Dr Elisha Osati (mgombea ubunge jimbo la Temeke aliyekatwa na wajumbe wa CCM) ambaye inasemekana ataongelea covid 19 situation in Tanzania katika kikao cha zoom tarehe 22 mei 2021.
Ikumbukwe kikao hiki hakina mshiriki kutoka serikalini ambaye atasimama kama mtoa mada.
9.-{1) The Minister, in consultation with the authorized officer, shall notifY the public by a publication in the local newspaper circulating in the area notice boards on the area or any other method which may be considered fit on the occurrence, existence of any infectious, communicable and non-communicable disease prescribed in the First. Schedule to this Act(PUBLIC HEALTH ACT 2009)
Kwanini mnataka kutulazimishia wimbi la tatu ili wapendwa wetu wapotee?