Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Yupo sahihi sana. Hizi sheria kandamizi zinapaswa kugomewa, kupingwa na kuvunjwa na kila mtu. Mpaka mawe yanapaswa kuzipinga sheria hizi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani sheria za kimataifa ni Mungu kiasi kwamba haziwezi kuwa fake/kandamizi?Unaelewa kuwa utumwa pamoja na ukoloni ulikuwa unasimamiwa na sheria za kimataifa?Una habari pia kuwa ukoloni mamboleo unasimamiwa na sheria za kimataifa?Hizo ni reflection ya sheria za kimataifa.
Huyu Osati ana kimbelembele sana kwa wasiomjua watapata shida sana.
Hilo wimbi la tatu lipo wapi?...nani kamtuma?..huyu mjaluo ana matatizo sana.
Kwanza amesharudisha kadi ya chadema?
Sheria za kimataifa hazijawahi kuwa za kipuuzi kiwango hicho.Hizo ni reflection ya sheria za kimataifa.
Well said mkuu, barikiwa sana - Dk. Magifuli alikuwa anakumbusha Watanzania mara kwa mara tutakuja kumbukumbuka - na kweli!! Aliongezea tena kwamba anajuwa mambo mengi ambayo yapo nyuma ya pazia kuhusu ulazimishaji wa Dunia kuchanjwa chanjo ambazo zinazalishwa na Western Big Pharma Companies predominantly American.Chanjo bado zipo kwenye majaribio.
Nchi kama Seychelles imechanja watu almost nchi nzima, ila imethibitika waliochanjwa wanaambukizwa tena...
Umeshaambiwa ni hiyari ama uikatae ama uikubali kama ilivyokuwa haki ya mgonjwa ama kukubali au kuyakataa matibabu,wewe hutaki acha wenye hiari wapate iliyo haji yao.Well said mkuu, barikiwa sana - Dk. Magifuli alikuwa anakumbusha Watanzania mara kwa mara tutakuja kumbukumbuka - na kweli!! Aliongezea tena kwamba anajuwa mambo mengi ambayo yapo nyuma ya pazia kuhusu ulazimishaji wa Dunia kuchanjwa chanjo ambazo zinazalishwa na Western Big Pharma Companies predominantly American...
Na a rest kweli kweli kwa kutulia, sasa hivi nchi ina raha sana kasoro kwa upande wa Sukuma gangRiP JPM
Ni hiyari yako ndugu, hutaki usichanje na ukileta ubishi kama wa mwendazake na wewe unaendazako na maisha yanaendelea tu.Well said mkuu, barikiwa sana - Dk. Magifuli alikuwa anakumbusha Watanzania mara kwa mara tutakuja kumbukumbuka - na kweli!! Aliongezea tena kwamba anajuwa mambo mengi ambayo yapo nyuma ya pazia kuhusu ulazimishaji wa Dunia kuchanjwa chanjo ambazo zinazalishwa na Western Big Pharma Companies predominantly American
Mkuu ,Mjane tulia hivyo hivyo zama zenu zimeisha
Yani wafuasi wa Meko bado hamuamini kama meko kafariki!Nimeona Tangazo kwenye jumbe za watsapp ikionesha kuwa kitakuwa na mjadala kuhusu wimbi la tatu la corona nchini Tanzania.
Katika mjadala huo nimeona mwenyekiti wa MAT pamoja na Mwenyekiti aliyemaliza muda wake...
Kiukweli hakuna hilo kundi la Sukuma gang!, it is a fictitious group, limejengwa in some peoples mind ambao ni rahisi kudanganyika. Wasukuma halisi na asili, wanamfurahia sana Mama Samia!.Na a rest kweli kweli kwa kutulia, sasa hivi nchi ina raha sana kasoro kwa upande wa Sukuma gang
Uko sahihi sana Komredi.Kiukweli hakuna hilo kundi la Sukuma gang!, it is a fictitious group, limejengwa in some peoples mind ambao ni rahisi kudanganyika. Wasukuma halisi na asili, wanamfurahia sana Mama Samia!.
P
Raha gani hizo mkuu?Na a rest kweli kweli kwa kutulia, sasa hivi nchi ina raha sana kasoro kwa upande wa Sukuma gang
Ujerumani kutoa CHANJO YA CORONA kwa wote kuanzia Julai 7,2021Chanjo bado zipo kwenye majaribio.
Nchi kama Seychelles imechanja watu almost nchi nzima, ila imethibitika waliochanjwa wanaambukizwa tena...
Raha gani hizo mkuu?