Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Kwanini unatulazimisha ndoto zako?? Tuachekwa nini mnataka kutulazimishia wimbi la tatu ili wapendwa wetu wapotee?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini unatulazimisha ndoto zako?? Tuachekwa nini mnataka kutulazimishia wimbi la tatu ili wapendwa wetu wapotee?
Huko kuwindwa ilikuwa kwa watu wote maana mbona huku mitaani sioni watu kuzungumzia hilo?Watu hawawindwi tena kama digi digi
Huko kuwindwa ilikuwa kwa watu wote maana mbona huku mitaani sioni watu kuzungumzia hilo?
Ndio maana nasema mbona sisikii huku mtaani watu kuzungumzia hilo au hao watu hawapo huku mtaani?Ilikuwa ni kwa wale ambao hawakuwa wakiimba zidumu daima fikra sahihi za mwenyekiti na aiishi milele mfalme jiwe.
There you are - ni hivi mkuu, mimi na familia yangu na jamaa wangu wa karibu hakuna atakaye kubali kuwa inoculated kwa chanjo zinazo tokana na mRNA vaccines.Ni hiyari yako ndugu, hutaki usichanje na ukileta ubishi kama wa mwendazake na wewe unaendazako na maisha yanaendelea tu.
Mambo ya kutekana na kuuana hayapo tena, sheria za nchi na katiba at least vinafatwaRaha gani hizo mkuu?
Hayo mambo ya kutekana mbona sisikii watu wakijadili huku mtaani ili nijue kuwa sasa wana furaha kwa kutokuwepo tena hayo mambo?Mambo ya kutekana na kuuana hayapo tena, sheria za nchi na katiba at least vinafatwa
Ukiona mjinga mjinga anakimbilia ukabila, basi ujue ni hamnazo. Pole wafuasi wa JiweHuyu Osati ana kimbelembele sana kwa wasiomjua watapata shida sana.
Hilo wimbi la tatu lipo wapi?...nani kamtuma?..huyu mjaluo ana matatizo sana.
Kwanza amesharudisha kadi ya chadema?
Nakusalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano!wewe ni mfuasi wa nani?
Umemwelewa mtoa mada au?Kama mtaalamu wa afya,ambae pia anahusika na tiba ya moja ya sehemu kuu inayoathiriwa na huo ugonjwa,kukusaidia tu enzi za siasa kwenye taaluma zimepitwa na muda.Hivyo hayo matamanio yako yamepitwa na muda.
Mama katwishwa kg 100Chanjo bado zipo kwenye majaribio.
Nchi kama Seychelles imechanja watu almost nchi nzima, ila imethibitika waliochanjwa wanaambukizwa tena...
Mkuu hata likiwepo siyo dhambi,kwa taarifa yao huku mtaani huku mtaani watu wameshaanza kumkumbuka mwamba na wakati huohuo wanamnanga huyu wa sasa(hasa anavyotaka kudili na corona)Kiukweli hakuna hilo kundi la Sukuma gang!, it is a fictitious group, limejengwa in some peoples mind ambao ni rahisi kudanganyika. Wasukuma halisi na asili, wanamfurahia sana Mama Samia!.
P
RIP Meko.Nimeona Tangazo kwenye jumbe za watsapp ikionesha kuwa kitakuwa na mjadala kuhusu wimbi la tatu la corona nchini Tanzania.
Katika mjadala huo nimeona mwenyekiti wa MAT pamoja na Mwenyekiti aliyemaliza muda wake...
Unalazimisha!!?Na a rest kweli kweli kwa kutulia, sasa hivi nchi ina raha sana kasoro kwa upande wa Sukuma gang
Hayo mambo ya kutekana mbona sisikii watu wakijadili huku mtaani ili nijue kuwa sasa wana furaha kwa kutokuwepo tena hayo mambo?