Dkt. Elisha Osati anaenda kuongelea hali ya Covid 19 Tanzania kama nani?

Dkt. Elisha Osati anaenda kuongelea hali ya Covid 19 Tanzania kama nani?

Ilikuwa ni kwa wale ambao hawakuwa wakiimba zidumu daima fikra sahihi za mwenyekiti na aiishi milele mfalme jiwe.
Huko kuwindwa ilikuwa kwa watu wote maana mbona huku mitaani sioni watu kuzungumzia hilo?
 
Ilikuwa ni kwa wale ambao hawakuwa wakiimba zidumu daima fikra sahihi za mwenyekiti na aiishi milele mfalme jiwe.
Ndio maana nasema mbona sisikii huku mtaani watu kuzungumzia hilo au hao watu hawapo huku mtaani?
 
Ni hiyari yako ndugu, hutaki usichanje na ukileta ubishi kama wa mwendazake na wewe unaendazako na maisha yanaendelea tu.
There you are - ni hivi mkuu, mimi na familia yangu na jamaa wangu wa karibu hakuna atakaye kubali kuwa inoculated kwa chanjo zinazo tokana na mRNA vaccines.

Kwa taarifa yako mimi na watu wangu wa karibu tutachanjwa kwa chanjo zinazo zalishwa kwa kutumia mbinu za teknolojia ya asili ambayo ilianza kutumiwa na wana sayansi kuzalisha chanjo mbali mbali kwa zaidi ya miaka mia moja iliyo pita, in other words ni proven method ambayo haina makando kando yoyote to worry about unlike unpredictable mRNA stuff ambayo hata wahusika wenye ukiwabana kwa maswaili ya msingi wanakosa majibu ya kiridhisha.

Kwanini kwa sababu wanajua fika kwamba walikimbiza chanjo zao haraka haraka kuwahi soko bila ya kuifanyia majaribio ya kutosha, sasa kupuuzia phase critical kama hizo kwenye product zinazo tokana na ku-tinker around na vinasaba kwa mara ya kwanza Duniani katika uzalishaji wa chanjo - kutojari huku kwa makampuni yanayo zalisha type hizo za chanjo kutakuja ku-cost unsuspecting watumiaji an arm and leg.

Mkuu naona nimalizie kwa kukwamba kitu,namely: You have a choice as you rightly said, go ahead kachanjwe mRNA chanjo, tukiwa ahi rudi hapa jamvini baada ya miaka 3/4 ili utupatie mrejesho.
 
Watu Wana hofu za kijinga kutokana na propaganda za kipuuzi walizolishwa na mwendazake but ameongea vizuri na ameeleweka wala hakuna shida yoyote
 
Mambo ya kutekana na kuuana hayapo tena, sheria za nchi na katiba at least vinafatwa
Hayo mambo ya kutekana mbona sisikii watu wakijadili huku mtaani ili nijue kuwa sasa wana furaha kwa kutokuwepo tena hayo mambo?
 
Huyu Osati ana kimbelembele sana kwa wasiomjua watapata shida sana.
Hilo wimbi la tatu lipo wapi?...nani kamtuma?..huyu mjaluo ana matatizo sana.
Kwanza amesharudisha kadi ya chadema?
Ukiona mjinga mjinga anakimbilia ukabila, basi ujue ni hamnazo. Pole wafuasi wa Jiwe
 
Uhuru usio na mipaka ndo madhala yake haya.
You never know labda ana fungu la kufacilalte ilo zoezi.
 
Kama mtaalamu wa afya,ambae pia anahusika na tiba ya moja ya sehemu kuu inayoathiriwa na huo ugonjwa,kukusaidia tu enzi za siasa kwenye taaluma zimepitwa na muda.Hivyo hayo matamanio yako yamepitwa na muda.
Umemwelewa mtoa mada au?
 
Kiukweli hakuna hilo kundi la Sukuma gang!, it is a fictitious group, limejengwa in some peoples mind ambao ni rahisi kudanganyika. Wasukuma halisi na asili, wanamfurahia sana Mama Samia!.
P
Mkuu hata likiwepo siyo dhambi,kwa taarifa yao huku mtaani huku mtaani watu wameshaanza kumkumbuka mwamba na wakati huohuo wanamnanga huyu wa sasa(hasa anavyotaka kudili na corona)
Na hao sio wasukuma
 
Nimeona Tangazo kwenye jumbe za watsapp ikionesha kuwa kitakuwa na mjadala kuhusu wimbi la tatu la corona nchini Tanzania.

Katika mjadala huo nimeona mwenyekiti wa MAT pamoja na Mwenyekiti aliyemaliza muda wake...
RIP Meko.
 
Nenda kaulize mitaani kwa Ben Saanane, Azory Gwanda, Roma, Mo Dewji, Kanguye, Kipanya,
Hayo mambo ya kutekana mbona sisikii watu wakijadili huku mtaani ili nijue kuwa sasa wana furaha kwa kutokuwepo tena hayo mambo?
 
Back
Top Bottom