Dkt. Elisha Osati anaenda kuongelea hali ya Covid 19 Tanzania kama nani?

Dkt. Elisha Osati anaenda kuongelea hali ya Covid 19 Tanzania kama nani?

Nenda kaulize mitaani kwa Ben Saanane, Azory Gwanda, Roma, Mo Dewji, Kanguye, Kipanya,
Nakwambia hivi ningewasikia watu kujadili hayo mambo kuonesha kuwa yalikuwa yanawatatiza na sasa wana furaha ila haipo hivyo, unajua shida ni kufikiri mambo ya mitandaoni ndio na huko mitaani iko hivyo hivyo.
 
Nimeona Tangazo kwenye jumbe za watsapp ikionesha kuwa kitakuwa na mjadala kuhusu wimbi la tatu la corona nchini Tanzania.

Katika mjadala huo nimeona mwenyekiti wa MAT pamoja na Mwenyekiti aliyemaliza muda wake.

Ieleweke kuwa kujadili covid sio tatizo ila ni muhimu pia sheria tulizojiwekea zizingatiwe.

Yaani linapokuja suala la mlipuko wa magonjwa wapo wasemaji sahihi kuhusu hilo. Hata ngazi ya kimataifa tuna Director General Dr Tedros ambaye anayo mandate ya kuongelea situation ya ugonjwa wa covid duniani na si mwingine.

Sasa nimeshangaa kuona kwenye ratiba kuna Dr Elisha Osati (mgombea ubunge jimbo la Temeke aliyekatwa na wajumbe wa CCM) ambaye inasemekana ataongelea covid 19 situation in Tanzania katika kikao cha zoom tarehe 22 mei 2021.

Ikumbukwe kikao hiki hakina mshiriki kutoka serikalini ambaye atasimama kama mtoa mada.

9.-{1) The Minister, in consultation with the authorized officer, shall notifY the public by a publication in the local newspaper circulating in the area notice boards on the area or any other method which may be considered fit on the occurrence, existence of any infectious, communicable and non-communicable disease prescribed in the First. Schedule to this Act(PUBLIC HEALTH ACT 2009)

Kwanini mnataka kutulazimishia wimbi la tatu ili wapendwa wetu wapotee?
The House LiveAll

Up To 75% Of New Covid-19 Cases Are Indian Variant, Hancock Says​



Adam Payne
@adampayne26
2 min read1 hr
Up to three quarters of new cases of the coronavirus are the variant first identified in India, Health Secretary Matt Hancock has said.
Speaking at a Downing Street press conference on Thursday, Hancock said the number of coronavirus cases was rising and that the B.1.617.2 variant was continuing to spread in hotspots like Bolton and Blackburn.
There were 3,542 new cases of the coronavirus recorded yesterday, Hancock said — the biggest daily total since April 12. He added that the variant first identified in India was now the most dominant strain of the virus in the UK.
However, Hancock said data showed that vaccines were proving to be effective in combating this fast-spreading variant by "severing the link" between people infected with it and hospitalisations.
Of the 49 people currently hospitalised with the coronavirus in Bolton, one of the areas most affected by the B.1.617.2 variant, just five have received both doses of the vaccine, he said.
The health secretary revealed the most recent data suggests that the vaccine rollout has so far prevented 13,200 deaths and 39,700 hospitalisations across the country.
"The case for getting the jab has never been stronger," he said.
 
Back
Top Bottom