Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Nchimbi atakuwa anajiona kama ‘king maker’ kwa sasa ndani ya Tanzania (he is entitled to, you can’t blame him).
Imagine mtu amefanya siasa zake mpaka amechoka mwenyewe, ameachia jimbo ambalo hakukuwa na mtu wakumsumbua angelitaka ata uchaguzi ujao.
Nchimbi mwenyewe kwa utashi wake ameaga hadharani viongozi wa CCM, umma wa Songea mjini (akawapa na bus team ya maji-maji), akaaga na watanzania 2015 jamani mimi kwa ridhaa yangu siasa basi tena nataka kufanya shughuli zingine za maisha.
Mara uoga wa Magufuli aamini uwepo wa Nchimbi anaona nguvu yake ya fitna inaweza mletea shida katika uongozi wake, solution tumtoe nje ya nchi na ubalozi.
‘Bi Tozo’ nae uoga 2025 wanaweza niletea fujo wakaninyan’ganya tonge tumrudishe Nchimbi anisaidie.
Nchimbi mwenyewe walaah, alishasema toka 2015 mimi basi tena, wenyewe wanajipendekeza kwa kumuhofia, sure anayo haki ya kujiona ‘king maker’ kwa sasa and you can’t blame him.
Imagine mtu amefanya siasa zake mpaka amechoka mwenyewe, ameachia jimbo ambalo hakukuwa na mtu wakumsumbua angelitaka ata uchaguzi ujao.
Nchimbi mwenyewe kwa utashi wake ameaga hadharani viongozi wa CCM, umma wa Songea mjini (akawapa na bus team ya maji-maji), akaaga na watanzania 2015 jamani mimi kwa ridhaa yangu siasa basi tena nataka kufanya shughuli zingine za maisha.
Mara uoga wa Magufuli aamini uwepo wa Nchimbi anaona nguvu yake ya fitna inaweza mletea shida katika uongozi wake, solution tumtoe nje ya nchi na ubalozi.
‘Bi Tozo’ nae uoga 2025 wanaweza niletea fujo wakaninyan’ganya tonge tumrudishe Nchimbi anisaidie.
Nchimbi mwenyewe walaah, alishasema toka 2015 mimi basi tena, wenyewe wanajipendekeza kwa kumuhofia, sure anayo haki ya kujiona ‘king maker’ kwa sasa and you can’t blame him.