Pre GE2025 Dkt. Emmanuel Nchimbi: Mwenyekiti wetu amefanya mambo makubwa bila majivuno. Angekuwa mwingine kafanya hakuna rangi tungeacha kuiona

Pre GE2025 Dkt. Emmanuel Nchimbi: Mwenyekiti wetu amefanya mambo makubwa bila majivuno. Angekuwa mwingine kafanya hakuna rangi tungeacha kuiona

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Uovu Huvuma kuliko wema ,ndio maana sio rahisi hivyo by the way ni miaka 3 tuu so Bado sana
Issue ni kwamba jamaa anazungumziwa kana kwamba bado yupo hai na si kwamba ni mtu ambaye hayupo tena, mtu ameshafariki ila bado anapigwa vijembe kimafumbo usipoelewa unaweza ukadhani kazungumziwa mtu aliye hai kumbe aliyekusudiwa hayupo hai keshazikwa.

Kuna tofauti ya kueleza maovu na kupiga tu vijembe mkuu.
 
Issue ni kwamba jamaa anazungumziwa kana kwamba bado yupo hai na si kwamba ni mtu ambaye hayupo tena, mtu ameshafariki ila bado anapigwa vijembe kimafumbo usipoelewa unaweza ukadhani kazungumziwa mtu aliye hai kumbe aliyekusudiwa hayupo hai keshazikwa.

Kuna tofauti ya kueleza maovu na kupiga tu vijembe mkuu.
Maovu yake na mazuri yake kwani yamefariki?
 
Naona unajitoa ufahamu na kuvaa miwani ya mbao 😂😂
-Maelfu ya Ajira
-Maelfu ya miradi ya maji
-Mafanikio sekta ya michezo
-Ameleta mapinduzi makubwa sekta ya Afya
-Ameleta mapinduzi na mageudi makubwa sekta ya Elimu
-Ameirudisha heshima ya Kilimo
-Ameirudisha Diplomasia ya Tanzania iliyohatibiwa
-Mafanikio mkubwa kwenye Utalii
-Mafanikio makubwa kwenye miundombinu kuanzia viwanja vya ndege, Bandari Hadi Barabara
-Ameweka rekodi ya kukusanya pesa nyingi haijawahi tokea
-Mafanikio mkubwa kwenye biashara, uwekezaji,viwanda na Uchumi

View: https://www.instagram.com/p/C2K1knTvEIr/?igsh=MWI2azlrNW05enRyag==

Hayo ni Baadhi tuu ambayo yalimshinda Mwendazake akisingizia Sgr,bwawa na blaa blaa zingine zisizo na msingi 🤣🤣🤣

View: https://www.instagram.com/p/C2JwdLot0EP/?igsh=MWhmbzNobjM5b2h3bA==

Hivi kwa nini mkuu hayo mambo unayoeleza mara zote hapa inakuwa kama ni mambo ambayo unayajua wewe tu na wengine hawajui au shida nini? Kama mambo ni mazuri hivyo na faida kwa kila mmoja sasa kwa nini watu wasiyaone na kuyatambua hadi wewe uje kuyaeleza hivyo?
 
Mwenezi aliapa kuilinda legacy, mkuu anaiponda legacy.
Kazi kwelikweli.
Hana hiyo jeuri huyo mwenezi amewekwa hapo kumsaidia maisha akishindwa atafukuzwa.

Kwanza ana kashfa kama zote so Mama anamstahi alitakiwa akanyee debe kama Sabaya.
 
Hivi kwa nini mkuu hayo mambo unayoeleza mara zote hapa inakuwa kama ni mambo ambayo unayajua wewe tu na wengine hawajui au shida nini? Kama mambo ni mazuri hivyo na faida kwa kila mmoja sasa kwa nini watu wasiyaone na kuyatambua hadi wewe uje kuyaeleza hivyo?
Yeye mwenyewe yupo kijini
 
Hivi kwa nini mkuu hayo mambo unayoeleza mara zote hapa inakuwa kama ni mambo ambayo unayajua wewe tu na wengine hawajui au shida nini? Kama mambo ni mazuri hivyo na faida kwa kila mmoja sasa kwa nini watu wasiyaone na kuyatambua hadi wewe uje kuyaeleza hivyo?
Nafurahi sana Kwa swali lako la kujitoa ufahamu.

Ulitegemea wewe na wenzako wenye chuki mtayasema? Ndio maana KM amesema Mama hajigambi.

Wenye akili na ambao hawako biased wanayasema wengine Hawa hapa 👇

View: https://twitter.com/twendenamama/status/1747476098001088776?t=clTPpdS1W_1-a6DCNudywQ&s=19

Harafu ulivyokuwag mjinga unaongea kana kwamba nayatunga wakati nayaleta kutoka kwenye source rasmi Sasa wewe una shida gani?
 
Inawezekana kabisa maana anatumia nguvu kutupostia mipicha picha.
Yeye mwenyewe yupo kijini
Sio tuu picha nawapa Hadi Video.Kwa Sasa Kijijini ni kama mjini

Kazi nzuri ya Mama Kijijini Busokelo

View: https://youtu.be/39hY-20MKl8?si=IXY6aFXXYdUyMFqL

Soma hiyoo 👇
20240111_065549.jpg
20240111_065546.jpg
 
Mkuu hiyo si ni serikali au kuna siku serikali iliacha kufanya majukumu yake kama hayo? Cha ajabu ni kipi mkuu?
Serikali ya awamu ya 6 imefanya Kwa Kasi kubwa ndio maana inapewa credit au wewe unatakaje? Tumsifu Mwendazake au? 😆😆
 
Chawa mnaboa Sana.
Hata 7ya angechaguliwa kua katibu mkuu wa CCM , mngesema naye amefanya makubwa, Hana makuu, nimchapa kazi na ana maadili mema.
Ila sijawahi kusikia mkisifia pampas.
Kinachokutesa wewe I kuona Samia anasifiwa.Haya baba Yako kafanya makubwa
 
Back
Top Bottom