Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #41
Kwa hakika Watanzania tuna kila sababu ya kuishukuru sana CCMSisi tulisoma bure hadi Chuo kikuu na kulazimishwa kufanya Kazi serikalini kwa miaka 5 mfululizo
Wewe wa Bodi ya Mikopo CCM imekulipiaje? ππ
Kwanza kabisa, umewanyanyapaa watoto.Mbona unauliza swali la kitoto kiasi hiki ndugu yangu?
Utapeli tupu, kwani ndugu zake hatuwajui?Hawakuwahi kuwa mafisadi ndiyo sababu wanaokosa hizo pesa.
Subiri dawa ako ipo karibuKichwa chako hakipo sawa kabisa dogo.
Dawa inatakiwa unywe wewe mgonjwa.Subiri dawa ako ipo karibu
Nadhani umenisahauDawa inatakiwa unywe wewe mgonjwa.
Rais Samia ni Mpango Wa Mungu Mwenyewe.Na kila alipopitia ilikuwa ni mipango ya Mungu Mwenyewe katika kumuandaa kuja kushika nafasi hii ya Urais..Mama Samia naye alishikwa mkono na Mama Anna Mkapa alipokuwa kwenye NGOs kabla hajaingia ktk siasa
Kwani familia umekwambia inahitaji malipo. Kwa hiyo wewe ukimsaidia mtu mwenye shida unataka ulipwe. Ningependa kukwambia kuwa saidia watu bila kikomo namalipo utapewa na Mungu MwenyeweSawa,airudishie familia hiyo pesa aliyolipiwa na mkapa
Atakuwa amerudisha shkran
Ova
Yani hata Ridhiwani akalipiwa ada? Hahahaaaaaa.........CCM ina wenyeweMheshimiwa Ridhiwani Kikwete amewahi kusema hadharani kuwa
Hiyo hela ilipotea bure tu.Mimi nami Nililipiwa chuo na serikali ya Mstaafu Mheshimiwa Mzee Daktari Jakaya Mrisho Kikwete kupitia Bodi ya Mikopo ya Elimu ya juu. Kidumu chama cha Mapinduzi
Hata shetani ni mungu kwa wale wamuabuduo.Rais Samia ni Mpango Wa Mungu Mwenyewe.Na kila alipopitia ilikuwa ni mipango ya Mungu Mwenyewe katika kumuandaa kuja kushika nafasi hii ya UraisView attachment 3055213
Wewe siku zote una mawazo ya kishetani kichwani mwako.ndio maana umekosa adabu kabisaHata shetani ni mungu kwa wale wamuabuduo.
CCM ni chama cha wanachama na hakuna Mwenyewe .Yan
Yani hata Ridhiwani akalipiwa ada? Hahahaaaaaa.........CCM ina wenyewe
Miaka yote ndiyo aseme leoKwani familia umekwambia inahitaji malipo. Kwa hiyo wewe ukimsaidia mtu mwenye shida unataka ulipwe. Ningependa kukwambia kuwa saidia watu bila kikomo namalipo utapewa na Mungu Mwenyewe
Kwani kuna ubaya gani akisema leo ndugu yangu mtanzania uliyejaa msongo wa mawazoMiaka yote ndiyo aseme leo
Ova
Nyie waabudu shetani ndiyo mna adabu? Maalun wakubwa nyieWewe siku zote una mawazo ya kishetani kichwani mwako.ndio maana umekosa adabu kabisa