Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Je ni kweli Nchimbi alikuwa kapuku kiasi cha kulipiwa ada? ccm bhana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elimu ninayo tena ya kutosha ndiyo maana nimejikomboa siko kwenye utumwa wa fikra kama wewe unayeamini kuwa utapata mafanikio kwa kulamba viatu vya watawala,poor thing Lucas Mwashambwa aka headless chicken.Kukosa kwako Elimu kusikifanye kuwachukia wenye Elimu. Hata hivyo muda unao wa kurudi Darasani kupata Elimu.
Inashangaza nini ?Rizwan K, naye alisema alilipiwa ADA na Mkapa, inashangaza.
Basi itakuwa huko shule ulikwenda kusomea ujingaElimu ninayo tena ya kutosha ndiyo maana nimejikomboa siko kwenye utumwa wa fikra kama wewe unayeamini kuwa utapata mafanikio kwa kulamba viatu vya watawala,poor thing Lucas Mwashambwa aka headless chicken.
Wewe ulisomea upubavu kabisa ndiyo maana hujitambuiBasi itakuwa huko shule ulikwenda kusomea ujinga
Hakika Inapendeza sana kukumbuka fadhila tulizofanyiwa!
Kwamba wewe ndio mke wao.Inashangaza nini ?
Acha utoto wako hapa weweKwamba wewe ndio mke wao.
Utakufa bure, kuparamia watu usio wafahamu. Mi siyo chawa na sitaki machawa kwenye comment zangu. Kalee mmeo achana na mimi.Acha utoto wako hapa wewe
Andika kama mtu mzima ndugu yangu mtanzania uliyekosa adabu na staha pamoja na heshimaUtakufa bure, kuparamia watu usio wafahamu. Mi siyo chawa na sitaki machawa kwenye comment zangu. Kalee mmeo achana na mimi.
Lijinga hiloUtakufa bure, kuparamia watu usio wafahamu. Mi siyo chawa na sitaki machawa kwenye comment zangu. Kalee mmeo achana na mimi.
Huyu shetani nilikuwa namtafuta amechificha wapi watu kumbe yupo huku anasumbua, niachie mkuu nimalizane naye chapUtakufa bure, kuparamia watu usio wafahamu. Mi siyo chawa na sitaki machawa kwenye comment zangu. Kalee mmeo achana na mimi.
Ni tapeli tuMiaka yote ndiyo aseme leo
Ova
Hili jitu linatumika na shetaniHata shetani ni mungu kwa wale wamuabuduo.
Mafisadi ya mali za umma huwa yanalipianaYan
Yani hata Ridhiwani akalipiwa ada? Hahahaaaaaa.........CCM ina wenyewe
Toa ujinga wako hapaHaya majangili ya mali za umma lazima yalipiane
Unasumbua watu! ulidhani nimesafiri sipo? endelea na ujinga wako nikushughulikie mara mojaToa ujinga wako hapa
angela kizigha alisoma masters mzumbe na aliandikiwa research, nape nae aliandikiwa bila kusahau bashite aliyekuwa anaandikiwa na madogo aliowalipia huko masakiBila shaka tayari umeshajifukiza vile vitu vyako.