Dkt. Emmanuel Nchimbi: Nililipiwa ada na Hayati Mkapa. Nasikitika kutohudhuria mazishi yake

Dkt. Emmanuel Nchimbi: Nililipiwa ada na Hayati Mkapa. Nasikitika kutohudhuria mazishi yake

Kukosa kwako Elimu kusikifanye kuwachukia wenye Elimu. Hata hivyo muda unao wa kurudi Darasani kupata Elimu.
Elimu ninayo tena ya kutosha ndiyo maana nimejikomboa siko kwenye utumwa wa fikra kama wewe unayeamini kuwa utapata mafanikio kwa kulamba viatu vya watawala,poor thing Lucas Mwashambwa aka headless chicken.
 
Elimu ninayo tena ya kutosha ndiyo maana nimejikomboa siko kwenye utumwa wa fikra kama wewe unayeamini kuwa utapata mafanikio kwa kulamba viatu vya watawala,poor thing Lucas Mwashambwa aka headless chicken.
Basi itakuwa huko shule ulikwenda kusomea ujinga
 
Utakufa bure, kuparamia watu usio wafahamu. Mi siyo chawa na sitaki machawa kwenye comment zangu. Kalee mmeo achana na mimi.
Andika kama mtu mzima ndugu yangu mtanzania uliyekosa adabu na staha pamoja na heshima
 
Utakufa bure, kuparamia watu usio wafahamu. Mi siyo chawa na sitaki machawa kwenye comment zangu. Kalee mmeo achana na mimi.
Huyu shetani nilikuwa namtafuta amechificha wapi watu kumbe yupo huku anasumbua, niachie mkuu nimalizane naye chap
 
Back
Top Bottom