TANZIA Dkt. Faustine Ndugulile, aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni afariki Dunia

Mbona 27 Novemba, 2025 bado hatujafika??!!
 
Tumepoteza watu Wenye CV za kidunia

Tumebakiwa na Waigizaji watupu waliojibatiza kuwa wao ni chawa

Nikitoka hapa Kituo cha Kupigia KURA naelekea Kanisani direct

Ahsanteni sana

Yuko wapi Lucas Mwashambwa? 🐼
Hivi huyo Mafuru alikuwa mtanzania kweli? Mbona wasifu wake ulizua maswali!
Ndugulile, may his soul rest in peace.
Duniani tunapita tu
 
"Kwenye taarifa rasmi ya Bunge inaonesha kafariki 2025??? bahati mbaya?"

Labda aliyeandika kakurupuka tu. La sivyo alipaswa aandike "atafariki" 27 Novemba, 2025 maana bado hatujafika!
 
Binadamu tunapenda sana kutafuta uhalali wa kwanini mwingine kafa, hii inatokana na woga wa kifo.

Tarehe ya leo Wapo wengi tu wa umri wa huyu ndugu na hata chini yake wameondoka. Tuache mambo ya kufikirika.

Kama hujui sema RIP endelea na maisha ukisubiri zamu yako siyo unaanza kubuni buni sababu za kifo kuidanganya akili yako kuwa wewe upo salama na hicho kifo sababu hupitii aliyopitia marehemu.
 
Tumepoteza watu Wenye CV za kidunia

Tumebakiwa na Waigizaji watupu waliojibatiza kuwa wao ni chawa

Nikitoka hapa Kituo cha Kupigia KURA naelekea Kanisani direct

Ahsanteni sana

Yuko wapi Lucas Mwashambwa? 🐼
Nchi imekuwa ya madondocha , ccm hawapendi sikia mtu anayejitambua , wametengeza machawa , hali ni mbaya lakin Mungu yupo kazini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…