Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mwenyewe ni chawa mwandamiziTumepoteza watu Wenye CV za kidunia
Tumebakiwa na Waigizaji watupu waliojibatiza kuwa wao ni chawa
Nikitoka hapa Kituo cha Kupigia KURA naelekea Kanisani direct
Ahsanteni sana
Yuko wapi Lucas Mwashambwa? 🐼
Hizi nafasi za kazi kwenye mashirika ya kimataifa ya Afya kwa Ndugu zetu zina shida?Kuna kitu.
I can't deal with your delusion are you living in the past?You're sick and hopeless with these wicked ideas.
Hujawahi kusoma kwamba Henoko na Eliya walihamishiwa mbinguni bila kuonja mauti?
Hata hajatumikia kabisa nafasi yake mpya. RIP DR.Novemba
Wewe ile hoja yako uliyoingiza unaona ipo Sawa?Bibi Yangu anahusikaje hapa? Why mnapenda kuingiza hoja za kipumbavu?
Kwa hiyo alikua anaumwa nin mkuu?Makonda ana dawa, anyway, alitolewa kwenye uwaziri kwa sababu ya frequent trips za kwenda India kwa matibabu.
R. I. P, kigamboni imepoteza
Umeelewa nilichoandika au kwakuwa umeshiba makande yako uliyobakisha jana una comment tu?Yaan aache kwenda WHO abakie kwenye ubunge wa nchi ya kusadikika?
Hivi Huwa mnawaza kwa kutumia ubongo au uti wa mgongo?
Imeumiza sanaGhafla sana!
Una maanisha niniDah huyu backbencher mwezangu kasepa 😭😭😭😭