TANZIA Dkt. Faustine Ndugulile, aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni afariki Dunia

TANZIA Dkt. Faustine Ndugulile, aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni afariki Dunia

Apumzike kwa Amanin Dr. Faustine, matibabu ya huko India ni vizuri serikali ikayatathmini kama kwa sasa yana umhimu baada ya serikali kuboresha huduma za afya hapa nchini, vile vile kama taifa lazima tuna maadui wasioitakia nchi yetu mema hivyo hizo loopholes za viongozi kutibiwa India ni hatari sana. Kifo kipo lkn baadhi ya vifo vinakuwa na lesson to learn on how to adjust some issues as a country.
 
Back
Top Bottom