connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,190
- 3,039
Kama ni elimu anayo (DDS). Uzoefu wa uongozi, siasa (za upinzani na Chama chetu) kwann hapewi promotion kuwa Waziri Kamili kabla hajatemwa ubunge 2025 na Mwanri? Tatizo lipo wapi?
Naibu chini ya Mawaziri watatu tofaut? Kuna nini kimejificha?
Naibu chini ya Mawaziri watatu tofaut? Kuna nini kimejificha?