Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
[emoji7]Si wa kubeza hata kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji7]Si wa kubeza hata kidogo
[emoji44][emoji44][emoji1787]Mimi hanipasui huyo sina imani nae
Hivi uwaziri ni kama ubalozi wa nyumba kumi?Kama ni elimu anayo (DDS). Uzoefu wa uongozi, siasa (za upinzani na Chama chetu) kwann hapewi promotion kuwa Waziri Kamili kabla hajatemwa ubunge 2025 na Mwanri? Tatizo lipo wapi?
Naibu chini ya Mawaziri watatu tofaut? Kuna nini kimejificha?
[emoji1787]ukiona mnachukuliwa wachache kimsingi takwimu ndivo inasema
Matatizo yavinywa nchini ,machache sio kwamba ubora kama kachumbali unayotaka kuweka
[emoji7]Rais akiona anafaa kuwa waziri ataupata tu
Na sasa Zanzibar ipo DDS, chuo cha SUZA.Ni Muhas. Inapatikana hapo tu.
DDS hata Meno yake kayashindwa kuweka dental formula yake vizuri uwaziri ndio atauweza??DDS kirefu chake Doctor of Dental Surgery
DDS kirefu chake Doctor of Dental Surgery
Mikataba walioingia na Magufuli ilikuwa ni kuwa naibu waziri tu mwisho na sio waziri kamili.Kama ni elimu anayo (DDS). Uzoefu wa uongozi, siasa (za upinzani na Chama chetu) kwann hapewi promotion kuwa Waziri Kamili kabla hajatemwa ubunge 2025 na Mwanri? Tatizo lipo wapi?
Naibu chini ya Mawaziri watatu tofaut? Kuna nini kimejificha?
Hakuna mtu wa hovyo kama Dr Mollel. Hakuna Naibu Waziri wa hovyo kama Dr Mollel. Amepata tu hiyo nafasi kwa sbabu wakati wa Mwendazake alikubali kununuliwa kama bidhaa.Kama ni elimu anayo (DDS). Uzoefu wa uongozi, siasa (za upinzani na Chama chetu) kwann hapewi promotion kuwa Waziri Kamili kabla hajatemwa ubunge 2025 na Mwanri? Tatizo lipo wapi?
Naibu chini ya Mawaziri watatu tofaut? Kuna nini kimejificha?
Mtu bure sana huyo!Kama ni elimu anayo (DDS). Uzoefu wa uongozi, siasa (za upinzani na Chama chetu) kwann hapewi promotion kuwa Waziri Kamili kabla hajatemwa ubunge 2025 na Mwanri? Tatizo lipo wapi?
Naibu chini ya Mawaziri watatu tofaut? Kuna nini kimejificha?
Mwendazake anahusika vp tena wakati sasa hivi mwenye mamlaka ni Samia ndio mwenye kuteua na kutengua na keshawatengua hadi akina January na Nape, sasa huyo Mollel kama ni wa hovyo basi Samia ndio kamuweka hapo na si Magufuli.Hakuna mtu wa hovyo kama Dr Mollel. Hakuna Naibu Waziri wa hovyo kama Dr Mollel. Amepata tu hiyo nafasi kwa sbabu wakati wa Mwendazake alikubali kununuliwa kama bidhaa.
Kila nikiona muundo wa kichwa chake siamini kama kuna kitu ndani ya ubongo wake.
View attachment 3072275
Unaona wengine hawastahili apewe yeye? Mbona mna assume hivi vyeo ni zawadi.Kama ni elimu anayo (DDS). Uzoefu wa uongozi, siasa (za upinzani na Chama chetu) kwann hapewi promotion kuwa Waziri Kamili kabla hajatemwa ubunge 2025 na Mwanri? Tatizo lipo wapi?
Naibu chini ya Mawaziri watatu tofaut? Kuna nini kimejificha?
Kitila?Sijawahi kuona mtu kutoka upinzani anakuwa waziri kamili
Waitara
Katambi
Moleli
Silinde
N.k
Kumbe ni mng'oa meno?😂 Ndo maana hana akili.Kama ni elimu anayo (DDS). Uzoefu wa uongozi, siasa (za upinzani na Chama chetu) kwann hapewi promotion kuwa Waziri Kamili kabla hajatemwa ubunge 2025 na Mwanri? Tatizo lipo wapi?
Naibu chini ya Mawaziri watatu tofaut? Kuna nini kimejificha?
Kitila?Sijawahi kuona mtu kutoka upinzani anakuwa waziri kamili
Waitara
Katambi
Moleli
Silinde
N.k