Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
[emoji44][emoji44]Miaka 6 unasomea Udokta wa Meno kama sio Uzezeta ni nini?!
Sio udokta wa meno tu bali na UPASUAJI WA MENO(dental surgeries)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji44][emoji44]Miaka 6 unasomea Udokta wa Meno kama sio Uzezeta ni nini?!
Kama mnajua ni wa kutemwa mnataka apewe ukubwa ili iwejekwann hapewi promotion kuwa Waziri Kamili kabla hajatemwa ubunge 2025 na Mwanri? Tatizo lipo wapi?
Hakuna chuo cha kuunga unga kinachotoa DDSOoh chuo gani? Usikute kwenye vile vyuo vyetu vya kuunga unga
Si wa kubeza hata kidogoSasa "surgeon" ni mtu wa kubezwa ?!![emoji44]
Kampala international au kile Cha IMTU-Mbez sio vya kuunga?. Hata pale Mikocheni ni vile tumekausha tu.Hakuna chuo cha kuunga unga kinachotoa DDS
Kama Nani?Si anagombea WHO
Ni kama askofu Kilaini kutopewa jimbo toka tangu na tangu mapaka amestafu hajaonja utamu w jimboKama ni elimu anayo (DDS). Uzoefu wa uongozi, siasa (za upinzani na Chama chetu) kwann hapewi promotion kuwa Waziri Kamili kabla hajatemwa ubunge 2025 na Mwanri? Tatizo lipo wapi?
Naibu chini ya Mawaziri watatu tofaut? Kuna nini kimejificha?
Labda vimeanza miaka ya hivi karibuniKampala international au kile Cha IMTU-Mbez sio vya kuunga?. Hata pale Mikocheni ni vile tumekausha tu.
Katoliki ni tofauti na kwenye siasaNi kama askofu Kilaini kutopewa jimbo toka tangu na tangu mapaka amestafu hajaonja utamu w jimbo
Yule hata kuongea kwenyewe shida. Uwazir atauweza kweli
Mimi hanipasui huyo sina imani nae[emoji44][emoji44]
Sio udokta wa meno tu bali na UPASUAJI WA MENO(dental surgeries)
Ndo wale wale. Nani kakwambia kwamba lile ni kanisa la Mungu au biashara tu za wakubwaKatoliki ni tofauti na kwenye siasa
Umekuja mwenyewe sio kujipigia promo ,Kama bosi wako ameshindwa msadizi wako una sababu gani ya kuwepo,maana yake umeshindwa kummshauri bosi wako una haja gani ya kuwa hapoo ,ingelikuwa mfumo wetu umekaa vizri usinge kuwepo wewe ,makatibu wotee and the rest mgnt ya wizaraKama ni elimu anayo (DDS). Uzoefu wa uongozi, siasa (za upinzani na Chama chetu) kwann hapewi promotion kuwa Waziri Kamili kabla hajatemwa ubunge 2025 na Mwanri? Tatizo lipo wapi?
Naibu chini ya Mawaziri watatu tofaut? Kuna nini kimejificha?
ukiona mnachukuliwa wachache kimsingi takwimu ndivo inasema..DDS = Doctor of Dental Surgery.
..wanachukuliwa wanafunzi wachache sana.
..wao ndio " cream of the cream " ya wanafunzi wa PCB [ physics, chemistry, biology.]
MUHAS… baada ya kupata sups za kutosha….walimu wake Huwa wanasema huyu jamaa uwezo wake ni kisoda.Ooh chuo gani? Usikute kwenye vile vyuo vyetu vya kuunga unga