avogadro
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 8,082
- 14,457
Hii kozi ya meno ingekuwa instolewa na vyuo vya veta vya ufundistadi maana wao ni kungoa tuu na ma bisibisiDDS kirefu chake Doctor of Dental Surgery
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kozi ya meno ingekuwa instolewa na vyuo vya veta vya ufundistadi maana wao ni kungoa tuu na ma bisibisiDDS kirefu chake Doctor of Dental Surgery
Kudadadeq noma kilo 7 kwa hio veta wafungue kozi ya kung'oa Meno kwa tupa?Hii kozi ya meno ingekuwa instolewa na vyuo vya veta vya ufundistadi maana wao ni kungoa tuu na ma bisibisi
Yupo hapo kuleta balance za kijiografia tu lakini siyo weledi. Ni kwamba unapopanga baraza lazima luwe na uwiano wa kimikoa/ kikanda. Inasababisha kuleta utulivu wa kisiasaMwendazake anahusika vp tena wakati sasa hivi mwenye mamlaka ni Samia ndio mwenye kuteua na kutengua na keshawatengua hadi akina January na Nape, sasa huyo Mollel kama ni wa hovyo basi Samia ndio kamuweka hapo na si Magufuli.
Sasa hayo ni ya Samia na si marehemu.Yupo hapo kuleta balance za kijiografia tu lakini siyo weledi. Ni kwamba unapopanga baraza lazima luwe na uwiano wa kimikoa/ kikanda. Inasababisha kuleta utulivu wa kisiasa
Aliyeanza kumpa uw-Naibu Waziri ni Magufuli, samia amemkuta na ameendela naye kama alivyoendel3a na wengineSasa hayo ni ya Samia na si marehemu.
Si wote kaendelea nao wapo wengi aliyowatoa hivyo huyo kuendelea kuwepo hapo ni mipango na maamuzi ya Samia mwenyewe, kinyume na hivyo angeshamtoa kama walivyotolewa wengine.Aliyeanza kumpa uw-Naibu Waziri ni Magufuli, samia amemkuta na ameendela naye kama alivyoendel3a na wengine
Mollel ni bidhaa inayouzika kama mbuzi tuSi wote kaendelea nao wapo wengi aliyowatoa hivyo huyo kuendelea kuwepo hapo ni mipango na maamuzi ya Samia mwenyewe, kinyume na hivyo angeshamtoa kama walivyotolewa wengine.
Asiyeuzika ni nani? Labda mkuu una issue nae nyengine binafsi.Mollel ni bidhaa inayouzika kama mbuzi tu
Tuondelee hiyo takataka bana. Kama unaitaka peleka nyumbani kwako ndiyo uipe uwaziri kamiliAsiyeuzika ni nani? Labda mkuu una issue nae nyengine binafsi.
Kwani Dr Godwin anatokea mikoa ya Pwani au Zanzibar.Kama ni elimu anayo (DDS). Uzoefu wa uongozi, siasa (za upinzani na Chama chetu) kwann hapewi promotion kuwa Waziri Kamili kabla hajatemwa ubunge 2025 na Mwanri? Tatizo lipo wapi?
Naibu chini ya Mawaziri watatu tofaut? Kuna nini kimejificha?
Jimbo la Siha, Wilaya ya Hai mkoa wa KilimanjaroKwani Dr Godwin anatokea mikoa ya Pwani au Zanzibar.
Hizi ni sifa na vigezo muhimu katika serikali ya awamu ya sita.
Mimi ndio mama Samia ninayeteua mawaziri? Kama haumtaki basi wa kumwambia ni Samia na sio mtu mwengine.Tuondelee hiyo takataka bana. Kama unaitaka peleka nyumbani kwako ndiyo uipe uwaziri kamili
Wewe mwenyewe Dr Mollel na pia wewe mwenyewe Rais Samia. Chawa wengine mufilisi kabisa.Mimi ndio mama Samia ninayeteua mawaziri? Kama haumtaki basi wa kumwambia ni Samia na sio mtu mwengine.
Acheni kutuchefua na huyo pimbi wenuDr anastahili Wizara atambe nayo
Sasa natumika vp kwani mie ndio ninayemwambia Samia aendelee kumbakisha Mollel kwenye hiyo nafasi? Mbona chuki zinakutia ujinga mkuu? Yani unamchukia mtu ambaye hata hajui huko kama kuna mtu kama wewe ambaye unachukia kwa yeye kuwa katika hicho cheo, ni kujitesa bure mkuu.Wewe mwenyewe Dr Mollel na pia wewe mwenyewe Rais Samia. Chawa wengine mufilisi kabisa.
Ila nenda kwa Dr Mollel akakupe posho ya leo maana unetumika ipasavyo
Nataka kulijenga Taifa letu, huo ndiyo mchango wanguSasa natumika vp kwani mie ndio ninayemwambia Samia aendelee kumbakisha Mollel kwenye hiyo nafasi? Mbona chuki zinakutia ujinga mkuu? Yani unamchukia mtu ambaye hata hajui huko kama kuna mtu kama wewe ambaye unachukia kwa yeye kuwa katika hicho cheo, ni kujitesa bure mkuu.
Hujui kwamba pubkic speaking ni janga la kitaifAYule hata kuongea kwenyewe shida. Uwazir atauweza kweli?
Ndio kwa kumchukia Mollel?Nataka kulijenga Taifa letu, huo ndiyo mchango wangu