Brig General Carlitos Way
JF-Expert Member
- Apr 27, 2009
- 1,601
- 3,658
Kuna mchezaji mpira mmoja maarufu sana wa kiscotish sasa hivi ni Tv presenter anaitwa Ally Mcoist. Niliwahi fanya kazi na jamaa mlebanon alikua anaitwa Karim George na alikua mkristo. Nimeshakutana na wengi tu wa hivyo. Na kuna wakati jina favourate la watoto wa kiume huku mambelezi lilikua Muhammad. Haya ni majina tu ya kiarabu na kizungu. Wa Turkish Muhammad wanaitwa Mehmet. Kwahio hamna majina ya kiislam au kikristo ni wabongo fikra zao ndogo na wengi hawajasafiri.mtu umwambie wewe sheikh peter ama mtumishi ally itachukua muda sana kukubaliana
Bongo huku mtu abadilishe dini na hajabadilisha jina anaona badoKuna mchezaji mpira mmoja maarufu sana wa kiscotish sasa hivi ni Tv presenter anaitwa Ally Mcoist. Niliwahi fanya kazi na jamaa mlebanon alikua anaitwa Karim George na alikua mkristo. Nimeshakutana na wengi tu wa hivyo. Na kuna wakati jina favourate la watoto wa kiume huku mambelezi lilikua Muhammad. Haya ni majina tu ya kiarabu na kizungu. Wa Turkish Muhammad wanaitwa Mehmet. Kwahio hamna majina ya kiislam au kikristo ni wabongo fikra zao ndogo na wengi hawajasafiri.
Hebu wacha hizo na wewe!Uko ni kukosa kazi km nchi inamatatizo na mambo meng ya kushugulikia
Yan waziri mzma unaenda kufocus na maisha binafsi ya mtu huo ni uzwazwa na kukosa kaz na ayo ndo tunaita matumizi mabaya ya pesa na kodi za wananchi
na dr sule imekuwaje avae suti ili hali ni muislam?au kuna muda huwa analitadi na kurudi tena?kama unaamini mavazi ni ya dini fulani we ni mtumwa umeathirika vibayah sule unayaleta kwenye uzi huu wa veronica kisha huyo
We nae babujinga umetokea wapi mbona umekurupuka kama chafya😂kuna angle fulani huwa mnadai hayo ni mavazi tu yaani nyie ni vinyonga kweli.Uislam ni utamaduni wa kiarabu.
Sasa hayo mambo ya sule yananihusu nini mimi😂 wewe ndio mtumwa kwa kumtetea mtu ambae alijiita latifa wakat anadai analala na joka kumbe jina alopewa na wazee wake ni vero😂 sasa nimekosea wapi kusema ukweli bint wa iman fulani kuvaa nguo za kujitambulisha kama ni waimani ya tofauti na yake na si nguo tuuu alijiita hadi jina la imani tofauti na yake sasa nimekosea wapi🤭 basi samahani bwana wewe kwa kukosea kusema hivyo ila ukweli hauwezi kubadilisha lengo lake au lao lilikuwa lipina dr sule imekuwaje avae suti ili hali ni muislam?au kuna muda huwa analitadi na kurudi tena?kama unaamini mavazi ni ya dini fulani we ni mtumwa umeathirika vibaya!
naCourt ilikuwa inamuhusu yule dada Isipokuwa tushukuru busara za waziri wetu, ameshughulika na hili kijamii zaidi.
Sasa mimi na ww nani uelewa wake mdogo jombi😂 kwenye uzi wa veronica sijui latifa kisha wewe unaleta habari za sule hebu kaangaike na mambo yako unaonekana vikoba vinakuchanganya😂Mmmh wewe ni tatizo uelewa wako mdogo sana!
Tunapuuza jinai chungu mzima kijamii, tungesema tusimamie kila jinai korti zingefurika kupindukia maana hata kumwambia mtu shenzi, hiyo ni jinai kamili, masihara ya kijinga yapo ya kiasi gani katika Jamii.Jinai haifutwi na busara.
na