Vito Corleone
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 2,418
- 5,257
Niulize kitu je nyoka anapenda chumvi chumvi ?Na je huyu manzi alikuwa anatungaliza kichwa kwanza?Am confused
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye hii sheria sijaona majani ya miti yanayotakiwa kwenye mchanganyiko wa dawa ya kujifukiza ili kujikinga na covid19Soma Sheria ya Tiba Asili na Tiba Mbadala namba 23 ya mwaka 2002. Changamoto yetu kubwa ni kuzifahamu sheria zetu wenyewe tulizotaka awali zitungwe. Akija wa kutekeleza watu wanamshangaa. Habari za mchana
Usinipangie cha kumuambia? Em tulizanaa.Unataka kumwambia nini huyu mama?
Nakukumbusha tu kuwa upungazeze nchi hii hatuutaki, na juzi bungeni kaweka bayana msimamo wake katika hilo.
Labda umwambie mambo mengine.
[emoji23][emoji23][emoji23] lazima limfikiee mh Dr.Lile halifai kampyuku, acha nalo
Asilimia kubwa ya watu walio mitandaoni waliamini kweli mimi nilikuwa naishia kusoma comments zao instagram nikawa nacheka kimoyomoyo kiukweli bado tuna safari ndefuKama utakuwa uliamini ile story ya nyoka,wewe ni mmoja wa Watanzania wanaochangia umasikini na unatakiwa ufe kwani hauna faida yoyote hapa duniani.
⏫Official statement above, mara tuonapo jambo ambalo kimantiki tunaona waziwazi hili linapotosha umma, tuliripoti.Ahsante Sana, naomba tu Kila anayeoona uongo uongo fulani kwenye Kila link basi tupeane ushirikiano. Maana naweza nikawa kuna link inaendelea mahali na mimi sijaiona na watu wanapotea.
How?, Watanzania shukrani hawana, kwahiyo ulipenda mawasiliano kati ya waziri na mwananchi wa kawaida yawe magumu, ili serekali ionekane imefail, chadema bana, ni lazima pawepo na flexibility na ndiyo maana njema ya kutumia mitandao vizuri, huu ni JamiiForums, unahusika na Jamii nzima ya Tanzania, na tuliyenaye hapa ni waziri anayehusika na mambo ya kijamii, ambayo ndiyo msingi wa familia bora, yenye adabu, uchamungu wa kweli na yote mema, kwa Jamii yote ya watanzania.Nchi hii ukitaka kukutana na waziri, fanya ujinga tu mitandaoni 😂😂😂😂😂
Tatizo wabongo wanachanganya mambo hakuna majina ya kiislam au kikristo, kuna majina ya waarabu na wazungu. Ukienda Lebanon, au hata Misri tu hapo unaweza kuta mtu anaitwa Abdallah au Muhammad lakini ni mkristo. Wabongo hawasafiri hivi vitu hawawezi kuvijua na unaweza bishana na mtu mpaka mapovu yakamtoka. 😂 😂 😂 😂Jina sio imani
mtu umwambie wewe sheikh peter ama mtumishi ally itachukua muda sana kukubalianaTatizo wabongo wanachanganya mambo hakuna majina ya kiislam au kikristo, kuna majina ya waarabu na wazungu. Ukienda Lebanon, au hata Misri tu hapo unaweza kuta mtu anaitwa Abdallah au Muhammad lakini ni mkristo. Wabongo hawasafiri hivi hawawezi kuvijua na unawezabishana na mtu mpaka mapovu yakamtoka 😂 😂 😂 😂
Kufuatia sheria hii, je analijua Baraza la tiba asili na tiba mbadala na Kurugenzi ya tiba asili na tiba mbadala na dawa husika wanazosajili kwa sheria hiyo? Majukumu yao unayajua?Kwenye hii sheria sijaona majani ya miti yanayotakiwa kwenye mchanganyiko wa dawa ya kujifukiza ili kujikinga na covid19
M/kiti kamati ya burudani nipo wizo 😂😂😂Mama Gwajima Shkamoo...
Vipi lile jambo letu la ndoa za kikatoliki tunaomba kupewa kibali, nataka nifunge ndoa takatifu na Poor Brain kwenye kanisa la ST PETERS hapo dar mwezi ujao.
Natumai nitapata leseni kutoka ofisi yako yenye uzalendo mkubwa. Ahsante.
Ni mimi katika ujenzi wa Taifa, BICHWA KOMWE.
Cc: Lamomy cocastic