Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali

Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali

Ushuuda

2014- njaa kali imenichapa mtaani sina mishe, napendeza tu hasubuhi naangaika kutafuta kazi na kukosa kesho yake muendelezo huo huo mpaka mwaka unaisha naanza tena mizunguuko ya kutafuta kazi mwaka ujao-was so hard

2014- nipo masikani baada ya mizunguuko ya hapa na pale nimepoa- tulikuwa vijana wengi wengi kidogo mida ya saa tano inaenda sita za mchana- akaja uncle tu wa mtaani akatuambia kuna inshu tu ya mahojiano hapo muhimbili kuwa mnahojiwa tu mahojiano yakiisha mnapewa posho -degree nyingi kichwani nikahoji’ mahojiano hayo yanahusu nini! Yule uncle akapangua akasema kila kitu mtakijua huko huko- vijana tukaitana tukafika kama vijana 30 hivi? Yulee uncle akatoa nauli elf 5,5 Kwa kila mmoja na akatuambia mkimaliza mahojiano mtapewa posho na akatoa location- hakuna asiyeijua hospital ya muhimbili so akatuelekeza mpaka kwenye hizo ofisi

Sijui sasa kuwa hicho kitengo kipo hapo muhimbili siku zote au walikodi tu Office kwa ajili ya mahojiano ila yote hayo anayoyasema Mh- hapo yalikuwepo kwenye mahojiano na ilikuwa ukiwa mzembe lazima unase-WALLLAH nilikataa na posho yenyewe ile ile elf 5 niliyopewa kama nauli ilitosha kabsa kunirudisha nyumbani kama nauli-M/MUNGU atusimamie InshAAllah

Kwanza hapo reception kwao tulipofika ni mashoga tupu yaani wamejaa, tukaanza kutonyana jamaa katupa dili la kuja kuwabandua nini? Hawa mashoga- nomaa, hatimaye tukaulizia na kuambiwa ndio hapa kuna interview na tukaitiwa wahusika wakatupa utaratibu wakatuambia anaingia mmoja mmoja kwenye hicho kachumba Kwa ajili ya mahojiano- hatari

Nikatishe story ili nisiwachoshe

Maswali yalikuwa hivi kwenye hicho chumba

Unaulizwa jina lako?

Unaulizwa unasikia kuhusu mapenzi ya jinsia moja au unajua kabsa?

Unaulizwa ulishawahi shiriki mapenzi na mwanaume mwenzako ? Kama uliwahi unaulizwa tena ulijisikiaje?

Kama haujawahi unaulizwa unaonaje? Siku uje kujaribu?
Unaulizwa utapenda uje? Kujaribu na condom au bila condom!

Unaulizwa tena unapenda wewe uwe ndio unamfanya mwenzako au yeye? Ndio anakufanya au wote muwe mnafanyana kwa zamu?

Ukikubali unaambiwa upo? Tayari tukutafutie mtu ambaye atakuwa anakufanya au unamfanya bila tatzo lolote yaani yeye atakuwa anakubali tu umfanye au akufanye?

Na unaulizwa Kama ulishawahi kumuingilia msichana kinyume na maumbile na kama ukikubali wanakiringanisha hicho kitendo ni sawa tu na kumuingilia mwanaume mwenzako na wanakushawishi uwe tayari kumuingilia na mwanaume mwenzako

Wanakuuliza utajisikiaje? Siku ukiingiliwa bila wewe mwenyewe kujua uenda ulikuwa umelala au umelewa je? Utaendelea na hicho kitendo au utaacha baada ya kujua kama umefanyiwa

Wana maswali mengi sana ya mtego mtego- na hapo ukiwa unawaunga mkono kwenye maswali yao ndio posho inaongezeka na ndio wanakuwa wanakujali sana, utapewa chakula na n.k

Na wanakubembeleza ukubali kuingia kwenye mkumbo huo wanakwambia kama hautaki kuingiliwa sio tatzo wewe utakuwa unawaingilia tu wanaotaka kuingiliwa na ukihoji ntawapata wapi? Unaambiwa wapo usiwe na shaka juu ya ilo na kwa malipo kama utahitaji-mtihani sana

Wanomba namba yako ili siku kukiwa na semina utumiwe sms au upigiwe uambiwe uende kuudhuria vikao vyao wanatoa vipeperushi, wanagawa na condom na mafuta special ya kutumia wakati wa tendo - ni msiba kweli kweli

Hapo walikuwepo wariorudi mpaka na elf 50 Kama posho ya siku hiyo na vicheko vingi sana kwangu baada ya kutoka kwenye hicho kachumba na kutimua zangu maana walituambia tule na tusubiri pesa zetu Mimi nikasepa zangu na kuja kupata mrejesho kutoka kwa watu nilioongozana nao- vishawishi mia fill mia lazima uingie mtegoni kama ni kichwa cha panzi.
Kuna Dr pale mwanamke kitengo Cha magonjwa ya akili ni mnyakyusa ndio huwa anadeal na huu uchafu. Anavaa vikuku Sana
Na mwingine mpare. Hawaeleweki lakini ndio maisha yao
 
Haikuwa kuongopeana. Hili suala lipo sana Zanzibar, Tanga, Lamu, Mombasa na Dsm. Kwa sasa limezagaa. Na waarabu wana hii michezo sana sema wao huwa wanapinga hadharani ila wanatenda gizani. Waislamu mimi sitaki wazungumzia.

Kwa Marekani wao hawana Dini ya Taifa na wanachofanya wazungu ni kuondoa unafiki. Wakati sisi tunapiga sana kelele kuwa hatuli kitimoto ila wakati wa mfungo ukiuliza wauzaji watakwambia hasara zao.
AAhahaaaaa,dah weka mkuu
 
Hawa wazungu ki ukweli nashindwa kuwaelewa juu ya promotion ya uchafu huu, nini malengo yao?, wanajaribu kutengenezea future ya aina gani?
Depopulation ya watu weusi mkuu.
Imagine mzungu 1 anawageuza vijana milioni wa kitanzania kuwa wasagaji na mashoga na mabasha.
Huko mbeleni tutakuwa hatuna watoto mkuu.
Tutakufa na kutoweka
 
Acha upumbavu wewe! Mwakyembe ni mtu wa mchezo mchezo wa kumfananisha na hao walala njaa wasio na lolote ?! Hana shida ya Kiki huyo, maisha anayo na yenye mafanikio yaliyotukuka! Anasema ukweli kama mzalendo na mzazi mwenye uchungu!
Wewe kasema kweli, umesha usikiliza upande wa pili, ngoja uthibitisho upati kane, wana siasa waongowaongo kidogo, lejea ahadi zao kipindi cha uchaguzi, sitetei ila si vizuri kumuamini mtu kwa haraka zaidi, subiri upande wa pili ujitokeze, huenda ana sema kweli au hapana, kwanzia akatwe na wale wajumbe kule kigamboni baada ya kuwakashifu kuwa hawakusoma, sijamuona teeeeena, ndo kaibuka sasa
 
Wizara ya afya ndio inatumika kufadhili haya Mambo.
Huku mikoani wapo mpaka vijijini.
Wanakuja kwa kivuli sijui Cha mambo ya ukimwi au mpango wa afya ya vijana lakini lengo lao ni kusambaza ushoga na usagaji.
Bahati mbaya wanaoeneza kampeni hizo ni watanzania wenzetu.
 
hakuna anaeridhika na pesa na vyeo bana weee...

Kinana alikuwa Waziri wa Ulinzi na international broker wa vitalu tokea kabla Mwakyembe hajazaliwa, na bado hajaridhika, karudi kwenye siasa na umaarufu.

Usiniambie Mwakyembe yuko vizuri hana shida. Anatafuta kiki na hao watu hatawataja.
Wahasira yuko serikalini toka kipindi cha nyerer,yeye swala la kungatuka halimuhusu,angatuke amuachie nani
 
Kinacho furahisha zaid kwenye hili sakata la ushoga na mashoga. Miaka khadhaa iliyopita hapa mtaani kwetu NARUNG'OMBE na SIKUKUU DSM tuLIkuwa tunaongopeana kwamba haya mambo ni ya WAARABU na WAISLAM. Hatimae muda wakuwajua wenyemali umefika sasa Dunia nnzima inafahamu ni baba la mababa UNITED STATE OF AMERICA (US) na wadogo zake UROPEAN UNION (EU)
Hakuna usichanganye issue hapa, kinachoiponza marekani, wao ni sera yao ya kuwa muwazi, kijitangaza, na vilele anasimamia watu kuishi na ndo maana ingawa marekani ni wazungu ila linapokuja swala la binaadamu kupata haki ya kuishi huwa anasimama kidete, we ushaona china anazungumzia maswala ya haki ya binaadamu?

Iwe kisiasa au lolote,au demokrasia? Au ushawahi ona russia anazungumzia demokrasia na utawala bora? kumbuka putini ana miaka zaidi ya27 hataki kutoka, na marufuku kuleta nyokonyoko, full udiktekta, chini ya urusi na china, viongozi wanahaki ya kuwafanya raia zao vyovyote watakavyo na wasifanywe kitu, tofauti dunia ikiwa chini ya marekani, na ndo maana viongozi wengi wa aafrica hawampendi marekani, ngojeeni marekani aondoke katika kuisimamia dunia mtaaona, shetani mmoja akifa basi mwingine anazaliwa.
 
Sikubaliani na Ushoga ila pia nasema Ushoga haujawahi kuwa tatizo kwenye Taifa letu ili, Nashauri viongozi hawa waliowahi kushika nafsi adhimu kwenye taifa hili waachane na kujadili habari za Ushoga, Hazina faida kwa nchi na zina leta tension zisizokuwa na Msingi
 
Kinacho furahisha zaid kwenye hili sakata la ushoga na mashoga. Miaka khadhaa iliyopita hapa mtaani kwetu NARUNG'OMBE na SIKUKUU DSM tuLIkuwa tunaongopeana kwamba haya mambo ni ya WAARABU na WAISLAM. Hatimae muda wakuwajua wenyemali umefika sasa Dunia nnzima inafahamu ni baba la mababa UNITED STATE OF AMERICA (US) na wadogo zake UROPEAN UNION (EU)

Usa na ulaya walichoamua kufanya ni kutokuwq wanafiki, ila wengi wa nchi zilizobaki wejawa unafiki mtupu, nikuulize wapi usa au ulaya walivamia nchi ili watu wake walazimishwe kuwa mashoga?
 
Hana njaa hiyo huyo kaka... anaongea ukweli. Kumbuka msemakweli siku zote hupigwa vita!

Alinusurika kuuwawa kwa sumu ambayo ingempa kansa ya ngozi miaka kenda iliyopita kisa tu kuwa mkweli na kuchukizwa na ujingaujinga. Hana shida ya teuzi wala kiki mzee huyo yupo vizuri kwelikweli!
Ukweli ni lazima uanikwe ili kulinusuru taifa letu. Naona Marekani na Ulaya wameamua kwa nguvu zote kupenyeza ajenda ya ushoga kwa nchi za Afrika. Haishangazi tunapoona nchi baadhi ya nchi za Kiafrika pia zikibadili misimamo na kuanza kutambua haki zao kupitia mihimuli ya mahakama.

Cha kushangaza ni kuwa pale Putin alipoweka wazi msimamo wake kuhusu kupinga matendo ya kishoga, Ulaya na Marekani wanafanya kila na kwa nguvu zote kutetea uchafu huu kwa kigezo cha haki za binadamu. Dr. Mwakwembe amefanya vyema ili kutoa tahadhari ya ukubwa wa tatizo kwa hivi sasa hapa nchini.

Ni jambo la kuogofya sana kuchukulia matokeo ya tatizo kubwa sugu kwa mtizamo hafifu wa kuwa kama dalili za tatizo hilo. Kama mtandao mkubwa upo hapa nchini tena unaendeshwa kwa mfumo unaoeleweka wa kiutawala na kimenejimenti, basi serikali itambue kuwa imechelewa sana kuchukua hatua stahiki.

Si ajabu katika madai ya Katiba Mpya yakatokea madai ya kutambua haki za LGBTIQA eti kwa kigezo kuwa nchi yetu iliridhia haki zao msingi ikiwa kama mojawapo ya nchi wanachama wa UN. Ni lazima tujiulize ni kwa nini Rais Museveni ameamua kukubali sheria kali ziwekwe dhidi ya ushoga na mashoga katika kipindi hiki? Huenda amepata taarifa ya "whistle brower" kama Dr. Mwakwembe na hatimaye kujiridhisha kuwa tatizo ni kubwa kuliko watu wengi wanavyolichukulia nchini mwake.

Makamu wa Rais wa Marekani anakuja hivi karibuni hapa nchini. Amini nawaambia pamoja na mambo mengine ni lazima ataligusia jambo hio. Na tunavyopenda misaada na wawekezaji wa kigeni nina hofu juu ya msimamo wa wazi wa viongozi dhidi ya ushetani huu.
 
Makonda alisema hivyo hivyo anawajua lakini mmarekani alipompa onyo na kumpa ban, hakuna aliyemtetea au kunyanyua mdomo wake, na aliishia kupoteza vyeo vyote vya kisiasa, nasubiri kitakacho mpata Museveni maana tayari kuna video kibao mitandaoni waganda wakiwachapa mashoga, Ruto naye alinyanyua mdomo against mashoga leo maandamano nchi nzima yalipotokea nobody knows
 
Ukweli ni lazima uanikwe ili kulinusuru taifa letu. Naona Marekani na Ulaya wameamua kwa nguvu zote kupenyeza ajenda ya ushoga kwa nchi za Afrika. Haishangazi tunapoona nchi baadhi ya nchi za Kiafrika pia zikibadili misimamo na kuanza kutambua haki zao kupitia mihimuli ya mahakama.

Cha kushangaza ni kuwa pale Putin alipoweka wazi msimamo wake kuhusu kupinga matendo ya kishoga, Ulaya na Marekani wanafanya kila na kwa nguvu zote kutetea uchafu huu kwa kigezo cha haki za binadamu. Dr. Mwakwembe amefanya vyema ili kutoa tahadhari ya ukubwa wa tatizo kwa hivi sasa hapa nchini.

Ni jambo la kuogofya sana kuchukulia matokeo ya tatizo kubwa sugu kwa mtizamo hafifu wa kuwa kama dalili za tatizo hilo. Kama mtandao mkubwa upo hapa nchini tena unaendeshwa kwa mfumo unaoeleweka wa kiutawala na kimenejimenti, basi serikali itambue kuwa imechelewa sana kuchukua hatua stahiki.

Si ajabu katika madai ya Katiba Mpya yakatokea madai ya kutambua haki za LGBTIQA eti kwa kigezo kuwa nchi yetu iliridhia haki zao msingi ikiwa kama mojawapo ya nchi wanachama wa UN. Ni lazima tujiulize ni kwa nini Rais Museveni ameamua kukubali sheria kali ziwekwe dhidi ya ushoga na mashoga katika kipindi hiki? Huenda amepata taarifa ya "whistle brower" kama Dr. Mwakwembe na hatimaye kujiridhisha kuwa tatizo ni kubwa kuliko watu wengi wanavyolichukulia nchini mwake.

Makamu wa Rais wa Marekani anakuja hivi karibuni hapa nchini. Amini nawaambia pamoja na mambo mengine ni lazima ataligusia jambo hio. Na tunavyopenda misaada na wawekezaji wa kigeni nina hofu juu ya msimamo wa wazi wa viongozi dhidi ya ushetani huu.

Swali ni je mtaweza kuendesha nchi bila usa na ulaya,ambapo zaidi ya 40% ya bajeti wanawapa msaada,achilia mbali mikopo na ufadhili mbalimbali,chanjo za watoto zinazotolewa bure mtaweza zilipia wakiacha kutufadhili?

Wengi hawelewi hoja za hao usa au ulaya,hao jamaa wanachotaka ni kuacha unafiki mtu kaamua kutinduliwa mkundugu wake acha atinduliwe wewe ina kuuma nini hasa?yani wanataka kila mtu awe free kwa sexual affiliations zake sio kusimangwa wala kuuwawa kisa.
 
Back
Top Bottom