Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali


Bongo,ufisadi,rushwa,uzinzi,ulevi vimekua vitu vya kawaida hata huo ushoga umeanza na utakua kitu cha kawaida tu,
 
Mkuu tumia akili huo lazima ulikuwa ni utafiti...
Watu mna akili nyepesi sana...unafikiri Muhimbili mafala...hahaha
 
Tuache kumbeza Mwakyembe hata kama anatafuta back up ya kisiasa ni sawa tu maana anaitafutia kwenye kitu sahihi hili suala la ushoga sio la kulikalia kimya, au kuliweka kisiasa, ni suala la kijamii, hususani maadili ya watoto na taifa kwa ujumla. Yeyote mwenue influence ya kifedha, kisiasa au kidini atakae tokeza na kulipinga wazi wazi tunatakiwa tumsapoti sana, maana hali ni mbaya na inazidi kuwa mbaya.

Viongozi wengine wamekaa kimya mnadhani wanafanya sawa kukaa kimya? Hawa wachache walio jitokeza Mfano Makamu wa Rais Dkt Mpango na Mwakyembe tunatakiwa kuwa shukuru sana na kuwapa moyo ikibidi hizi clip zao tushee kwa wingi ili ujumbe ufike mbali.

Hawa wamarekani hata kama wanatusaidia kutupatia ARV, vyandarua na ujinga mwingine kwa kivuli cha msaada basi wasitupelekeshe wanavyo taka. Kwa mambo ya kijinga kama haya ya kupenda misaada walituletea huu ukimwi miaka ya 90 na ukimwi ule ulichakaza sana watu, kila nyumba ilikua inawaka moto. Wakaja kutuletea dawa za kufubaza ili watutawale vizuri na sio siri wanatutawala sio poa.

Nawaambieni tukiwa maboya boya hivi watatuletea ugonjwa mwingine ambao wao dawa wanazo na kwao hawana magonjwa hayo. Mfano hai covid ile ni ugonjwa wa kutengeneza lab, Tusimame tujitetee, tujitegemee tuache ufala na ku ukumbatia umaskini, unyonge kama ni sifa nzuri. Masuala ya kukopa kopa haya ndo yanaleta miyeyusho sana.. Aaah inaumiza sana
 
Alipokuwa waziri wa sheria alichukua hatua gani na ushoga ulikuwepo?
Cheap politics.
Alikuwa anafanya uchunguzi wa kina ili anapokuja kwenye media awe na ushahidi rasmi.

Siyo kila kitu siasa na tuwe makini na Jamii zetu kwa maisha ya kesho, wakati mwingine saa mbovu husema ukweli.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Alikuwa anafanya uchunguzi wa kina ili anapokuja kwenye media awe na ushahidi rasmi.

Siyo kila kitu siasa na tuwe makini na Jamii zetu kwa maisha ya kesho, wakati mwingine saa mbovu husema ukweli.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mbona hajafanya uchunguzi wa ufisadi anatuzuga na vielelezo uchwara vya kutinduana mavi.
 

Inaumiza sana,aliyeonyesha nia thabiti ya kusimama imara kiuchumi,mlimfanyia figisu na zengwe.
 
Hawa wamarekani hata kama wanatusaidia kutupatia ARV, vyandarua na ujinga mwingine kwa kivuli cha msaada basi wasitupelekeshe wanavyo taka

Kwani umelazimishwa kufirwa?

Si unafirwa kwa ridhaa yako mwenyewe? Au unatafuta KIKI KWA PIKIPIKI ili uonekana kwamba unafirwa na wamarekani?
 
Mkuu tumia akili huo lazima ulikuwa ni utafiti...
Watu mna akili nyepesi sana...unafikiri Muhimbili mafala...hahaha
Humu pamejaa mavilaza ya ajabu sana.

Utafiti kama huo for academic purposes ni wa kawaida sana, kwahiyo lazima wajaze dodoso ili wapate data kuhusu homosexuality.

Nchi ina mamburula wengi sana hii, wakiongozwa na Kiranja wao ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE.
 
Serikali haiwafahamu ila Mwakyembe anawafahamu.....siasa tu hizi.
RPC wa Dsm wakati huo Alfred Gewe alishawahi pelekewa askari choko. Unaambiwa jamaa alikutwa amevaa chupi 5 kwenye ukaguzi ofisini kwa Gewe. Gewe mwenyewe alishangaa pale askari huyo alimpotajia askari machoko wenzake na baadhi ya wakubwa serikalini waliokuwa na tabia hizo.
 
Afu mvua zisiponyesha kuna Kenge wanajifichia kwenye KICHAKA cha Hayati JPM alikuwa katili, kumbe ukatili wenyewe ndiyo huo wa kuzibiwa mianya ya LGBTQIA

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Wewe ni mjinga sana, hiyo ni RESEARCH QUESTIONNAIRE ambayo imeandaliwa na CHUO CHA MUHIMBILI kwa ajili ya kupata taarifa za homosexuality for academic purposes.

Huwezi kushughulika na ushoga bila kuelewa ushoga ni nini haswa, unakurupuka kama nyumbu na stori za jumla jumla za mabeberu, mara sijui unataka kuliwa kinyeo!

Ndio maana hawa wasomi wa MUHIMBILI wakaandaa madodoso ili kufanya utafiti wa ushoga nchini, na hiyo ilikuwa ni njia moja wapo ya kupata data kupitia hayo madodoso.

Kiranja wenu ZEE LA USHOGA MWAKIEMBE anawaingiza chaka sana.
 
Acha ujinga basi wewe, huyo Jamaa si ndiye alitetea kabisa hao kenge akidai hawezi kuingilia mambo ya faragha za Watu? Kupakuana vinyesi ndiyo mambo ya faragha? Nimekutukana kwa kilugha [emoji57]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…