Hujuwi siasa za Kyela wewe... Kutana na Kipija hapo Mashinene akupatie underground zake zote hapo .Acha uongo bana, Mwakyembe toka awe nje ya ulingo, hapo kyela amewahi fanya nini cha kumsema kuwa anatafuta njia, mzee wa watu kakaa kimya hata mkutano wa kijijini kwao tu pale kilanga kata ya ikolo hajawahi itisha hata kikao. zaidi ya kuhudhuria chaguzi za ndani ya chama tu
Kama humpendi mtu usimpakazie vitu
Sent from my CPH2121 using JamiiForums mobile app
Acha ujinga mkuu...Dkt Mwakyembe na viongozi wengine wakubwa Serikalini tafadhali zungumzie mambo yenye tija katika Taifa letu ikiwemo ajira, elimu, miundombinu nakadhalika.
Swala la ushoga ni jambo la kipuuzi na halifai hata kidogo kuzungumzia. Swala hilo linahusiana na malezi kwahiyo wazazi na walezi wanapaswa kubeba hili jukumu. Kiongozi mkubwa serikalini unapozungumzia ni sawa na kushusha hadhi yako kwasababu ni swala linalohusiana na makalio leo hii tujadili makalio tutakuwa watu wa hovyo.
Wananchi wanataka kufahamu kuwa ni lini watapata ajira, ni lini gharama za maisha zitashuka, ni lini kodi itakuwa rafiki kwa wananchi na mengineyo mengi.
Yani we unaona ushoga ni Jambo dogo ktk nchi hii?Dkt Mwakyembe na viongozi wengine wakubwa Serikalini tafadhali zungumzie mambo yenye tija katika Taifa letu ikiwemo ajira, elimu, miundombinu nakadhalika.
Swala la ushoga ni jambo la kipuuzi na halifai hata kidogo kuzungumzia. Swala hilo linahusiana na malezi kwahiyo wazazi na walezi wanapaswa kubeba hili jukumu. Kiongozi mkubwa serikalini unapozungumzia ni sawa na kushusha hadhi yako kwasababu ni swala linalohusiana na makalio leo hii tujadili makalio tutakuwa watu wa hovyo.
Wananchi wanataka kufahamu kuwa ni lini watapata ajira, ni lini gharama za maisha zitashuka, ni lini kodi itakuwa rafiki kwa wananchi na mengineyo mengi.
Kwa hiyo wewe unaona hilo suala halina tija kwa taifa?Dkt Mwakyembe na viongozi wengine wakubwa Serikalini tafadhali zungumzie mambo yenye tija katika Taifa letu ikiwemo ajira, elimu, miundombinu nakadhalika.
Swala la ushoga ni jambo la kipuuzi na halifai hata kidogo kuzungumzia. Swala hilo linahusiana na malezi kwahiyo wazazi na walezi wanapaswa kubeba hili jukumu. Kiongozi mkubwa serikalini unapozungumzia ni sawa na kushusha hadhi yako kwasababu ni swala linalohusiana na makalio leo hii tujadili makalio tutakuwa watu wa hovyo.
Wananchi wanataka kufahamu kuwa ni lini watapata ajira, ni lini gharama za maisha zitashuka, ni lini kodi itakuwa rafiki kwa wananchi na mengineyo mengi.
Watu wanataka ajira, gharama za maisha zishuke na sio kufiranaKwa hiyo wewe unaona hilo suala halina tija kwa taifa?
Yaani wewe huoni umuhimu wa Mwakyembe kulizungumzia?
Nini kinakuuma kwa yeye kulizungumzia?
Sana tena ni upuuzi, watu wanataka ajira sio kuchokonoana makalioYani we unaona ushoga ni Jambo dogo ktk nchi hii?
Mwanasiasa ni mwanasiasa, kwa hiyo hapo mwanzoni alikuwa hajui kama anawajua hao aliowaongelea mpaka hili tukio? Kwamba anasubiri nini kama anaona ana wajibu wa kutoa taarifa kwa vyombo husika?amezungumza kama mzazi au mlezi na aliyazungumza katika kongamano lililokuwa likijadili jambo husika.
Aishushe mara ngapi? Kwa usomi wake na kuishia kwenye siasa, alishaishusha!Dkt Mwakyembe na viongozi wengine wakubwa Serikalini tafadhali zungumzie mambo yenye tija katika Taifa letu ikiwemo ajira, elimu, miundombinu nakadhalika.
Swala la ushoga ni jambo la kipuuzi na halifai hata kidogo kuzungumzia. Swala hilo linahusiana na malezi kwahiyo wazazi na walezi wanapaswa kubeba hili jukumu. Kiongozi mkubwa serikalini unapozungumzia ni sawa na kushusha hadhi yako kwasababu ni swala linalohusiana na makalio leo hii tujadili makalio tutakuwa watu wa hovyo.
Wananchi wanataka kufahamu kuwa ni lini watapata ajira, ni lini gharama za maisha zitashuka, ni lini kodi itakuwa rafiki kwa wananchi na mengineyo mengi.
Mama wajawazito wana maswali kuwa lini huduma za afya zitaboreshwa bado hawajajibiwa leo hii tujadili makalio kweli? Badala ya kujadili mambo ya msingiKwanza alitakiwa azungumze Amiri jeshi mkuu mwenyewe. Sijui kwa nini yuko kimya
Wanakua ni wale waleHalafu huwa sielewi kwann akitokea kiongozi akawa anafanya kampeni ya kutokomeza mashoga huwa kunatokea watu na vikundi vyao kumpinga, hawa watu wanakuwa na ajenda gani nyuma ya pazia, wanafurahia haya mambo au?
Imagine kina mama wanajifungulia chini, maji bado changamoto, umeme wa manati halafu eti kama taifa tukae tunafatilia vinyeo vya watu!!Mama wajawazito wana maswali kuwa lini huduma za afya zitaboreshwa bado hawajajibiwa leo hii tujadili makalio kweli? Badala ya kujadili mambo ya msingi
Acha kuziba ufahamu wako, leo hii viongozi waanze kujadili mada za makalio si watakuwa watu wa hovyo? Wajadili mambo yenye tija katika taifa habari za makalio ni upuuzi mtupu ndio maana mtu mwenye akili timamu hawezi kuzungumzia, unapozungumzia mambo ya kuchokonoa makalio utaonekana mjinga, zungumzia mambo ya maana kama ajira miundombinu na menginey
nilihisi wewe ni mmoja wao , naanza kuona hivo sasa , unajifanya haufahamu kama taifa imara huanza na familia imara,, msingi wa taifa lolote lile imara huanza na familia ndio maana tunatakiwa tujadili suala la nyinyi kuleta tabia zenu za hovyo kwa sababu zikiachwa hizo tabia zenu ni hatari sana kwa ustawi wa familia na nchi kiujumlaAcha kuziba ufahamu wako, leo hii viongozi waanze kujadili mada za makalio si watakuwa watu wa hovyo? Wajadili mambo yenye tija katika taifa habari za makalio ni upuuzi mtupu ndio maana mtu mwenye akili timamu hawezi kuzungumzia, unapozungumzia mambo ya kuchokonoa makalio utaonekana mjinga, zungumzia mambo ya maana kama ajira miundombinu na mengineyo
Sana mkuu, matatizo ni mengi sana inamaana wao hawayaoni?Imagine kina mama wanajifungulia chini, maji bado changamoto, umeme wa manati halafu eti kama taifa tukae tunafatilia mikundu ya watu!!
Ujinga all the way.