Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali

Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali

Tatizo la nchi yangu hii kila mmoja ni msemaji wa serikali.

Hili tatizo lipo na kila tunapolizungumzia tunalipa nguvu ya kukuwa kwa kasi mwisho wa siku hata hawa watotozetu watazoea kusikia mwishowe linakuwa jambo la kawaida na ndipo kili mmoja anaanza kushiriki ni kama ukimwi ulivyo kuwa ukiimbwa ila now day inaonekana ni ugonjwa wa kawaida.

Uganda wanalia na ushoga Kenya wanalia na ushoga tanzania vichwa vyetu kama tufe tunajifanya hatuoni wala hatusikii japo familia zetu zinalia na ushoga na usagaji ulawiti na ubakaji.

Africa kusini Brazil China hadi urus kilio ni kimoja achana na ueingereza na narekani ambao kwao wameruhusu hata mtoto kufanya mapenzi na mamaake na ikiwezekana amuowe kabisa.

Hapa tunaizungumzua Tanzania nchi ya maziwa asari na nyama
Inayoliwa na wachache kwenye meza kubwa
1. Mwakyembe ameongea anayoyajua yeye.

2. Tatizo la ushoga lipo tena ni kubwaaaa balaaaaaaaaaaa tena wanayodanya ni vijana wadogo sana 16years old + wengi wamekukulia maisha magumu ya kimasikini wanatamani kuwa na maisha mazuri kama ya mtoto wa fulani wamiliki simu kubwa laptop nguo nzuri usafiri wanukie pia watambe mitaani.

Tatizo linaanzia hapa
Pesa wanazo watu wenye tabia za ulawiti na usagaji
2.hawa jamaa wanaokuza hii michezo kwanza wamejipanga wapo nchi zote duniani afu wanasaidiana na wamezishika serikqri zote duniani mahari papaya.

Hawa jamaa wamepandikiza watuwao kwenye sekta zooote
Dini siasa kilimo mahakama magereza kwenye misaada kwenye makampuni makubwa taasisi za kijamii
Hizi mnaita kompasion hospital kubwa duniani mpaka last week nmeona bendela ya mashogo inapepea kwenye moja ya hospital kubwa hapa nchini.

Hawa ndio wanazipa mikopo na misaada ya liba nafuu selikali zetu hivyo hivo selikari zetu zinakuwa hazina nguvu za kuikemea.

3.wanawadadhiri wanafunzi wengi kwenda kusoma kwenye nchi zao na pia wanawafadhiri wanachama wao kupata mikopo ama ufadhiri na uhakika wa ajira.

4.nchi zinazokubali hivi vitendo tiali kwenye shule zao huwafundisha watoto wadogo namna ya kushiriki mapenzi ya jinsia moja na jinsi ya kujikinga.

Nimalizie tu kwa kusema hata vidonge vya kuzuia ukimwi ndani ya masaa 72 kama ulifanya ngono isiyo salama vililetwa mahususi kwaajiri ya wanaume wanaofanya hayo mambo kwakuwa inakuwa ni rahisi kuambukizana.
 
Marekani yeye pesa zake hapa bongo lazima zije kupitia NGOs.
 
Usichokijua ni kama usiku wa giza.

1. Sekta ya afya 60% ni pesa za Grants ambazo ndo zinatumika kununua dawa na vifaa tiba. Own sources plus Government Grant ni 40% ambayo inatumika ku finance sekta ya afya. Wakiacha kutoa hiyo misaada (Grants) sekta ya afya ina collapse...

Okay, wahisani wanachangia 60% ya sekta ya afya.

Kwa hiyo 60% ya health bill ya Tanzania ni gharama za kutibu TB, Malaria, Ukimwi na Ukoma?

Yes or No?
 
Hivi kabisa unamuamini Harison 😂😂.

Makatazo ya jambo huwa hayapewi promo, ukiona jambo linasemwa sana jua wanaolisema sema wanalitaka.

Mwiko huwa hautangazwi
Hata watu wa Kyela wanatushangaa sana huyu jamaa hamna kitu kabisa, ameona amesahaulika sasa anatafuta kiki ya ntoke vipi



 
Okay, wahisani wanachangia 60% ya sekta ya afya.

Kwa hiyo 60% ya health bill ya Tanzania ni gharama za kutibu TB, Malaria, Ukimwi na Ukoma ????

Yes or No ????
Inaelekea wewe ni darasa la saba. Hata tungekesha tunakuelimisha hutaelewa. Tumeshajua level ya uelewa wako hakuna sababu ya kuendelea kupoteza muda na mtu kama wewe.
 
Mwakyembe alichokifanya ni kuweka wazi jambo hili la ushoga,

Haijalishi wewe umelipokeaje na umeelewaje huku mitaani tuliko jambo hili linakuwa na kuongezeka

Watu kama ninyi mnatupoteza ili mwakyembe alichosema kionekane cha kijinga hakina maana.

Ushoga kwa sasa uko kwa kiasi kikubwa na sasa hivi hawajifichi wako wazi

Hata wanyama watuzidi akili kweli huwezi ona mbuzi dume anampanda dume mwenzake kwnn sisi tunashindwa kuelewa.

Matokeo ya binadamu yeyote ni tendo la mwanaume kukutana na mwanamke na si vinginevyo.
 
Waungwana salama!

Hapa jukwaani hivi karibuni kumekuwepo na ongezeko la nyuzi zinazoashiria na kulalamika, kwamba vitendo vya mapenzi ya jinsia moja vimekithiri nchini tofauti na huko nyuma.

Watu wengi wamekuwa na mshangao nikiwepo mimi. Sasa kuna hii taarifa ya Harrison Mwakyembe ambayo inazunguka kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mashirika na taasisi mbalimbali kushiriki kampeni za kueneza ushoga Tanzania.

Nikiri kwamba nimeshituka mno, natamani iwe tu propaganda ila ikiwa hata na chembe kidogo cha ukweli, basi tumekwisha.

Natumai vyombo vyetu vitafanya kazi kuliokoa taifa.
 
Mwakyembe alichokifanya ni kuweka wazi jambo hili la ushoga,

Haijalishi wewe umelipokeaje na umeelewaje huku mitaani tuliko jambo hili linakuwa na kuongezeka

Watu kama ninyi mnatupoteza ili mwakyembe alichosema kionekane cha kijinga hakina maana.

Ushoga kwa sasa uko kwa kiasi kikubwa na sasa hivi hawajifichi wako wazi

Hata wanyama watuzidi akili kweli huwezi ona mbuzi dume anampanda dume mwenzake kwnn sisi tunashindwa kuelewa.

Matokeo ya binadamu yeyote ni tendo la mwanaume kukutana na mwanamke na si vinginevyo.
Umesoma kweli ukaelewa context ya kilichoandikwa? au umerukia juu kwa juu tu.
Kama ndo hivyo kazi ipo siyo ndogo.
 
Waungwana salama!

Hapa jukwaani hivi karibuni kumekuwepo na ongezeko la nyuzi zinazoashiria na kulalamika, kwamba vitendo vya mapenzi ya jinsia moja vimekithiri nchini tofauti na huko nyuma.

Watu wengi wamekuwa na mshangao nikiwepo mimi. Sasa kuna hii taarifa ya Harrison Mwakyembe ambayo inazunguka kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mashirika na taasisi mbalimbali kushiriki kampeni za kueneza ushoga Tanzania.

Nikiri kwamba nimeshituka mno, natamani iwe tu propaganda ila ikiwa hata na chembe kidogo cha ukweli, basi tumekwisha.

Natumai vyombo vyetu vitafanya kazi kuliokoa taifa.
Wanakuja hapa Mashoga makungwi kukutukana wewe na wachunguzi husika wa namna ya ushoga unavyopandikizwa TZ na athari zake, nimekaa pale [emoji117][emoji87]
 
Nadhani nyote mmemsikia wakati anatoa report ya wanyeviti wa mashoga wa kanda na taasisi wanazotokea.

Ameongea kwa uchungu sana.

Mungu ambariki.
 
Nadhani nyote mmemsikia wakati anatoa report ya wanyeviti wa mashoga wa kanda na taasisi wanazotokea.

Ameongea kwa uchungu sana. Mungu ambariki.
Ameongea kwa uchungu sana tumemsikia Ila mashoga wa humu JF wakiona huu uzi utaona reaction yao utapigwa vita
 
Back
Top Bottom