Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali

Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali

Duh! Kama mambo yao ndio yapo hivi sipati picha huko motoni kutakua hakukaliki kabisa
Wengi wao, kati ya mashoga na wasagaji niliowahi kuongea nao, wanaijutia hiyo hali.

Wengi wanahitaji msaada wa kisaikolojia zaidi, kwani wana hali ya kujifunga bongo zao kufikiri zaidi ya kukata tamaa kuwa hali yao ni irreversible, lakini si kweli. Ushoga na usagaji ni reversible kiwepesi sana ikiwa watapata msaada wa consultation za kisaikolojia kama wale AA.

Nafahamu wanawske walioondokana na hali hiyo na wanaishi maisha mema na yenye furaha na family zao nje kabisa ya usagaji. Wanafanya toba na kujuta kwa Muumba wao kwa makosa waliyoyafanya.

Pa kuanzia ni kurudi kwa Muumba wao na kuwa wacha Mungu.
 
Halafu kaileta kipindi cha report ya CAG inakabodhiwa kwa raisi, na ina madudu mengi sana. Badala kujadili wezi wa Mali za umma tuko busy na ushoga. Ushoga wenyewe hatuwezi hata ku deal nao tunalalama kwenye keyboard tu hapa. Hela zinaliwa matokeo yake huduma mbovu za afya, miundo mbinu etc.
Tulisema siku nyingi hayo,
Tukaambiwa tunaropoka,
Matokeo yameonekana sasa na bado watu hawajali hilo wapo busy kufukunyua nani shoga, nani msagaji 🥲
 
Mwanzo sikuichukulia serious ya Mwakyembe nilijua anatafuta kiki tu ila mfululizo wa matukio na ile video ya yule dada namna alivyokuwa akieleza nilipata picha tofauti.

Ukiangalia ripoti zote zimeportray kuwa mashoga wanaishi maisha mazuri na wana association.


Kwenye social media siku moja kabla ya Kamala Harris kufika LGBTQ ndiyo ilikuwa trending issue nikaanza kupata picha kuwa hii ya Mwakyembe huenda yupo kazini pamoja na yule dada.

Anakwambia unajaza fomu inapelekwa Marekani,
Huku Vijana wengi ndoto zao ni kwenda Marekani na Ulaya je hawajashawishika kutaka kufika kwenye hiyo taasisi ambayo hata hawafanyi hayo,

Mwakyembe na yule Dada lao moja kweli
 
Kawajuaje
Utafiti umefanyika Kwa muda mrefu tangu akiwa waziri na Sasa wametoa ripoti yao. Waafrika sijui tukoje .Watu wanapigania Uafrika wetu na Mila zetu halafu Kuna watu wanawaza maslahi TU huku Taifa likiangamia .Ndio maana Afrika tulitawaliwa kirahisi sana na Wakoloni Kwa sababu ya watu waliothamini nguo za Kaniki kuuza wenzao na kuwaua Kwa manufaa ya wageni. Sasa wageni wale wale wanakuja Kwa namna Ile Ile ya vimisaada na kupunguza au kumaliza kizazi Cha Mtu Mweusi Kisha Afrika iendelee kuwa chini ya mabeberu.

Mwakyembe Mungu wetu aliyewaumba watu weusi atampigania hakika Tuko tayari kuwakosesha mashoga Kwa namna yoyote . Tutawachoma hata moto mitaani na wanapoishi kabla hawajafanikiwa kuwamaliza waafrika tutawamaliza mawakala wao na Mali zao . Kama kuna jambo la kuandamana na kulipinga Kwa nguvu zote ni kuwaacha hao waliotajwa bila kuchukuliwa hatua. Hatutawakubali na mbinu zao zote wakiwemo wale akina mama wanaoeneza mambo ya usingle mother na usagaji hatuta wapa nafsi na harakati zao za kijinga.
 
Wengi wao, kati ya mashoga na wasagaji niliowahi kuongea nao, wanaijutia hiyo hali.

Wengi wanahitaji msaada wa kisaikolojia zaidi, kwani wana hali ya kujifunga bongo zao kufikiri zaidi ya kukata tamaa kuwa hali yao ni irreversible, lakini si kweli. Ushoga na usagaji ni reversible kiwepesi sana ikiwa watapata msaada wa consultation za kisaikolojia kama wale AA.

Nafahamu wanawske walioondokana na hali hiyo na wanaishi maisha mema na yenye furaha na family zao nje kabisa ya usagaji. Wanafanya toba na kujuta kwa Muumba wao kwa makosa waliyoyafanya.

Pa kuanzia ni kurudi kwa Muumba wao na kuwa wacha Mungu.
Dah! Shida sana! Bora hata wanawake wanaweza ku recover ila c wanaume! Uanaume ukisha upoteza ndio bye bye milele dah! Eeh Mola ee!
 
Dah! Shida sana! Bora hata wanawake wanaweza ku recover ila c wanaume! Uanaume ukisha upoteza ndio bye bye milele dah! Eeh Mola ee!
Wote wanaweza kuondokana na hilo tatizo. Hakuna kisichowezekana.
 
Anakwambia unajaza fomu inapelekwa Marekani,
Huku Vijana wengi ndoto zao ni kwenda Marekani na Ulaya je hawajashawishika kutaka kufika kwenye hiyo taasisi ambayo hata hawafanyi hayo,

Mwakyembe na yule Dada lao moja kweli
Ataefikirinkujazwa fomu na kupelekwa Marekani ndiyo yeye awe shoga kwa ajili anafikiri atapelekwa Marekani huyo ana matatizo ya akili na anahitaji msaada.

Tujitahidi kuwasaidia kisaikolojia waathirika.

Tuanzie kwako, maana wewe umekiri kuwa ni msago (lesbian).

Upo kundi ipi la usagaji? Kidume (butch), jike (femme), gold star au queer? Kuna na lipstick lesbians.

Tuanzie hapo, funguka bibie.
 
Nauliza swali kwa mashoga na wasaganaji...

Kuna kipi cha kujivunia kws kuwa shoga au msaganaji?
 
Utafiti umefanyika Kwa muda mrefu tangu akiwa waziri na Sasa wametoa ripoti yao. Waafrika sijui tukoje .Watu wanapigania Uafrika wetu na Mila zetu halafu Kuna watu wanawaza maslahi TU huku Taifa likiangamia .Ndio maana Afrika tulitawaliwa kirahisi sana na Wakoloni Kwa sababu ya watu waliothamini nguo za Kaniki kuuza wenzao na kuwaua Kwa manufaa ya wageni. Sasa wageni wale wale wanakuja Kwa namna Ile Ile ya vimisaada na kupunguza au kumaliza kizazi Cha Mtu Mweusi Kisha Afrika iendelee kuwa chini ya mabeberu.

Mwakyembe Mungu wetu aliyewaumba watu weusi atampigania hakika Tuko tayari kuwakosesha mashoga Kwa namna yoyote . Tutawachoma hata moto mitaani na wanapoishi kabla hawajafanikiwa kuwamaliza waafrika tutawamaliza mawakala wao na Mali zao . Kama kuna jambo la kuandamana na kulipinga Kwa nguvu zote ni kuwaacha hao waliotajwa bila kuchukuliwa hatua. Hatutawakubali na mbinu zao zote wakiwemo wale akina mama wanaoeneza mambo ya usingle mother na usagaji hatuta wapa nafsi na harakati zao za kijinga.
Povu linakutoka utadhani wewe Mungu mtu hukosei.
 
Ataefikirinkujazwa fomu na kupelekwa Marekani ndiyo yeye awe shoga kwa ajili anafikiri atapelekwa Marekani huyo ana matatizo ya akili na anahitaji msaada.

Tujitahidi kuwasaidia kisaikolojia waathirika.

Tuanzie kwako, maana wewe umekiri kuwa ni msago (lesbian).

Upo kundi ipi la usagaji? Kidume (butch), jike (femme), gold star au queer? Kuna na lipstick lesbians.

Tuanzie hapo, funguka bibie.

Watu kibao wanajitia ukimbizi wa sexualites na wala sio homos, wanaondoka kwenye nchi zao, mfano sakata la Uganda sasa hivi, watu kibao wanasepa kwa upepo huo huo, kwenye suala la kutafuta maisha usianze kujudge watu,

Kama wanahitaji msaada wa kisaikolojia watakutafuta wao,

Wewe endelea kuokota okota maneno ya kwenye mitandao ukiona jina la kuvutia utanipachika. [emoji23]
 
Utafiti umefanyika Kwa muda mrefu tangu akiwa waziri na Sasa wametoa ripoti yao. Waafrika sijui tukoje .Watu wanapigania Uafrika wetu na Mila zetu halafu Kuna watu wanawaza maslahi TU huku Taifa likiangamia .Ndio maana Afrika tulitawaliwa kirahisi sana na Wakoloni Kwa sababu ya watu waliothamini nguo za Kaniki kuuza wenzao na kuwaua Kwa manufaa ya wageni. Sasa wageni wale wale wanakuja Kwa namna Ile Ile ya vimisaada na kupunguza au kumaliza kizazi Cha Mtu Mweusi Kisha Afrika iendelee kuwa chini ya mabeberu.

Mwakyembe Mungu wetu aliyewaumba watu weusi atampigania hakika Tuko tayari kuwakosesha mashoga Kwa namna yoyote . Tutawachoma hata moto mitaani na wanapoishi kabla hawajafanikiwa kuwamaliza waafrika tutawamaliza mawakala wao na Mali zao . Kama kuna jambo la kuandamana na kulipinga Kwa nguvu zote ni kuwaacha hao waliotajwa bila kuchukuliwa hatua. Hatutawakubali na mbinu zao zote wakiwemo wale akina mama wanaoeneza mambo ya usingle mother na usagaji hatuta wapa nafsi na harakati zao za kijinga.
Wewe tafuta ugali na wanao, unahangaika bure na vinyesi.

Usichokijua ni kwamba hata huyo kamanda wako wa ushoga Mwakiembe anapakuliwa na watoto wa UDOM.
 
Back
Top Bottom