AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,577
- 4,637
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Dkt. Hassan Abassi amesema agizo la kufungulia vyombo vya habari lililotolewa na Rais Samia Suluhu linahusu televisheni za mtandaoni pekee na siyo pamoja na magazeti.
Amesema endapo kukiwa na maagizo mengine yanayohusu magazeti, atatekeleza.
---
Huyu ni kichwa ngumu bado amelala, tunaomba mama yetu umuache huyu mtu aendelee kulala, hakufai.
Amelipuuza agizo lako...anajifanya mjuaji...anakujua sana kuliko unavyojielewa...
Amesema endapo kukiwa na maagizo mengine yanayohusu magazeti, atatekeleza.
---
Huyu ni kichwa ngumu bado amelala, tunaomba mama yetu umuache huyu mtu aendelee kulala, hakufai.
Amelipuuza agizo lako...anajifanya mjuaji...anakujua sana kuliko unavyojielewa...