Dkt. Hassan Abassi: Agizo la Rais Samia kufungulia vyombo vya habari linahusu televisheni za mitandaoni pekee

Dkt. Hassan Abassi: Agizo la Rais Samia kufungulia vyombo vya habari linahusu televisheni za mitandaoni pekee

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2015
Posts
2,577
Reaction score
4,637
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Dkt. Hassan Abassi amesema agizo la kufungulia vyombo vya habari lililotolewa na Rais Samia Suluhu linahusu televisheni za mtandaoni pekee na siyo pamoja na magazeti.

Amesema endapo kukiwa na maagizo mengine yanayohusu magazeti, atatekeleza.

---
Huyu ni kichwa ngumu bado amelala, tunaomba mama yetu umuache huyu mtu aendelee kulala, hakufai.

Amelipuuza agizo lako...anajifanya mjuaji...anakujua sana kuliko unavyojielewa...
 
Huyu ni kichwa ngumu...bado amelala...TUNAOMBA MAMA YETU...UMUACHE HUYU MTU AENDELEE KULALA...HAKUFAI...
Amelipuuza agizo lako...anajifanya mjuaji...anakujua sana kuliko unavyojielewa...

View attachment 1745298

View attachment 1745299
Huyu ndiye adui namba moja dhidi ya vyombo vya habari kwa sasa hapa Tanzania. Tuanze sasa kudeal naye mpaka apigwe chini. Dr. Abbasi ni mzigo kwenye serikali ya awamu ya sita.
 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Dkt. Hassan Abassi amesema agizo la kufungulia vyombo vya habari lililotolewa na Rais Samia Suluhu linahusu televisheni za mtandaoni pekee na siyo pamoja na magazeti.

Amesema endapo kukiwa na maagizo mengine yanayohusu magazeti, atatekeleza.

---
Huyu ni kichwa ngumu bado amelala, tunaomba mama yetu umuache huyu mtu aendelee kulala, hakufai.

Amelipuuza agizo lako...anajifanya mjuaji...anakujua sana kuliko unavyojielewa...
Huyu ni pro Meko pure na ameshajichokea.

Huyu anataka kwenda kujiajiri hana jengine analolitafuta.

Anabishana na rais wake kisa ni mwanamke?
Hizi taka tak mama Samia anatakiwa azifurumushe
 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Dkt. Hassan Abassi amesema agizo la kufungulia vyombo vya habari lililotolewa na Rais Samia Suluhu linahusu televisheni za mtandaoni pekee na siyo pamoja na magazeti.

Amesema endapo kukiwa na maagizo mengine yanayohusu magazeti, atatekeleza.

---
Huyu ni kichwa ngumu bado amelala, tunaomba mama yetu umuache huyu mtu aendelee kulala, hakufai.

Amelipuuza agizo lako...anajifanya mjuaji...anakujua sana kuliko unavyojielewa...
Kishaanza kupandisha mabega !
 
Back
Top Bottom