Dkt. Hassan Abassi: Agizo la Rais Samia kufungulia vyombo vya habari linahusu televisheni za mitandaoni pekee

Dkt. Hassan Abassi: Agizo la Rais Samia kufungulia vyombo vya habari linahusu televisheni za mitandaoni pekee

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Dkt. Hassan Abassi amesema agizo la kufungulia vyombo vya habari lililotolewa na Rais Samia Suluhu linahusu televisheni za mtandaoni pekee na siyo pamoja na magazeti.

Amesema endapo kukiwa na maagizo mengine yanayohusu magazeti, atatekeleza.

---
Huyu ni kichwa ngumu bado amelala, tunaomba mama yetu umuache huyu mtu aendelee kulala, hakufai.

Amelipuuza agizo lako...anajifanya mjuaji...anakujua sana kuliko unavyojielewa...
Alichokisema rais ndicho hicho. Kila mtu alisikia hivyo. Kwa kuwa kwa kawaida serikali huendeshwa kwa maandishi au nyaraka na kwa sababu rais katika hotuba ile alitaja tu vi online tv vidogo vidogo vilivyokuwa vimefungiwa, Dr Abbas yuko sahihi. Kama rais aliimanisha na magazeti yaliyokuwa yamefungiwa Dr Abbas atapaswa kwanza kumuuliza Katibu Mkuu Kiongozi ili kupata uhakika. Halafu kwani ni magazeti yapi yalifungiwa? Si ni lile la Mbowe (Tanzania Daima), la Kubenea (Mwanahalisi) na lile la Tundu Lissu (jina nimelisahau) tu? Haya hata yakiruhusiwa wamiliki wake hawana uwezo tena wa kifedha kuyaendesha.
 
Huyu Dr. kuna kitu anakitafuta

Madam kasema anawaangalia kwa miezi 6 ila kwa mwendo huu huyu hata week anaweza asimalize

Huku ni ku-beep, in fact it is an obvious negligence!!!
Hii ni zaidi ya negligence. Ni insubordination yenye viwango vya uhaini. Haya majitu jamii ya Abass ndio yaliyokuwa yanammislead JPM

Sasa mama Samia anawatreat kama wachawi na kawaachia “mtoto wahangaike nae kumlea” ili wakikaidi awatumbue mapema
 
Bila kuwa ‘mkono wa chuma’ mama yenu hataiweza nchi hii, amuulize mkwere alishindwa wapi adi leo hii tunamwona ‘failure’
 
Inawezekana ana "MAKENGEZA" ya masikio, nashauri akapimwe. Sio kwa kuongea huko kwa msisitizo kama yeye ndio "RAIS".

Huyu mtu ni kiherehere wa taifa, kwenye msiba wa Magufuli alikua kama ndio msemaji wa familia vile na sura yake kama kiatu.

Hawa watendaji wa serikali sasahivi wanapaswa waelewe kwamba "YOYOTE ATAKAETAKA KUMHUJUMU RAIS WETU, SISI RAIA NDIO TUTAPAMBANA NAE". Sasa hivi hatuendi kwa itikadi za kichama, tunakwenda kwa itikadi ya #Mama.

Watuachie Mama yetu na waendelee kumuomboleza Mzee wao alietangulia mbele ya haki.

#MamaKASEMA
 
Hii ni zaidi ya negligence. Ni insubordination yenye viwango vya uhaini. Haya majitu jamii ya Abass ndio yaliyokuwa yanammislead JPM

Sasa mama Samia anawatreat kama wachawi na kawaachia “mtoto wahangaike nae kumlea” ili wakikaidi awatumbue mapema
Najua anaona tabu kupiga U-turn ila maza kawapa second chance

Apambane si unacheza kutokana na mziki tu??

Yaani Dr. kakwama kabisa madam atamkwamua mazima
 
Mh Rais alimchanganya Kitla na Wizara yake wakati kamuhamisha juzi kati tu. Mpeni KM huyu a benefit of doubt.
 
Hili lijamaa jeusi kama Iddi Amin linajua bado lipo katika utawala wa Magufuli
 
Vile Madame kasema anafuatilia social media kuhusu watendaji wake basi now kila mtu flani hafai, hafai, hafai huyo, ahahaaa do!.
 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Dkt. Hassan Abassi amesema agizo la kufungulia vyombo vya habari lililotolewa na Rais Samia Suluhu linahusu televisheni za mtandaoni pekee na siyo pamoja na magazeti.

Amesema endapo kukiwa na maagizo mengine yanayohusu magazeti, atatekeleza.

---
Huyu ni kichwa ngumu bado amelala, tunaomba mama yetu umuache huyu mtu aendelee kulala, hakufai.

Amelipuuza agizo lako...anajifanya mjuaji...anakujua sana kuliko unavyojielewa...
Dr Abas anazingua,na hakika atazinguliwa.
Umri huo hajui kwamba maelekezo ya Rais Ni amri?
 
Vile Madame kasema anafuatilia social media kuhusu watendaji wake basi now kila mtu flani hafai, hafai, hafai huyo, ahahaaa do!.
Sio swala la kufuatilia au kutofatilia

Hili ni swala la fact mkuu
 
Huyu nae ni jibu huwa anajiona sana huyu Abass na watu wengi hawakupendi ww sababu ya tabia yako mbaya sim tv zipi Sasa zilizofungiwa za maana Kama sio vyombo vya habari kwa hiyo magazeti ni nn
 
Safi mkuu timiza majukum kwa uweledi kulingana na Miongozo
 
Alichokisema rais ndicho hicho. Kila mtu alisikia hivyo. Kwa kuwa kwa kawaida serikali huendeshwa kwa maandishi au nyaraka na kwa sababu rais katika hotuba ile alitaja tu vi online tv vidogo vidogo vilivyokuwa vimefungiwa, Dr Abbas yuko sahihi. Kama rais aliimanisha na magazeti yaliyokuwa yamefungiwa Dr Abbas atapaswa kwanza kumuuliza Katibu Mkuu Kiongozi ili kupata uhakika. Halafu kwani ni magazeti yapi yalifungiwa? Si ni lile la Mbowe (Tanzania Daima), la Kubenea (Mwanahalisi) na lile la Tundu Lissu (jina nimelisahau) tu? Haya hata yakiruhusiwa wamiliki wake hawana uwezo tena wa kifedha kuyaendesha.
Umemsikiliza au kumsoma peke yako? Chuki zako peleka kaburini kwa JIWE. Kilangila.
 
Back
Top Bottom