Dkt. Hassan Abbas: Serikali ipo tayari kufanya mabadiliko yoyote kwenye kanuni au sera ya habari

Dkt. Hassan Abbas: Serikali ipo tayari kufanya mabadiliko yoyote kwenye kanuni au sera ya habari

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo imesema ipo tayari kubadili sera na sheria ya vyombo vya habari kulingana na maoni ya wadau wa tasnia ya habari nchini.

Hayo yameelezwa na katibu mkuu wa wizara hiyo, Dk Hassan Abbas leo Jumatano Aprili 28, 2021 wakati akifungua kongamano la wadau wa habari lililoandaliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (Unesco).

Amesema Serikali ipo tayari kufanya mabadiliko yoyote kwenye kanuni au sera ya habari iwapo wadau watapendekeza maoni wanayoona yanafaa kuistawisha tasnia hiyo.
 
Vipi sheria ngumu hadi zimewabana na wao wenyewe waliozilazimishia kwa uma... Sasa napata picha halisi Viongozi wa Tanzania akili zimeanza kurejea taratibu... Awamu ya tano tuliishi maisha ya hatari kuliko Maisha ya Ukoloni ukatiri zaidi
Huyo Abasi anatumia VPN😅😅😅
 
Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo imesema ipo tayari kubadili sera na sheria ya vyombo vya habari kulingana na maoni ya wadau wa tasnia ya habari nchini.

Hayo yameelezwa na katibu mkuu wa wizara hiyo, Dk Hassan Abbas leo Jumatano Aprili 28, 2021 wakati akifungua kongamano la wadau wa habari lililoandaliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (Unesco).

Amesema Serikali ipo tayari kufanya mabadiliko yoyote kwenye kanuni au sera ya habari iwapo wadau watapendekeza maoni wanayoona yanafaa kuistawisha tasnia hiyo.
Huyu Dr Tumbotumbo leo ndio anaona kuna haha ya kubadili Sheria walizopitisha akiwa hapo wakati wa angel the hooligan sio. Kweli dunia inaenda kwa kasi sana
 
Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo imesema ipo tayari kubadili sera na sheria ya vyombo vya habari kulingana na maoni ya wadau wa tasnia ya habari nchini.

Hayo yameelezwa na katibu mkuu wa wizara hiyo, Dk Hassan Abbas leo Jumatano Aprili 28, 2021 wakati akifungua kongamano la wadau wa habari lililoandaliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (Unesco).

Amesema Serikali ipo tayari kufanya mabadiliko yoyote kwenye kanuni au sera ya habari iwapo wadau watapendekeza maoni wanayoona yanafaa kuistawisha tasnia hiyo.
Abass ni lazima ang'olewe Wizara ya Habari , mabadiliko yoyote chini yake hatutakubali
 
Fungulieni yale magazeti mliyofungia, sio kufungulia blogs peke yake, hili jambo hata halihitaji kutolewa maelezo popote ulikuwa ni uamuzi wa ajabu.
 
Sheria si walikuwa wanatengeneza wao na kusigina zingine
Sasa imekuwaje wanataka ushauri tena
Kweli beats hizi ni mpya kabisa hatujazizoea
 
Back
Top Bottom