MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Wakati anatumikia taifa alikuwa halipwi? Kila mtu anatumikia taifa kwa kazi halali anayofanya. Mkulima, seremala, mhunzi, mhandisi hadi mbeba zege anatumikia taifa. Sarungi naye alitumikia taifa na kupata ujira wake. Nothing special.SHIDA KUBWA. Na kama Rais ameshindwa hata ku acknowledge kifo cha waziri wa Afya na alielitumikiq taifa….. ni aibu sana
Ila muda wa kutweet SIMBA na Yanga anapata
What a shame
Kama pia shida ni Maria , basi hatuna viongozi wenye weledi
Maria sio Sarungi na baba hawezi ku control njia aliyochagua mtoto ambae ni mtu mzima
Mzee Sarungi ni highly respected leader.
Rais amekosa BUSARA kwenye hili eneo
watakachofanya kukutoa uhai ndio akili za ccm zimefikia hapo ndio wanaona ndo kujenga hojaSasa ndo utashangaa viongozi wa Kenya, hupigwa spana na bila kujali viongozi hujitokeza kujibu mapigo ya spana live yani.
Rais wa Kenya Ruto ,Wakenya walimbatiza majina ya kasongo yeye, Zakayo e bwana siku Ruto akaenda live
Kwanza akasema awekewe mziki wa Kasongo yeye , akacheza na badae akajibu mapigo ya Zakayo kwa kusema akiitwa Zakayo ni sawa ilihali Kenya inaenda mbele, akaongeza kwamba bora Zakayo alimuona live Yesu wakati wengine wanasikia tu.
Tangu kipindi kile izo kauli zimekufa zenyewe.
Viongozi wa tz wanatakiwa jifunza siasa za Kenya
Hivi unahandika ukiwa umeinama wanakushugulikia niniWakati anatumikia taifa alikuwa halipwi? Kila mtu anatumikia taifa kwa kazi halali anayofanya. Mkulima, seremala, mhunzi, mhandisi hadi mbeba zege anatumikia taifa. Sarungi naye alitumikia taifa na kupata ujira wake. Nothing special.
huyu mzee mavi sana hana akili hata kidogo huo uprofesa sijui alihongwa? ninawasiwasi na jinsia yake huyu mzeeKumbe na maprofesa nao wanakuwa hawana akili?!! Nimechelewa sana kujua hili. Hilo la Samia kutotaka kwenda huko aliambiwa yeye inbox?!!! Zee zima limekalia unyumbu wa kijinga hivi, yaani anapelekwa na mawazo ya kina lema?!!! Pumbaaavu! Ndo maana anazeeka kwa kukauka, kule kwetu tunaita 'kukochopala' sababu ya kukalia majungu na uzushi.
Ye kiwango chake ni kuelezea maendeleo ya tone-tone na siyo kumfuatilia Samia. Samia ni lidude limoja likuuubwa sana kwake haliwezi.....akubali na atulie. Hajajifunza tu walivyomshindwa Kikwete?!!
Kabisa Mkuu,kutuletea viazi Hawa ni dharau kwetu,Tena viazi vilivyooza!Na hivi Raisi kuwaambia wakuu wa mikoa,wilaya,wakurugenzi kama wanania ya kugombea ubunge, Udiwani,waseme mapema,tutawaona Hawa jamaa zetu wakipambania ujinga ,Huenda wakaziba nafasi hizo Kwa akili za Hawa wakipewa ,nahama mkoa.Kuzaliwa kwao ni matumiza mabaya ya manii, bora baba zao wangepiga nyeto tu.
Samia kafanya vyema nan huu ni mwezi wa ramadhani, UNAFIKI tupa kule!! Ulitaka amfurahishe nani??Samia kukataa Kwenda kwenye Msiba wa Sarungi inaleta picha mbaya! Ni visasi ndani ya nafsi, Taasisi ya Ikulu haina ushauri mzuri juu ya mwenendo wa Rais, tunajua kisa ni @MariaSTsehai, kifupi Rais wa Nchi kaharibu,,,
Kutoka X
Unajua ukisema neno mavi kuwa ushazoea kuwa wana kushugulikia hiyo sehemu inayo toa hayo mavihuyu mzee mavi sana hana akili hata kidogo huo uprofesa sijui alihongwa? ninawasiwasi na jinsia yake huyu mzee
Masuala ya kijamii yanahusu tamaduni hayahusiani na sheria.Kuna sheria iliyovunjwa kwa Rais kutokwenda msibani?
Kweli akili ni nywele,kila Mtu anazake!Ukinizingua nakuzingua, all in all aende asiende prof kashasepa hivyo. Tujifunze kupitia hili, huku kitaa mbona wapuuzi kibao tunasusia misiba yao kisa ndg au jamaa zao kuzingua? Maza aachwe afanye kazi.
Lowasa alitukanwa mara ngapi na matusi mangapi na wana cc akiwemo makonda? Alipofariki walienda au hawakwenda?Lwaitama ni mpuuzi. Hata kama mimi ningekuwa Rais siwezi kwenda msiba wa mtu anayenitukana mitandaoni. Huo msiba unamhusu Maria kwa 100%. Kila mtu abebe msalaba wake. Pia msiba ni jambo la kifamilia zaidi.
Wewe ni nani mpaka umchagulie Prof. Sarungi pa kuzikwa.Prof. Sarungi alipaswa kuzikwa Utegi Rorya.
Prof. ni icon ya ukoo
Alipaswa kuzikwa nyumbani kwenye makaburi ya familia
Utetezi wako ni wa kipumbavu. Kwa hiyo kutukanwa kwa Lowassa ndo inahalalisha viongozi wengine kutukanwa?Lowasa alitukanwa mara ngapi na matusi mangapi na wana cc akiwemo makonda? Alipofariki walienda au hawakwenda?
Chawa acha uchawa na unafiki wako
Basi tulieni.Masuala ya kijamii yanahusu tamaduni hayahusiani na sheria.
Wewe ndiyo mpumbavu usiyeelewa hata ulinganifu wa mambo!Utetezi wako ni wa kipumbavu. Kwa hiyo kutukanwa kwa Lowassa ndo inahalalisha viongozi wengine kutukanwa?
Kwani alikuwa anatukanwa na Mzee sarungi,au ni ghubi Tu binafsi saa100 kafeli pakubwa hajiamini hata kidogoLwaitama ni mpuuzi. Hata kama mimi ningekuwa Rais siwezi kwenda msiba wa mtu anayenitukana mitandaoni. Huo msiba unamhusu Maria kwa 100%. Kila mtu abebe msalaba wake. Pia msiba ni jambo la kifamilia zaidi.
Lwaitama ni mpuuzi. Hata kama mimi ningekuwa Rais siwezi kwenda msiba wa mtu anayenitukana mitandaoni. Huo msiba unamhusu Maria kwa 100%. Kila mtu abebe msalaba wake. Pia msiba ni jambo la kifamilia zaidi.
Kwahiyo mama kamuadhibu maiti cyoMarehemu Prof. Sarungi hakuwahi mtukana Samia.
Kutokufika kumzika baba yake ilikuwa ni adhabu tosha kwa Maria, Rais angehudhuria msiba kwa heshima ya Prof.