Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Raisi siyo malaika wala mungu kama unavyohisi wewe. Kumkosoa siyo kumtukana! Kama alitukanwa mbona haendi mahakamani?Utetezi wako ni wa kipumbavu. Kwa hiyo kutukanwa kwa Lowassa ndo inahalalisha viongozi wengine kutukanwa?