Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Pia katika sentensi hiyo hakuna Mzee aliposema akifia Zanzibar basi azikwe hukohukoKwanini sasa alipelekwa mzena badala ya zanzibar?View attachment 2925542
Chadema mbumbumbuPia katika sentensi hiyo hakuna Mzee aliposema akifia Zanzibar basi azikwe hukohuko
HayaChadema mbumbumbu
Umekosa kazi ndg?
Mkuu hili liache tu tukichunguza sana itakuwa hatariKwanini sasa alipelekwa mzena badala ya zanzibar?View attachment 2925542
Ni vizuri ikijulikana ili kuondoa manung'unikoMkuu hili liache tu tukichunguza sana itakuwa hatari
Anaangalia mkate mkubwa umepatikana wapiDk. Hussein aliwahi kuwa mbunge wa Mkuranga kama sijakosea. Mbona Mkuranga ile ile suddenly imekuwa mbaya hivyo hata kuzikia tunapakimbia? Dah! Mkataa kwao?
Kwanini sasa alipelekwa mzena badala ya zanzibar?View attachment 2925542
Pia katika sentensi hiyo hakuna Mzee aliposema akifia Zanzibar basi azikwe hukohuko
Hivi Mwinyi hamnazo kiasi hiki?
Sasa si wameamua kuropoka , waropoke yoteWosia wanaachiwa wanafamilia
Sasa si wameamua kuropoka , waropoke yote