Dkt. Hussein Mwinyi adai Mzee Mwinyi hakuagiza azikwe Mkuranga

Dkt. Hussein Mwinyi adai Mzee Mwinyi hakuagiza azikwe Mkuranga

Dk. Hussein aliwahi kuwa mbunge wa Mkuranga kama sijakosea. Mbona Mkuranga ile ile suddenly imekuwa mbaya hivyo hata kuzikia tunapakimbia? Dah! Mkataa kwao?
Mzee mwinyi alishaikataa Tanganyika tangu kitambo Sana ndiyo maana akabakia huko Zanzibar.
Mkuranga ilibaki historia tu kwamba walitoka huko.

Dr. Mwinyi kugombea mkuranga sio ndiyo kawa mtanganyika hapana bali historia ya baba yake kutoka huko ndiyo ilitumiwa kuchukua jimbo lakini je ni kosa mtu kutoka Zanzibar kuja kugombea bara?

Ungekosa muungano je mzee mwinyi angerudi Tanganyika?
 
Una uhuru wa kusema hivyo, lakini hilo halifanyi unalosema kuwa kweli.

Masuala ya nia, kitu cha ndani kabisa katika fikra za mtu, ni magumu sana kwa mtu mwingine kuyajua.

Wewe unaweza kurahisisha mambo hayo kwa sababu hujaishi maisha yake, hujajua ana connection gani na Zanzibar.

Familia ya Mwinyi imeamua kuhamia Zanzibar. Kuna mtoto wa pili wa Ali Hassan Mwinyi anaitwa Hassan hakuwa mwanadiasa, alifariki mwaka 2022. Alizikwa Zanzibar.

Huyo naye utasema kazijwa Zanzibar kisiasa?

Hawa wakina Mwinyi hata wakija kuzikwa Mkuranga nako kuna kitu kitakuzuia kusema wanazikwa Mkuranga kisiasa kwa sababu wanataka urais wa bara?

Ukitaka Mwinyi azikwe wapi iki usione kazikwa kisiasa? Cairo Misri?

Na huyu Hassan baba yake kazikwa hapo hapo, pembeni ya kaburi la mtoto wake wa pili aliyeitwa Hassan.

Sasa Mzee Ali Hassan Mwinyi akikwambia anataka kuzikwa Zanzibar walipohamia, alipoanzia elimu na maisha, alipianzia siasa, alipoolea na kuoata familia, ambapo mtoto wake kazikwa, na ndugu zake wengine watazikwa, utataka kumnyanyapaa kwamba kaamua kuzikwa hapo kisiasa?

Mbona mnamkosea heshima sana huyu Mzee wakati yeye alikuwa mtu mstaarabu sana kwenye ku deal na watu?
Azikwe walipozikwa wazee wake ambako nihapo mkuranga au nawew unataka ukifa uzikwe maandishi matatu kisa umehamia huko
 
Azikwe walipozikwa wazee wake ambako nihapo mkuranga au nawew unataka ukifa uzikwe maandishi matatu kisa umehamia huko
Kila mtu ana haki ya kuamua kuzikwa atakapo, au asizikwe kabisa afanyiwe utamaduni mwingine.

Mkuu,

Sasa mimi nimehamia Marekani, nimeamua nikifa nisirudishwe Tanzania, mazishi yangu yafanyike hukuhuku Marekani nchi yangu ya kufikia, tena nifanyiwe aquamation.

Kwa uamuzi wangu huu kuwa nisizikwe nchi niliyozaliwa utasema na mimi nimefanya maamuzi ya kisiasa?

Haya ni maamuzi niliyoyafanya, siandiki hapa for the sake of argument.

Na mimi utanisema nimeamua hivyo kisiasa?
 
Inaonesha watu hatuna mambo ya maana ya kujadili.
Hebu fikiria mtu atoke mkuranga akiwa na miaka minne ni kabla ya Uhuru, amesoma huko, kaajiliwa huko, kaitumikia Zanzibar kwa dhati kabisa, kajiunga na chama cha siasa huko huko lengo ni kuwaondoa wakoloni. Kateuliwa nafasi za juu serikalini kabla ya Kuja bara, huko huko Zanzibar, halafu mseme eti mtanganyika!?? Huyu alishaukataa utanganyika kitambo sana
Hivi, huyu mzee alikuwa na nyumba Zanzibar? Alipopelekwa alifikishwa nyumbani kwake?
Hivi Mkapa kwanini alipelekwa kuzikwa Lupaso badala ya Lushoto alikojenga kifahari?
Hivi huyu mzee Mwinyi alikuwa na wandugu mababu na mababa? Walokwishakufa walizikwa wapi?
 
Nani kamuuliza?. Alipokuwa anagombea ubunge Mkuranga hakuulizwa.
Ninachokijua Ubunge haulizwi kabila lako ila unaulizwa uwezo wako. Kama ndiyo hivyo
1. Joseph Mbilinyi@ Sugu alikuwa Mbunge wa Mbeya Mjini lakini Siyo Mnyakyusa wala siyo Msafwa.
2. John Mnyika alikuwa Mbunge wa Ubungo na Kibamba lakini hajawahi kuwa Mzalamo au Mlugulu.
3. Waitara: Alikuwa Mbunge wa Mbagala na Sasa yupo Tarime lakini hajawahi kuwa Mzalamo wa Dat es Salaam.
4. Sheria za Nchi haziwakatazi Wapemba, Waunguja/Wazanzibar kuwa na Makazi ya kudumu bara. Ndiyo maana Migahawa na Magenge mengi yanaitwa Mpemba na Wapo Wabunge na Madiwani Wapemba na hawajawahi kuhojiwa.
5. Zitto Kabwe alikuwa Mbunge wa Kigoma Vijijini wakati Baba yake yupo Mwanga Center anakula Fegi tu hana baya. Na Watu wnajua kabwe ni Mlezi lakini Walimpatia kura na aliwawakilisha Wanakigoma Vizuri tu licha ya Kujua Baba yake halisi hamjui na Kabila lake halijui. Mwandigaa hoyeeeeee.
6. Peter Serukamba alikuwa Mbunge wa Majimbo mawili Kigoma Mjini na Kigoma Vijijini Waha hawakuwa na Baya.
8. Wabunge wote wa Dar es salaam siyo Wenyeji wa Dar es salaam kiasili lakini Wamechaguliwa.

NB: Tuache Siasa za Maji Taka, hakuna Ujinga na Tabia ya Hovyo Mtu amefiwa na Mzazi wake unaanza kumlazimisha alikatae Kabila lake kwasababu za Kipuuzi zenye mlengo wa Kisiasa. Tanzania tunahitaji Viongozi Wanaotoka kokote kule ila wawe Wazalendo. Hatutaki Viongozi Ukoo wao Upo Marekani harafu wanataka Waje kutuongoza kwa Maslahi ya huko Kwenye Ukoo wao.
Pole Sana Rais Mwinyi kwa Msiba, Mungu aendelee kukutia Nguvu. Amen
 
Ninachokijua Ubunge haulizwi kabila lako ila unaulizwa uwezo wako. Kama ndiyo hivyo
1. Joseph Mbilinyi@ Sugu alikuwa Mbunge wa Mbeya Mjini lakini Siyo Mnyakyusa wala siyo Msafwa.
2. John Mnyika alikuwa Mbunge wa Ubungo na Kibamba lakini hajawahi kuwa Mzalamo au Mlugulu.
3. Waitara: Alikuwa Mbunge wa Mbagala na Sasa yupo Tarime lakini hajawahi kuwa Mzalamo wa Dat es Salaam.
4. Sheria za Nchi haziwakatazi Wapemba, Waunguja/Wazanzibar kuwa na Makazi ya kudumu bara. Ndiyo maana Migahawa na Magenge mengi yanaitwa Mpemba na Wapo Wabunge na Madiwani Wapemba na hawajawahi kuhojiwa.
5. Zitto Kabwe alikuwa Mbunge wa Kigoma Vijijini wakati Baba yake yupo Mwanga Center anakula Fegi tu hana baya. Na Watu wnajua kabwe ni Mlezi lakini Walimpatia kura na aliwawakilisha Wanakigoma Vizuri tu licha ya Kujua Baba yake halisi hamjui na Kabila lake halijui. Mwandigaa hoyeeeeee.
6. Peter Serukamba alikuwa Mbunge wa Majimbo mawili Kigoma Mjini na Kigoma Vijijini Waha hawakuwa na Baya.
8. Wabunge wote wa Dar es salaam siyo Wenyeji wa Dar es salaam kiasili lakini Wamechaguliwa.

NB: Tuache Siasa za Maji Taka, hakuna Ujinga na Tabia ya Hovyo Mtu amefiwa na Mzazi wake unaanza kumlazimisha alikatae Kabila lake kwasababu za Kipuuzi zenye mlengo wa Kisiasa. Tanzania tunahitaji Viongozi Wanaotoka kokote kule ila wawe Wazalendo. Hatutaki Viongozi Ukoo wao Upo Marekani harafu wanataka Waje kutuongoza kwa Maslahi ya huko Kwenye Ukoo wao.
Pole Sana Rais Mwinyi kwa Msiba, Mungu aendelee kukutia Nguvu. Amen
Aliyekuambia Mbeya ni ya wanyakyusa tu ni nani ?
 
Ninachokijua Ubunge haulizwi kabila lako ila unaulizwa uwezo wako. Kama ndiyo hivyo
1. Joseph Mbilinyi@ Sugu alikuwa Mbunge wa Mbeya Mjini lakini Siyo Mnyakyusa wala siyo Msafwa.
2. John Mnyika alikuwa Mbunge wa Ubungo na Kibamba lakini hajawahi kuwa Mzalamo au Mlugulu.
3. Waitara: Alikuwa Mbunge wa Mbagala na Sasa yupo Tarime lakini hajawahi kuwa Mzalamo wa Dat es Salaam.
4. Sheria za Nchi haziwakatazi Wapemba, Waunguja/Wazanzibar kuwa na Makazi ya kudumu bara. Ndiyo maana Migahawa na Magenge mengi yanaitwa Mpemba na Wapo Wabunge na Madiwani Wapemba na hawajawahi kuhojiwa.
5. Zitto Kabwe alikuwa Mbunge wa Kigoma Vijijini wakati Baba yake yupo Mwanga Center anakula Fegi tu hana baya. Na Watu wnajua kabwe ni Mlezi lakini Walimpatia kura na aliwawakilisha Wanakigoma Vizuri tu licha ya Kujua Baba yake halisi hamjui na Kabila lake halijui. Mwandigaa hoyeeeeee.
6. Peter Serukamba alikuwa Mbunge wa Majimbo mawili Kigoma Mjini na Kigoma Vijijini Waha hawakuwa na Baya.
8. Wabunge wote wa Dar es salaam siyo Wenyeji wa Dar es salaam kiasili lakini Wamechaguliwa.

NB: Tuache Siasa za Maji Taka, hakuna Ujinga na Tabia ya Hovyo Mtu amefiwa na Mzazi wake unaanza kumlazimisha alikatae Kabila lake kwasababu za Kipuuzi zenye mlengo wa Kisiasa. Tanzania tunahitaji Viongozi Wanaotoka kokote kule ila wawe Wazalendo. Hatutaki Viongozi Ukoo wao Upo Marekani harafu wanataka Waje kutuongoza kwa Maslahi ya huko Kwenye Ukoo wao.
Pole Sana Rais Mwinyi kwa Msiba, Mungu aendelee kukutia Nguvu. Amen
Jazia hapo, Mrisho Gambo ni mkariakoo lkn Leo ni mbunge wa Arusha mjini...ajimbo MENGI ya mjini wabunge ni wakuja sio wenyeji..haya Lema alkua mb wa Arusha na sio mwarusha..
 
Inaonesha watu hatuna mambo ya maana ya kujadili.
Hebu fikiria mtu atoke mkuranga akiwa na miaka minne ni kabla ya Uhuru, amesoma huko, kaajiliwa huko, kaitumikia Zanzibar kwa dhati kabisa, kajiunga na chama cha siasa huko huko lengo ni kuwaondoa wakoloni. Kateuliwa nafasi za juu serikalini kabla ya Kuja bara, huko huko Zanzibar, halafu mseme eti mtanganyika!?? Huyu alishaukataa utanganyika kitambo sana
Mbona karume alikuwa mmalawi na alizikwa zanzibar
 
Back
Top Bottom