Dkt. Hussein Mwinyi adai Mzee Mwinyi hakuagiza azikwe Mkuranga

Dkt. Hussein Mwinyi adai Mzee Mwinyi hakuagiza azikwe Mkuranga

Mheshimiwa ni vyema ukawa mpole tu, kwani huko Zenji wana siasa zao. Ingawaje sijui kama wewe sio Mzenji. Ila kama ni Mzenji, hiyo ndio siasa yenu.

Wabongo wengi hawana social graces. Hawana savoir faire. Hawajui wapi ni pa kufanya nini, wapi pa kusema nini, nini ni hoja, nini ni kihoja.

Zenji kuwa na siasa zao au kutokuwa na siasa zao ni irrelevant.

Watu wanasema kuna wosia wa Mwinyi ameagiza azikwe Mkuranga, wosia hawana, wanaleta maneno ya uzushi.

Baada ya kuombwa waiache familia kwenye faragha katika kipindi hiki kigumu.

Haya. Hussein Mwinyi kasikia maneno. Kawaambia mambo ya wosia ni ya familia.

Bado watu wanang'ang'ania tu.

Ukiwauliza wosia wenyewe uko wapi tuuone, hawawezi kukupa ushahidi wala uthibitisho.

Ni maneno ya conspiracy theory tu, uzushi tu. Figisu tu za kufurahia uzushi wa kijinga jinga kabisa.

If this is the worst that you can say about the Mwinyi family, mimi nawacheka sana.

Inaonesha wamekosa kabisa cha kuikosoa hii familia mpaka wanalilia kupanga anapozikwa Mzee Mwinyi kama wachawi wanaotaka kufukua kaburi wale nyama.

Yani watu wanajiona wana haki ya kuipangia familia ya wenzao wapi baba yao azikwe kabisaa, na wanajiona wako sawa?
 
Nilisikia anataka akimaliza Zenji aje na huku atawale sasa mpaka hapo asahau kwanza maana hajatumia akili kwamba Zanzibar ashawin ilikua nafas nzuri kwake kuutafuta uzarendo wa Bara sasa.
 
Wabongo wengi walio watu wa kuunga unga maneno kimajungu niliwauliza huo usia wa Mwinyi aliosema anataka kuzikwa Mkuranga mnaweza kuuthibitisha?

Walishindwa kujibu.
Mambo ya akina mwinyi na uzanzibar unavuruga ,Mwinyi ni mtu wa mkuranga na itabaki hivyo

Tatizo linakuja sheria za zanzibar zinamuhitaji mnzanzibar awe Rais wa nchi

Mwinyi anakumbana na upinzani sana wa chini kwa chini ndani ya wana ccm wazanzibar toka kwenye kugombea

Hao ACT wazalendo wanatumia uraia kama fimbo ya kumchapia Mwinyi kila akinyanyua kichwa

Technically wangemzika Hayati Baba yake Mkuranga ndio ingekuwa sasa amejichimbia tanuru la moto kisiasa na yeye anakiri wasiomtakia mema ndio wanachochea
 
Mambo ya akina mwinyi na uzanzibar unavuruga ,Mwinyi ni mtu wa mkuranga na itabaki hivyo

Tatizo linakuja sheria za zanzibar zinamuhitaji mnzanzibar awe Rais wa nchi

Mwinyi anakumbana na upinzani sana wa chini kwa chini ndani ya wana ccm wazanzibar toka kwenye kugombea

Hao ACT wazalendo wanatumia uraia kama fimbo ya kumchapia Mwinyi kila akinyanyua kichwa

Technically wangemzika Hayati Baba yake Mkuranga ndio ingekuwa sasa amejichimbia tanuru la moto kisiasa na yeye anakiri wasiomtakia mema ndio wanachochea
Wapi nimesema Mwinyi ni Mzanzibar au Mtanganyika?

Unajua kusoma kwa ufahamu?

Mimi Msukuma nimezaliwa Dar Ocean Road, nimekuja kuishi Marekani. Nimekaa huku zaidi ya nusu ya maisha yangu.

Nimeamua kuzikwa Marekani. Utataka kuninyanyapaa kwa uamuzi wangu huo?

Hussein Mwinyi mbaneni kwenye mambo mengine mengi tu anayo makandokando yake ya kisiasa, sio kwenye wapi kamzika baba yake.

Mkimbana alipomzika baba yake, mtaonekana hamna hoja ya kumbana mmekimbilia kumbana kwa kiroja.

Hussein Mwinyi popote pale ambapo angeamua kumzika baba yake, watu wenye maneno ya ovyo wangemsema tu, kwa sababu ndiyo kazi yao.

Angemzika Mkuranga, angemzika Cairo Misri, kote huko wangesema tu.

Kwa sababu wabongo wengi hawajui siasa za hoja, wanajua siasa za viroja na majitaka.

Which shows how pointless this brouhaha is.
 
Wapi nimesema Mwinyi ni Mzanzibar au Mtanganyika?

Unajua kusoma kwa ufahamu?

Mimi Msukuma nimezaliwa Dar Ocean Road, nimekuja kuishi Marekani. Nimekaa huku zaidi ya nusu ya maisha yangu.

Nimeamua kuzikwa Marekani. Utataka kuninyanyapaa kwa uamuzi wangu huo?

Hussein Mwinyi mbaneni kwenye mambo mengine mengi tu anayo makandokando yake ya kisiasa, sio kwenye wapi kamzika baba yake.

Mkimbana alipomzika baba yake, mtaonekana hamna hoja ya kumbana mmekimbilia kumbana kwa kiroja.

Hussein Mwinyi popote pale ambapo angeamua kumzika baba yake, watu wenye maneno ya ovyo wangemsema ti, kwa sababu ndiyo kazi yao.

Angemzika Mkuranga, angemzika Cairo Misri, kote huko wangesema tu.

Kwa sababu wabongo wengi hawajui siasa za hoja, wanajua siasa za viroja na majitaka.

Which shows how pointless this brouhaha is.
Huwezi fananisha siasa za Afrika na Siasa za Marekani.Kila Taifa kuna siasa zake na hata majimbo ya Marekani hayafanani kabisa kisiasa

Siasa za Afrika ili ushinde lazima umshambulie mpinzani wako sana ,Lazima utengeneze kamati ya majungu ,Bila kumtengenezea ajali mpinzani wako huwezi kushinda uchaguzi Tanzania

Angalia akina Salim Ahmed walivyotungiwa uongo kuwa ni hizibu ,Angalia kikwete alivyoingia madarakani, Angalia lowasa na yale magenge yao ya mtandao

Kila kitu kinafanyika kulingana na muktadha wa sehemu husika

Kwa ufupi Hayati Mwinyi sio mzanzibar na hata Rais Mwinyi wa sasa sio mzanzibar .Katiba ya zanzibar inataka mzanzibar awe Rais haiongelei mtanzania


Mwinyi mwenyewe kwenye uchaguzi wa 2020 alikata tamaa ,Sema nguvu ya JPM na vitisho na kuogopwa kwake ndio Mwinyi akatulia ,Wazanzibar wana ccm wenzake ndio tatizo wanamuona sio Raia
 
Hii ndiyo Taarifa mpya ya sasa kama ilivyoripotiwa na MwanaHalisi Digital .

Husein Mwinyi ambaye ni Rais anadai wanaoeneza hilo wamelenga kumdhoofisha kisiasa (Hakufafanua kwamba watamdhoofishaje na wala hakusema Mzee kuzikwa Zanzibar kunamuimarishaje) na wala hakusema pia kama Mzee Mwinyi aliagiza akazikwe Zanzibar .

Zaidi soma hapa.

View attachment 2925536View attachment 2925539View attachment 2925540
If one is intelligent enough, will realize that this is grafted story by Hussein, it carries no truth
 
Huwezi fananisha siasa za Afrika na Siasa za Marekani.Kila Taifa kuna siasa zake na hata majimbo ya Marekani hayafanani kabisa kisiasa

Siasa za Afrika ili ushinde lazima umshambulie mpinzani wako sana ,Lazima utengeneze kamati ya majungu ,Bila kumtengenezea ajali mpinzani wako huwezi kushinda uchaguzi Tanzania

Angalia akina Salim Ahmed walivyotungiwa uongo kuwa ni hizibu ,Angalia kikwete alivyoingia madarakani, Angalia lowasa na yale magenge yao ya mtandao

Kila kitu kinafanyika kulingana na muktadha wa sehemu husika

Kwa ufupi Hayati Mwinyi sio mzanzibar na hata Rais Mwinyi wa sasa sio mzanzibar .Katiba ya zanzibar inataka mzanzibar awe Rais haiongelei mtanzania


Mwinyi mwenyewe kwenye uchaguzi wa 2020 alikata tamaa ,Sema nguvu ya JPM na vitisho na kuogopwa kwake ndio Mwinyi akatulia ,Wazanzibar wana ccm wenzake ndio tatizo wanamuona sio Raia
Nakwambia hivi, Mwinyi awe Mzanzibari au asiwe Mzanzibari, awe mwanasiasa au raia wa kawaida, kumnyanyapaa yeye na familia yake kwa sababu kazikwa Zanzibar si sawa.

Kama hiyo ndiyo point yako kubwa kabisa ya kuikosoa familia ya Mwinyi, huna point ya kuikosoa.
 
Dk. Hussein aliwahi kuwa mbunge wa Mkuranga kama sijakosea. Mbona Mkuranga ile ile suddenly imekuwa mbaya hivyo hata kuzikia tunapakimbia? Dah! Mkataa kwao?
Washaamua kuwa wao ni Wazanzibari, msiwalazimishe.
 
Wapi nimesema Mwinyi ni Mzanzibar au Mtanganyika?

Unajua kusoma kwa ufahamu?

Mimi Msukuma nimezaliwa Dar Ocean Road, nimekuja kuishi Marekani. Nimekaa huku zaidi ya nusu ya maisha yangu.

Nimeamua kuzikwa Marekani. Utataka kuninyanyapaa kwa uamuzi wangu huo?

Hussein Mwinyi mbaneni kwenye mambo mengine mengi tu anayo makandokando yake ya kisiasa, sio kwenye wapi kamzika baba yake.

Mkimbana alipomzika baba yake, mtaonekana hamna hoja ya kumbana mmekimbilia kumbana kwa kiroja.

Hussein Mwinyi popote pale ambapo angeamua kumzika baba yake, watu wenye maneno ya ovyo wangemsema ti, kwa sababu ndiyo kazi yao.

Angemzika Mkuranga, angemzika Cairo Misri, kote huko wangesema tu.

Kwa sababu wabongo wengi hawajui siasa za hoja, wanajua siasa za viroja na majitaka.

Which shows how pointless this brouhaha is.
Umesema kweli kabisa
 
Mjadala wote huu unaonyesha JMT sio moja. Mfano Rais akiwa ni Mchagga, akifa akaenda kuzikwa Rukwa wala hutasikia makelele, Lakini ikitokea akataka akizikwe Chake Chake, kwanza wapemba wanaweza kukataa kutoa ardhi yao, na kama wakitoa yataibuka makelele kwa nini kazikwa Pemba. Mzee Mwinyi ni Mtanzania, akizikwa Unguja ambayo ni part ya Tanzania kuna shida gani?
 
Back
Top Bottom