TANZIA Dkt. Ibrahim Msabaha afariki dunia

Mbuzi wa kafara
 
Zaburi 90 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹ Wewe, Bwana, umekuwa makao yetu, Kizazi baada ya kizazi.
² Kabla haijazaliwa milima, wala hujaiumba dunia, Na tangu milele hata milele ndiwe Mungu.
³ Wamrudisha mtu mavumbini, usemapo, Rudini, enyi wanadamu.
⁴ Maana miaka elfu machoni pako Ni kama siku ya jana ikiisha kupita, Na kama kesha la usiku.
⁵ Wawagharikisha, huwa kama usingizi, Asubuhi huwa kama majani yameayo.
⁶ Asubuhi yachipuka na kumea, Jioni yakatika na kukauka.
⁷ Maana tumetoweshwa kwa hasira yako, Na kwa ghadhabu yako tumefadhaishwa.
⁸ Umeyaweka maovu yetu mbele zako, Siri zetu katika mwanga wa uso wako.
⁹ Maana siku zetu zote zimepita katika hasira yako, Tumetowesha miaka yetu kama kite.
¹⁰ Siku za miaka yetu ni miaka sabini, Na ikiwa tuna nguvu miaka themanini; Na kiburi chake ni taabu na ubatili, Maana chapita upesi tukatokomea mara.
¹¹ Ni nani aujuaye uweza wa hasira yako? Na ghadhabu yako kama ipasavyo kicho chako?
¹² Basi, utujulishe kuzihesabu siku zetu, Tujipatie moyo wa hekima.
 
duniani hatuna makao ya kudumu!
 
Rafiki yako anapofariki lazima unashtuka na kama unashinikizo la Damu au Moyo umevimba inaweza kuwa ndo ntolee hiyo.

Dawa ya Misiba ni Ligaba 300×2+Diazepam 5mg x2 unasahau hata kama kuna Msiba.

Unabembea tu.
Dah wee mwamba bhana[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Kama siku aliyoondoka jiwe aiseee sisahahu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…