Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Oop
2024 mwaka wa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2024 mwaka wa
Dawa zote ulizotaja nazijuaRafiki yako anapofariki lazima unashtuka na kama unashinikizo la Damu au Moyo umevimba inaweza kuwa ndo ntolee hiyo.
Dawa ya Misiba ni Ligaba 500×2+Diazepam 5mg x2 unasahau hata kama kuna Msiba.
Unabembea tu.
Kweni nimesema ni Dawa za Malaria?Dawa zote ulizo taja nazijua
Mkuu,
Naona kama unapotosha umma
Asalamaleko
bangushilo, kitu kama hicho, au sio mnisahihihishe?Laigwanani anasindikizwa na Wengi
Dr Mwakyembe alisema Waziri wa nishati wa wakati huo Dr Msabaha ndiye aliyewang'ata sikio
Sijajua aliwang'ataje 🐼
Rip Msabaha
Huu ni uzao wa 1950s unaokata moto kwa kasi kubwa sana.Uzao wa 1960s wanaondoka kweli kweli, baada ya miaka 6 unafuata uzao wa 1970s
Sawa mkuu sikatai zinasaidia sawa ila hofu yangu ni mtu kusoma comment yako na kwenda kujimezea kiholela bila ushaur wa dactari hizo ie. Diazepam 5mg na Pregabalin 75mg au 150mgKweni nimesema ni Dawa za Malaria?
Kwangu mimi zinanisaidia sana nikiwa Anxiety.
Kuwa na hofu ya Mungu. Unaweza kuvunwa hata wewe nyambaff2024 mwaka wa mavuno.
Mimi sio Daktari ila kwasababu mimi mwenyewe nilishauriwa na Mtaalamu wa mambo ya Saikolojia MIMI👈 huwa zinanisaidia SANA👈 nipatapo habari za Msiba mzito.Sawa mkuu sikatai zinasaidia sawa ila hofu yangu ni mtu kusoma comment yako na kwenda kujimezea kiholela bila ushaur wa dactari hizo ie. Diazepam 5mg na Pregabalin 75mg au 150mg
It's better mtu aka opt minimal alcohol drinking natania tu mkuu
By the way Tupo pamoja mkuu
R.I.P MZEE WETU MSABAHA
Sure. Wote tupo kwenye shamba lake, sina hofu kwakuwa sina makandokando kama hao masheitwan.Kuwa na hofu ya Mungu. Unaweza kuvunwa hata wewe nyambaff
Duh 🙄 !2021 ilianza hivihivi, miezi kama hii.
Duh 🙄 !Sure. Wote tupo kwenye shamba lake, sina hofu kwakuwa sina makandokando kama hao masheitwan.
Inna li Llahi wa inna Ilayhi rajiun.Dr. Ibrahim Msabah(72) amefariki muda mfupi uliopita Muhimbili alipopelekwa baada ya kuzidiwa nyumbani kwake, Masaki Dar es Salaam. Katika uhai wake, Msabaha alishawahi kuongoza wizara ya nishati na madini mwaka 2006 mpaka 2007 kama waziri.
Dkt. Msabaha alikuwa rafiki wa karibu wa Hayati Edward Lowassa. Msabaha alijiuzulu uwaziri wa Afrika Mashariki mwaka 2008 pamoja na Nazir Karamagi aliyepokea mikoba ya wizara ya nishati kutoka kwa Ibrahim Msabaha kutokana na kashfa ya Richmond.
SafiDr. Ibrahim Msabah(72) amefariki muda mfupi uliopita Muhimbili alipopelekwa baada ya kuzidiwa nyumbani kwake, Masaki Dar es Salaam. Katika uhai wake, Msabaha alishawahi kuongoza wizara ya nishati na madini mwaka 2006 mpaka 2007 kama waziri.
Dkt. Msabaha alikuwa rafiki wa karibu wa Hayati Edward Lowassa. Msabaha alijiuzulu uwaziri wa Afrika Mashariki mwaka 2008 pamoja na Nazir Karamagi aliyepokea mikoba ya wizara ya nishati kutoka kwa Ibrahim Msabaha kutokana na kashfa ya Richmond.
Angalia trna ulichoaandika una ubongo wa kuku.Hujui hata interval ya vizazi kupishana eti baada ya miaka 6 mjiandae wa 1970s rudi form two kabsa huna kitu kichwaniAcha akili mbovu kenge we, me sijahusisha aliyekufa na vifo vya watu wa miaka ya 1960s, nimesema zamu ya 1960s kuondoka kwa kasi sasa we unadandia gari kwa mbele, utaloa.
Wee mkinga mbea sanaLaigwanani anasindikizwa na Wengi
Dr Mwakyembe alisema Waziri wa nishati wa wakati huo Dr Msabaha ndiye aliyewang'ata sikio
Sijajua aliwang'ataje 🐼
Rip Msabaha
Isedori ataweza kweli? Anaweza kuukana urais kwa kupanicUnahisi ni omen?
Severe heat alert 🚨Huu mwezi unafyeka wanasiasa wenye majina yao hapa mjini