TANZIA Dkt. Ibrahim Msabaha afariki dunia

TANZIA Dkt. Ibrahim Msabaha afariki dunia

ile ya mwaka 2020 -2021 ndio ilikuwa funga kazi kiongozi yule alisindikizwa na waheshimiwa wengi sijui kuna siri maana inaonyesha kiongozi maarufu au mkuu anapofariki either kuna wanaomtangulia na wengine wanamfuata.
Mzee Mkapa alienda kivyake
 
2021 ilianza hivihivi, miezi kama hii.
Ni kweli mkuu sema watu wanasahau tu, mwezi wa kwanza mwishoni mpaka mwezi pili, watu huwa wanakufa sana. Nadhani sababu ni hali ya hewa mbaya that's why onaona wanaumwa sana kipindi hiki. Nakumbuka hata captain Komba alifariki mwezi kama huu back then. Kwa hiyo haina uhusiano na the so called "mavuno"
 
poleni wafiwa wa vifo vyote viwili. wabongo tujifunze, wakati tunatafuta maisha tutafute Mungu pia, mali tutaziacha hata kama tukiibia sana nchi, zitabaki hapahapa, utakwenda na maji siku moja.
 
Dr. Ibrahim Msabah(72) amefariki muda mfupi uliopita Muhimbili alipopelekwa baada ya kuzidiwa nyumbani kwake, Masaki Dar es Salaam. Katika uhai wake, Msabaha alishawahi kuongoza wizara ya nishati na madini mwaka 2006 mpaka 2007 kama waziri.

Dkt. Msabaha alikuwa rafiki wa karibu wa Hayati Edward Lowassa. Msabaha alijiuzulu uwaziri wa Afrika Mashariki mwaka 2008 pamoja na Nazir Karamagi aliyepokea mikoba ya wizara ya nishati kutoka kwa Ibrahim Msabaha kutokana na kashfa ya Richmond.

===============
FORMER MINISTER DR. IBRAHIM MSABAHA DIES AT 72​
Former Minister of Energy and Minerals, Dr. Ibrahim Msabaha, has passed away on February 13, 2024, at the age of 72, while on the way from his home in Masaki, Dar es Salaam, to Muhimbili National Hospital.

His Sister, Pili Msabaha, confirmed his demise, noting his prolonged illness and frequent hospital visits.

Dr. Msabaha also served as the Minister of East African Cooperation and Member of Parliament for Kibaha Constituency
Hivi Masaki kumbe bado maeneo ya kuishi bado yapo.
 
Back
Top Bottom