Dkt. Janabi na Wanaharakati wa Afya tuache upotoshaji. Nchi ina tatizo kubwa la Utapiamlo na sio uzito wala unene

Acha wivu we chawa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli ukisemacho mimi point yangu ni kwamba tusiweke siasa kwenye maisha ya watu.

Swala la sukari badala ya kuja na suluhisho mtu anaweka siasa mara oh kuna tatizo la uzito uliopita kiasi, watu wanadhalilisha taaluma kwa nini wasikae kimya kama hawana la maana kuzungumza.
 
Sijasema hawafi ila sio kwa kiwango kikubwa kama nchi za kusini mwa jangwa la Sahara. Vifo vinavyo tokana na Magonjwa yasiyo ambukiza duniani ni 31% na katika idadi hiyo 76% wanatokea kusini mwa jangwa la Sahara (WHO, 2023).
 
upo sahihi mkuu
 
Inasemekana huyu propesa anaukichaa.akiwa mdogo alitibiwa milembe.yawezekana ukichaa haukaisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…