Uchaguzi 2020 Dkt. John Magufuli bado tunamhitaji sana kama Taifa

Uchaguzi 2020 Dkt. John Magufuli bado tunamhitaji sana kama Taifa

Cha kushangaza wazungu wamempatia JPM kila tuzo, Mpaka majirani zetu wanamtaka wanamtaka akawaongoze... lakini baadhi ya wa tz. Wenye ubinafsi wanasema hafai... kweli NABII HAKUBALIKI KWAO. Ndio naweza kusema.
Naomba nitajie tuzo mbili tu.
 
Naomba nitajie tuzo mbili tu.
Mshindi wa Tuzo ya ukombozi Africa. Rais Magufuli aliibuka mshindi kutokana na mchango wake wa kiuchumi hasaa katika ukuaji wa miundo mbinu.
Alipewa Tuzo pia ya KUITOKOMEZA CORONA.
 
Kumchagua Magufuli tena ni kufanya nchi kuwa ya chama kimoja....kwa kauli zake za kibaguzi
Kumpa magufuli miaka mitano ni kufanya majimbo ya upinzani yasiwe na maendeleo kwa miaka mitano
 
Kumchagua Magufuli tena ni kufanya nchi kuwa ya chama kimoja....kwa kauli zake za kibaguzi
Kumpa magufuli miaka mitano ni kufanya majimbo ya upinzani yasiwe na maendeleo kwa miaka mitano
Magufuli bado Tunamhitaji sana kama Taifa. Upinzani bado hakuna sera elekezi ambazo zitasongesha mbele Taifa linalojitegemea kiuchumi.
 
Magufuli bado Tunamhitaji sana kama Taifa. Upinzani bado hakuna sera elekezi ambazo zitasongesha mbele Taifa linalojitegemea kiuchumi.
Kwa miaka mliyokaa mmfanya nini kwani.... ni wezi kila siku sema wizi unapishana viwango...
 
Mkuu Alex Fredrick, thanks for this, nikipata muda nitaitafsiri na kuwaambia Watanzania umuhimu wa kura yao ya ndio kwa Magufuli una maana gani kwa bara la Africa na dunia kwa jumla.
Magufuli ni Rais wa Africa ni Rais wa Dunia in a special way!.
Tarehe 28 October ni Magufuli tuu, Mitano Tena.
P

It speaks volumes about the poverty of intellect and vision among Tanzania’s elite, ruling classes and educated nationals, it also reveals a fundamental congenital dysfunction in the opposition political parties leadership and the citizenry.

We need Magufuli and we need to change our politics to enjoy the developmental changes we experience in our country today.
 
Ilani ya CCM inayofuta ualimu ngazi ya cheti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
IMG_20201006_090936_175.jpg
 
sera yetu ni maendeleo ya watu kwanza....
CCM inatambua umuhimu wa kujenga uchumi wa kitaifa ili kuhakikisha kwamba Watanzania ndio wanufaika wakuu wa uchumi na maliasili za nchi na ndiyo wenye kauli juu ya namna uchumi unavyoendeshwa. Sisi sera yetu kuhusu Uchumi ni MAPINDUZI YA UCHUMI KWA MAENDELEO YA WATU
 
Mkuu Alex Fredrick, thanks for this, nikipata muda nitaitafsiri na kuwaambia Watanzania umuhimu wa kura yao ya ndio kwa Magufuli una maana gani kwa bara la Africa na dunia kwa jumla.
Magufuli ni Rais wa Africa ni Rais wa Dunia in a special way!.
Tarehe 28 October ni Magufuli tuu, Mitano Tena.
P
Magu mwangalie huyu mja wako kwa jicho la huruma. Mpe hata unaibu wa Abbas
 
CCM inatambua umuhimu wa kujenga uchumi wa kitaifa ili kuhakikisha kwamba Watanzania ndio wanufaika wakuu wa uchumi na maliasili za nchi na ndiyo wenye kauli juu ya namna uchumi unavyoendeshwa. Sisi sera yetu kuhusu Uchumi ni MAPINDUZI YA UCHUMI KWA MAENDELEO YA WATU
Uchumi wa kati una faida gani kwa raia wa Kawaida kama bei ya sukari ipo hivi
 
OH! VERY HOPELESS!
Ukiniambia tunamtaka Magufuli tena maana yake unazungumzia kurutubisha na kuendeleza machungu yafuatayo:-
1.Wananchi kuendelea kubolewa nyumba bila fidia yoyote.
2.Wakulima kuendelea kukopwa mazao yao
3.Wavuvi waendelee kuchomewa nyavu zao bila kutafta ufumbuzi wa tatizo lao
4.Watumishi wa umma waendelee kusotea mshahara usiobadilika wala kupanda daraja
5.Wanufaika wa vyuo vikuu waendelee kuumizwa na makato ya marejesho ya 15%
6.Wahitimu wa vyuo mbalimbali wa tangu 2014 waendelee kukaa vijiweni bila ajira
7.Wanasiasa wa upinzani waendelee kukamatwa hovyo kwa chuki za kisiasa na kuzuia shughuli halali za elimu ya uraia
8.Wananchi walioamua kutumia haki yao kuchagua watanzania wenzao walioko vyama vyama upinzani kuwa viongozi wao, waendelee kubaguliwa kupelekewa huduma muhimu za kimaendeleo pamoja na kuwa wanalipa kodi.
In short ukinambia unamhtaji Magufuli tena maana yake umekubali kuzibeba laana za makundi yote hayo na mengine ambayo yameumizwa na utawala wake miaka 5 huku yeye na chama chake wakijisifu kuwa wameinyoosha nchi. Tafadhari iepuke iepuke laana hiyo ndugu yangu, kama ni wewe wamuhitaji hamia kule Chatto ndiko atajengewa nyumba ya mafao ya kupumzika kama rais mstaafu! October 28, kura zote ni Lissu tu ndio habari inayobamba mioyo ya watanzania!
 
Uchumi wa kati una faida gani kwa raia wa Kawaida kama bei ya sukari ipo hivi
Faida ni nyingi, Faida kubwa ya kwanza ni kuongezeka kwa wigo wa uwekezaji kutoka nje. Wawekezaji wengi wakubwa huogopa kuwekeza mitaji yao kwa nchi fukara (Lower Income economy) kwa sababu zina changamoto nyingi sana zinazosababishwa na mifumo kulegalega.
 
Uchumi wa kati una faida gani kwa raia wa Kawaida kama bei ya sukari ipo hivi
Faida nyingine ni kwamba uwezo wa nchi kukopa katika masoko ya Fedha na mitaji unapanuka kuliko ilivyokua awali. Kwahiyo tunaweza kukopa zaidi na kufanya mambo makubwa zaidi. Ni sawa na mangi awe anakukopesha sukari kilo mbili kwa sababu anajua mshahara wako ni laki moja. Siku akijua mshahara wako umeongezeka hadi laki 3 atakuambia sasa unaweza kukopa hadi kilo 5 bila wasiwasi.
 
Swali lingine, Je? tulipaswa kuwa hapa?

Jibu ni Hapana. Tulipaswa kuwa mbali zaidi. Nchi nyingi tulizolingana nazo kiuchumi wakati tunapata uhuru kwa sasa zipo kwenye uchumi wa kati ulioimarika (Upper-middle income economy). Nchi kama Thailand, Indonesia na Malaysia, wakati tunapata uhuru zilikua maskini kuliko sisi. Lakini kwa sasa zimetuacha mbali sana.
 
JPM the towering pillar of African renaissance

That is why October the 28th, is not only an election day for Tanzania, more important, it’s the day to decide the position of Africa in the world and the choice between economic liberation and captivity.


On 28th, October 2020, Tanzanians will be deciding the destiny of their nation through ballot box, in the sixth general elections since the East African nation opted multiparty democracy in the early 1990s.

However, this elections is not the same as the other last five elections since 1995. This time around Africa and the world are watching with special interest because the concept which was well articulated by Cheikh Anta Diop in his series of essays in the 1940s through 1960s, is coming true in the land of Mwalimu Nyerere, once the Mecca for the continents liberation movements.

The essays collected in the book “Towards the African Renaissance: Essays in culture and development, 1946 – 1960,” enlightens on the necessity of African people and nations to overcome the current challenges confronting the continent to achieve cultural, scientific, and economic renewal by themselves.

Yes, African solutions for African problems. President John Pombe Magufuli, has proved beyond reasonable doubt that just as the first generation of African leaders managed to liberate the continent from colonialism, the third generation of leadership can as well see the African continent breaking the economic bondage for the well-being of her people.

Magufuli has spearheaded and make it through corona virus pandemic, managed to build confidence of the people to battle the plague and emerged in flying colors that even his stern critics are appreciating the way Tanzania forged its way through the epidemic.

Attending the President’s Forum in Claremonton, California on 16th, May 1999, only five months before he embarked on the better world, Mwalimu Nyerere said economic liberation was the challenge for the new generation of the African leaders and that they have to succeed in that mission.

“It’s time for cleaning up the remaining elements of irresponsible and non- accountable leaders. It’s time for good governance and for new leadership to be able to say No! to those meddling in the internal affairs of Africa.”

Magufuli is walking the talk and the expectation of the first generation of the African leaders. After political independence, economic and mental emancipation are remaining key challenges for Africa today, and JPM is taking them head on.

That is why October the 28th, is not only an election day for Tanzania, more important, it’s the day to decide the position of Africa in the world and the choice between economic liberation and captivity.

Tanzanians, in the same way you used to be the reliable rear base for the liberation struggles, you are once again holding the key for African emancipation from economic captivity, vote wisely, vote Magufuli for the bright future of Africa.
Sijui sisi watanzania tulikua wapi kudai tume ya Uchaguzi , majirani zetu Kenya wanashangaa, mgombea ndiye anayeteua wajumbe, wakurugenzi na makamishna wa tume kweli tutegemee mkurugenzi atamwangusha aliyempa ugali?? Tuamke tuamke
 
Sijui sisi watanzania tulikua wapi kudai tume HURU ya Uchaguzi , majirani zetu Kenya wanashangaa, mgombea ndiye anayeteua wajumbe, wakurugenzi na makamishna wa tume kweli tutegemee mkurugenzi atamwangusha aliyempa ugali?? Tuamke tuamke
Tulibanwa sana, kumbuka viongozi wa upinzani waliwekwa ndani na account zao kufungwa. Ilidhamiriwa wafungwe jela kama si michango ya wanachama wao. Hapa tulipofika pia ni hatua moja mbele.
 
Back
Top Bottom