Dkt. John Pima aliyekuwa DED Arusha na wenzake wahukumiwa kifungo cha miaka 20 jela

Kuna wakili mmoja msomi ,anaitwa magafu

Hiyo kesi ilipofikia apewe yeye ,kwenye rufani hua ananifurahisha Sana ,sabaya anajua habari gake
 
Duh ,visasi

Ova
 
Hawa jamaa huenda hiyo pesa walikua wanakula wenyewe tu.
Mbona wenzao wanakwiba kila siku tena pesa ndefu mara 30 ya hiyo ya kwao na hawashitakiwi wala nini,?
 
Ingekuwa China risasi zingewahusu.
na ingekuwa Marekani restitution ingewahusu

restitution ya Marekani ukiiba dola mbili utalipa dola mbili, na kifungo kiko pale pale, very sensible crime deterance strategy

hawataki mtu aibe kwa ku test zali, yani ukikamatwa unalipa unaachiwa (Magufuli style), matajiri wanakuwa hawakai jela

na hawataki mtu aibe kimkakati, unavumilia kifungo ukitoka jela unaenda kwenye chimbo lako ulikoficha mabilioni maisha yanaendelea....

.... Marekani hela utaitema.... wanajua kukaza hukumu kuhakikisha kama hela huna unakufa masikini.... huku kwetu huyo Mkurugenzi mwaka kesho utamwona anadunda kwenye V8 VX
 
Raha ni China tu, wangeshakula shaba hao, na ukoo wao mzima kufilisiwa, mpaka marafiki zao wote wanafilisiwa.

Utakuwaje na urafiki na fisadi kama wewe si fisadi?
 
Kuna wakili mmoja msomi ,anaitwa magafu

Hiyo kesi ilipofikia apewe yeye ,kwenye rufani hua ananifurahisha Sana ,sabaya anajua habari gake
RUFAA ya Sabaya ilipigwa Na Wakili Msomi Mosses Mahuna wa Arusha na Hellen Mahuna wa Moshi
 
Haya mambo ya uhujumu uchumi si walisema hayatakuwepo tena baada ya Magu kufa..mbona bado yanaendelea sasa?
Hayatakuwepo Tena kwa maana kwamba wezi wa kiiba wasipelekwe Mahakamani au kwa maana ipi uliyo nayo wewe?
 
Raha ni China tu, wangeshakula shaba hao, na ukoo wao mzima kufilisiwa, mpaka marafiki zao wote wanafilisiwa.

Utakuwaje na urafiki na fisadi kama wewe si fisadi?
Nchi yako wenyewe kila mtu wezi huko

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…