kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Mshana Jr dada'ko kaiba, kahukumiwa miaka 20 jela.
Nchi hii kila mtu huko kwenye nafasi mwizi tu,wakipigana risasi si watamalizanaIngekuwa China risasi zingewahusu.
Duh ,visasiMzee wa Kino ni kwamba huyo jamaa alikuwa kwenye inner circle ya JPM. Kiburi chake sio poa. Kwa Afrika lazima utawala mpya unapoingia madarakani ishughulikie baadhi ya watu. Hata Gambo bungeni harudi. Yule Gambo alishawahi waweka ndani watu waliokuwa wamejichanga kwenda kupeleka rambirambi kwenye msiba wa watoto wa Lucky Vicent. Aliweka utaratibu kuwa rambirambi zote zipitie kwake. Na katika aliowatia ndani kwa sasa baadhi ni vigogo wa awamu ya 6.
Dogo ana majumba Dar Kama nguo, halafu Hana mke, Ni Bata kwa kwenda mbele.Bado Mwakabibi
@Mshana Jr duh
Nchi hii kila mtu mwizi tuDogo ana majumba Dar Kama nguo, halafu Hana mke, Ni Bata kwa kwenda mbele.
Hawa jamaa huenda hiyo pesa walikua wanakula wenyewe tu.Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imewahukumu aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha, Dk John Pima na wenzake wawili kifungo cha miaka 20 jela baada ya kukutwa na makosa ya uhujumu uchumi.
Hukumu hiyo imetolewa leo Alhamisi Agost 31, 2023 na Hakimu Seraphin Nsana, katika kesi namba 5/2023 ya uhujumu uchumi, iliyokuwa inawakabili Dk. Pima, aliyekuwa Mweka Hazina wa jiji la Arusha, Mariam Mshana na aliyekuwa Mkuu wa Idara ya Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji, Innocent Maduhu.
Akisoma hukumu hiyo ya kesi namba 5/2023, mbele ya mahakama hiyo, Hakima Nsana amesema kuwa baada ya kupitia ushahidi wa pande zote mbili, mahakama imewatia hatiani washtakiwa katika kesi ya uhujumu uchumi iliyokuwa inawakabili.
"Kwa kuzingatia maombi ya mawakili wa upande wa washtakiwa, ikiwemo kutokuwa na rekodi ya makosa ya nyuma, utegemezi wa familia na ushirikiano mlioutoa katika kipindi chote cha uendeshaji wa kesi hii, mahakama inawapa adhabu ya kutumikia miaka 20 jela huku miezi 14 mliokuwa kizuizini ukizingatiwa," amesema
Mbali na hilo, washtakiwa wana haki na nafasi ya kukata rufaa katika Mahakama Kuu endapo hawajaridhika na hukumu hiyo.
Mwananchi
Tapeli tu huyo atawakama Mazazwa.
Mnaonaje tumchangie Mshana pesa ya kuziba pengo.Mshana Jr dada'ko kaiba, kahukumiwa miaka 20 jela.
na ingekuwa Marekani restitution ingewahusuIngekuwa China risasi zingewahusu.
Raha ni China tu, wangeshakula shaba hao, na ukoo wao mzima kufilisiwa, mpaka marafiki zao wote wanafilisiwa.na ingekuwa Marekani restitution ingewahusu
restitution ya Marekani ukiiba dola mbili utalipa dola mbili, na kifungo kiko pale pale, very sensible crime deterance strategy
hawataki mtu aibe kwa ku test zali, yani ukikamatwa unalipa unaachiwa (Magufuli style), matajiri wanakuwa hawakai jela
na hawataki mtu aibe kimkakati, unavumilia kifungo ukitoka jela unaenda kwenye chimbo lako ulikoficha mabilioni maisha yanaendelea....
.... Marekani hela utaitema.... wanajua kukaza hukumu kuhakikisha kama hela huna unakufa masikini.... huku kwetu huyo Mkurugenzi mwaka kesho utamwona anadunda kwenye V8 VX
RUFAA ya Sabaya ilipigwa Na Wakili Msomi Mosses Mahuna wa Arusha na Hellen Mahuna wa MoshiKuna wakili mmoja msomi ,anaitwa magafu
Hiyo kesi ilipofikia apewe yeye ,kwenye rufani hua ananifurahisha Sana ,sabaya anajua habari gake
Hayatakuwepo Tena kwa maana kwamba wezi wa kiiba wasipelekwe Mahakamani au kwa maana ipi uliyo nayo wewe?Haya mambo ya uhujumu uchumi si walisema hayatakuwepo tena baada ya Magu kufa..mbona bado yanaendelea sasa?
Mwendo Wa Ngiri Mkia Juu Unawahi TaaHakika hakuna anaejua kesho itakuwaje.
Godbless Lema huwa anasema sana huu msemo. Kesho ni ndefu sana.
Hakika hakuna anaejua kesho itakuwaje.
Godbless Lema huwa anasema sana huu msemo. Kesho ni ndefu sana.
Nchi yako wenyewe kila mtu wezi hukoRaha ni China tu, wangeshakula shaba hao, na ukoo wao mzima kufilisiwa, mpaka marafiki zao wote wanafilisiwa.
Utakuwaje na urafiki na fisadi kama wewe si fisadi?