balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
shughuli zinafanyika DSM ,wakitulia Dodoma itakuwaje?Dokta tutusa ilo
Linaogopa kuwaambia viongozi watulie dodoma linaishia kulaumu magufuli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shughuli zinafanyika DSM ,wakitulia Dodoma itakuwaje?Dokta tutusa ilo
Linaogopa kuwaambia viongozi watulie dodoma linaishia kulaumu magufuli
Mambo hayo yanatakiwa yawepo kabla kuhamia.Sasa si ndio msalato inajengwa.
Tatizo tumeshakariri kila kitu Dar, akili za viongozi wetu ziliishia hapo wakaiacha miji mingine kama Mwanza kuwa dhoofu
Na kuacha raha za Dar ?Ungekuwa kiongozi ungebaki Dodoma??
Siyo kweli kosa Magufuli lipo wapi?...ukihamia sehemu inabidi ukae hukohukoNi kweli, ila ifike kipindi huyo mzee aachwe apumzike huko aliko Kama kuna kupumzika.
Wangetakiwa kuyafanya hayo kina Nyerere tangu walipoamua kuwa mji mkuu uwe DodomaMambo hayo yanatakiwa yawepo kabla kuhamia.