Dkt. Kahyoza: Magufuli alifanya makosa makubwa kuhamishia Serikali Dodoma, gharama zimekuwa mara mbili

Dkt. Kahyoza: Magufuli alifanya makosa makubwa kuhamishia Serikali Dodoma, gharama zimekuwa mara mbili

Huyo Dr. atakuwa punguani kabisa.aliupata udokita Kwa kuandikiwa tafiti uchwara yake.anayesababisha gharama ni huyo mama Yao ambaye amekataa kukaa Dodoma na badala yake amekuwa akikaa sehemu tatu yaani Zanzibar,dar es na dodoma.hivyo Hivyo na watumishi wake. Ili kupunguza gharama huyo mama yenu akae Dodoma na apunguze safari zake zisizo na tija
 
Dkt. Kahyoza ni mtanzania? Uraia wake ? Hawa kina Kahyoza hawa wanajificha kwenye kagera hawa wachunguzwe
 
Taasis na Idara wameweka Namba za simu za Dodoma kwenye mitandao na zote hazipatikani, hata sijui wanahudumiaje wanaotaka huduma zao...
Bora wangeacha tu huko Dar ila wapatikane
Mparee mmoja mjinga sana sijawahi kuona waache namba dar ofisi ziko dar

USSR
 
Dar wanakua wanaoenda kufanya nini?
Makao makuu ya nchi ni Dodoma na ofisi ziko DOdoma nadhani gharama zinakua za watu binafsi wanaoenda shopping Dar.

Nadhani bado kuna watu wanahoma ya Dar na hawapendi Dodoma.
Baada ya miaka kama 10 ijayo itakua imeshazoeleka Dodoma ni makao makuu ya nchi na hizi homa za Dar zitakua zimeisha.
 
Kosa alifanya Nyerere back in 1973...Aliamua kuhamia dodoma bila ya yeye mwenyewe kuhamia kule...kama angehamia kikweli kweli dodoma, 50 years now Govt capital ingekuwa dodoma na Dsm ikabaki kuwa port and business capital.

Unfortunately baada yake hakuna Raisi aliyependa kwenda Dodoma, somehow, somewhere alitakikana mtu wa kufanya maamuzi, twende dodoma au tubaki Dsm na hicho ndicho Jiwe alikifanya...CCM kwa kuwa ni genge la wanafiki wamekuwa wakikwepa mjadala huu. Ilitakiwa baada ya Julius Nyerere waamue ikiwa dhamira ya Dodoma ingalipo au imekufa na mwasisi wake in 1999.

Kumlaumu hayati mwendazake kwa kufanya maamuzi ambayo chama kimejinasibisha kwayo tangu 1973 siyo haki na hivyo huyo msomi hakutenda haki!
Dodoma is a right decision - wanaolaumu Mungu aendelee kuwapa maisha marefu wote watabadili misimamo

Mbongo bila lawama na kukosoa hujisikia kilema
 
Kila alipogusa magu ni hasara tupu tunajikaza tu.
Mtaalamu wa masuala ya Uchumi, Dr. Bravious Kahyoza amesema uamuzi wa Serikali kuhamia Dodoma ulikuwa ni kosa kubwa kwasababu umeongeza gharama zaidi za uendeshaji ikiwemo kutumia vibaya fedha za Walipa Kodi.

Ametolea mfano Safari za Viongozi na Watumishi ambao mara kwa mara wanaenda Dar au Dodoma kwa Ndege na wakati huo Magari yanasafiri kuwafuata Airport na kuwapeleka kwenye shughuli zao na baadaye wanarejea kwa Ndege tena huku magari yakiwafuata kwa njia ya Barabara.
View attachment 3017571
Pia Soma: Ilikuwa ni jambo jema Serikali kuhamia Dodoma maana Kivukoni na Posta ni Bandarini, Ashukuriwe Shujaa Magufuli!
 
Pumbavu kabisa
Kwa style hii, nimeghairi kusoma PHd kama hawa ndio phd holders wenyewe. Hovyo kabisa. Yan hapo Baba Levo ndio utafikiri msomi wa phd kuliko hiyo jamaa
 
Mtaalamu wa masuala ya Uchumi, Dr. Bravious Kahyoza amesema uamuzi wa Serikali kuhamia Dodoma ulikuwa ni kosa kubwa kwasababu umeongeza gharama zaidi za uendeshaji ikiwemo kutumia vibaya fedha za Walipa Kodi.

Ametolea mfano Safari za Viongozi na Watumishi ambao mara kwa mara wanaenda Dar au Dodoma kwa Ndege na wakati huo Magari yanasafiri kuwafuata Airport na kuwapeleka kwenye shughuli zao na baadaye wanarejea kwa Ndege tena huku magari yakiwafuata kwa njia ya Barabara.
View attachment 3017571
Pia Soma: Ilikuwa ni jambo jema Serikali kuhamia Dodoma maana Kivukoni na Posta ni Bandarini, Ashukuriwe Shujaa Magufuli!
Tatizo sio Magufuli tena,Tatizo ni hao Watumishi ambao hawataki kuhamia Dodoma moja kwa moja
 
Angekuwa na maana kama angesema serikali ya ccm ilifanya makosa makubwa sana kuteua dodoma kama makao makuu ya nchi. Maana kama ni kuhamia ilikuwa ni lazima waamie haijalishi ni awamu gani.

Magufuli angekuwa amefanya makosa kuhamishia serikali dodoma endapo kama mpango huo usingekuwepo tangu awali.
 
Back
Top Bottom