Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 3,230
- 6,742
Hivi unajua gharama ya kutengeneza hiyo mifumo??, nahisi hizo gharama za kuhamia Dodoma zina unafuu mara mbiliMkuu Dunia ya sasa hivi umbali sio ishu, uwekezaji wa teknolojia ya kisasa na kiu salama na ulinzi inatosha.
Nchi nyingi duniani miji mikuu yao ipo ufukweni na zina usalama hiyo sio sababu hata kidogo.
Sasa hiyo ni shida ya makao makuu kuhama au shida ya wafanya kaz kukosa usimamiz na kuwa disciplined??Acha hizo Sasa unahamishia makao makuu Dodoma Halafu kutwa unashinda saluni kujipodoa Dar es salaam badala ya kukaa ofisini Dodoma unaona ni sawa Hilo?
Wizara kama 4 na tasisi kibao zilikuwa majengo ya kukodi,anza na ya ujenzi,Tutajie ,Kwa mfano ni Wizara.ngapi zilikuwa zinapanga ?
I have to comment here.nimelifundisha pale KIU ni boya haswa, siku zingine nikalikuta tena linafundisha 🤣
Kwa Maoni au maelezo yako haya ndio unajiona kwamba una fikra nzuri??? Seriously???Ukiwa na fikra nzuri huwezi kuyasema ulio ya sema, huwezi kukaa kusubiri sababu kwenye kitu unachojua ni mpango wa lazima unao paswa kutekelezwa. Basi namimi nikuulize, kwanini ilibidi kusubiri sababu ili kuhanisha mako makuu Dodoma?
Ni sawa ndiyo, kwani kuna ubaya gani??? Kwanza kitendo Cha kutawanya miji ya Serikali katika maeneo tofauti tofauti ya nchi kuna faida nyingi zaidi kuliko hasara. Kiendo Cha kuiweka au kurundika miji hiyo (Ofisi hizo) sehemu moja tu Kuna hasara zaidi, faida mojawapo ya kutawanya miji ya Serikali ni kufanya miji husika kuwa na maendeleo makubwa hence kuwa na Uchumi mkubwa.Kwani bunge kua dodoma na office za mawaziri kua dar uliliona ilo ni sawa? Swala la kutokua na mji wa kiserikali unaliona ni sawa?
Kwa mtazamo wako wewe ni bora kuliko cabinet iliyoiona Tz kabla yako! Jibu lako ni good alignment of cities accordingly to the geographical status ya nchi na kutoa fulsa kwa central zone kua na potential kubwa kiuchumi. pande zake zote zina jibeba na kubebwa na majiji husika kwa resources kamili bila kuhitaji kitu cha ziada sasa nikulize Dodoma inanini?Kwa Maoni au maelezo yako haya ndio unajiona kwamba una fikra nzuri??? Seriously???
Remember, I'm not among of the short-sighted mind persons like you.
Je, sababu zipi hasa za mwanzo kabisa ambazo ziliifanya Serikali ya nchi hii ya Tanzania kufikiria kuhamishia Makao yake makuu mjini Dodoma badala ya Dsm????? Jibu kwanza swali hili.
Sasa mwemyewe ushasema wana majimbo then unafanisha na Tz kweli!!Ni sawa ndiyo, kwani kuna ubaya gani??? Kwanza kitendo Cha kutawanya miji ya Serikali katika maeneo tofauti tofauti ya nchi kuna faida nyingi zaidi kuliko hasara. Kiendo Cha kuiweka au kurundika miji hiyo (Ofisi hizo) sehemu moja tu Kuna hasara zaidi, faida mojawapo ya kutawanya miji ya Serikali ni kufanya miji husika kuwa na maendeleo makubwa hence kuwa na Uchumi mkubwa.
Nakupa mfano Mdogo mmoja tu:
Nchi ya Afrika ya Kusini kuna miji mitatu ya Serikali, Yaani makao makuu ya mihimili yote mitatu ya Dola (Ikulu, Bunge na Mahakama) imewekwa katika miji tofauti tofauti kabisa ambayo ipo katika Mikoa (Majimbo) tofauti, miji hiyo ya Serikali ipo umbali mrefu kutoka kwenye mji mmoja hadi mji mwingine.
Mathalani;
1. Ikulu ya Rais ipo katika Mji wa Pretoria.
2. Makao Makuu ya Mhimili wa Mahakama yapo katika mji wa Bloemfontein, takribani umbali wa kilomita 400 kutoka Pretoria.
3. Bunge lipo ktk mji wa Cape Town, takribani kilomita 900 kutoka Pretoria.
Miji yote hiyo Ina maendeleo makubwa kutokana na kuwepo kwa makao makuu ya mojawapo ya mihimili ya Dola.
Therefore, no research no right to speak.
Aache ujinga,mara nyingi nampinga Magufuli na mambo yake mengi ila Kwa Hili sijawahi Pinga.Mtaalamu wa masuala ya Uchumi, Dr. Bravious Kahyoza amesema uamuzi wa Serikali kuhamia Dodoma ulikuwa ni kosa kubwa kwasababu umeongeza gharama zaidi za uendeshaji ikiwemo kutumia vibaya fedha za Walipa Kodi.
Ametolea mfano Safari za Viongozi na Watumishi ambao mara kwa mara wanaenda Dar au Dodoma kwa Ndege na wakati huo Magari yanasafiri kuwafuata Airport na kuwapeleka kwenye shughuli zao na baadaye wanarejea kwa Ndege tena huku magari yakiwafuata kwa njia ya Barabara.
View attachment 3017571
Pia Soma: Ilikuwa ni jambo jema Serikali kuhamia Dodoma maana Kivukoni na Posta ni Bandarini, Ashukuriwe Shujaa Magufuli!
Magufuli alimaanisha serikali ihamie Dom...na nina uhakika alikua na mpango wa kusitisha hili la matumizi mabaya ya pesa ...meaning alitaka serikali ihamie 100% Dodoma Ila sasa tunajua kitu kitakua vizuri mwanzilishi akikifanya mwenyewe sasa hiv ...serikali iliyopo ni kama bado unaona dar inahitajika ndo mana unaona hayaMtaalamu wa masuala ya Uchumi, Dr. Bravious Kahyoza amesema uamuzi wa Serikali kuhamia Dodoma ulikuwa ni kosa kubwa kwasababu umeongeza gharama zaidi za uendeshaji ikiwemo kutumia vibaya fedha za Walipa Kodi.
Ametolea mfano Safari za Viongozi na Watumishi ambao mara kwa mara wanaenda Dar au Dodoma kwa Ndege na wakati huo Magari yanasafiri kuwafuata Airport na kuwapeleka kwenye shughuli zao na baadaye wanarejea kwa Ndege tena huku magari yakiwafuata kwa njia ya Barabara.
View attachment 3017571
Pia Soma: Ilikuwa ni jambo jema Serikali kuhamia Dodoma maana Kivukoni na Posta ni Bandarini, Ashukuriwe Shujaa Magufuli!
Sahihi sana.Kosa alifanya Nyerere back in 1973...Aliamua kuhamia dodoma bila ya yeye mwenyewe kuhamia kule...kama angehamia kikweli kweli dodoma, 50 years now Govt capital ingekuwa dodoma na Dsm ikabaki kuwa port and business capital.
Unfortunately baada yake hakuna Raisi aliyependa kwenda Dodoma, somehow, somewhere alitakikana mtu wa kufanya maamuzi, twende dodoma au tubaki Dsm na hicho ndicho Jiwe alikifanya...CCM kwa kuwa ni genge la wanafiki wamekuwa wakikwepa mjadala huu. Ilitakiwa baada ya Julius Nyerere waamue ikiwa dhamira ya Dodoma ingalipo au imekufa na mwasisi wake in 1999.
Kumlaumu hayati mwendazake kwa kufanya maamuzi ambayo chama kimejinasibisha kwayo tangu 1973 siyo haki na hivyo huyo msomi hakutenda haki!
Umeacha kumeza Dawa zako, kwanini?Mkuu heshima kwako. Aachwi mtu. Yani magu katuweka pabaya hadi kutufanya tukufuru na kumtendea Mungu mabaya kukaa meza moja na shetani kujadiliana jinsi atakuwa extradited back to the world to face all the atrocities he committed against Tanzanians from murder, rape, extortion, homicide, terror, robbery, theft, banditry, fraud, corruption, udultry, gossip/backbiting, witchcraft, fabrication name them all.
Etwege johnthebaptist
Sisi tunachojua mji wetu wa dodoma umepata maendeleo makubwaKulikuwa hakuna sababu ya maana ya kuendelea kuwa na ulazima wa kuhamishia makao makuu ya nchi Dodoma.
Miaka ijayo serikali itarudi mazima Dar achana na hawa wa sasa wanaoingia na kutoka leo wapo Dar kesho wapo Dodoma ni kama wanafanya kiuoga uoga,nani akae Dodoma mji vumbi tupu! Watu wenye akili timamu mnateketeza mabilioni ya fedha kwa ajili ya kumfurahisha mzimu unaoitwa Nyerere maana ndiyo ilikuwa sababu yake hiyo ,ooh Nyerere kasema!
Tawi la benki kuu lipo mkuuIkiwa ofisi iko DODOMA, huku Dar wanafuata nini? Wakae huko huko tu. Ikulu iko huko, Bunge huko, wanakosa Banki Kuu tu na upepo wa baharini.
Bila hivi dodoma na miji jirani isingeendeleaSayansi na Technolojia vimekua sana, hakukuwa na umuhimu wowote ule wa kutumia fedha yote ile kuhamishia makao makuu Dodoma. Wangeboresha mifumo ya TEHAMA na kuwekeza zaidi kwenye software infrastructure. Aliyefanya maamuzi haya hakuwa mzalendo kwa nchi yake hata kidogo.
Hoja ya vumbi na hali ya hewa haina mashiko ,hivi dar ndio kuna hali ya hewa nzuri ? ,kama wanaogopa vumbi mbona wanapenda sana kwenda dubai hivi kati ya dodoma na dubai wapi kwenye vumbi sana maana dubai ni jangwaYeye mama mwenyewe Dodoma hapapendi Hali ya hewa mbaya na ni vumbi na 70% ya MDA wake Yuko Dar,!
Kwa hilo unamuonea, Kahyoza 'No omwana waitu sisisi'Dkt. Kahyoza ni mtanzania? Uraia wake ? Hawa kina Kahyoza hawa wanajificha kwenye kagera hawa wachunguzwe
Hakuna ofc itakayorud dar huo ni mtazamò wako , ùwekezaji unaoendelea dar unauhusiano gani na kurudisha ofc dar?,mbonà hata dom kuna uwekezaji mkubwa unaendelea ,airport,barabara,hotels,Mkuu Marais waliofuata baada ya Nyerere hawakuona sababu ya msingi ya kuhamia Dodoma licha maamuzi ya chama. Kitisho cha mashambulizi kilishatoweka.
Pili, mambo na maamuzi hubadilika kulingana na wakati na maendeleo ya teknolojia.
Anachosema Dr. Hapo ni matokeo hasi na hasara ya maamuzi ya kukurupuka.
Mkuu ukweli ni kwamba kwa mwenendo huu na uwekezaji unaoendelea Dar es salaam miaka 10 mingine ijaayo ofisi zote zitakuwa zina operate kutoka Dar es salaam kama kawaida.