Tetesi: Dkt. Kalemani kupewa mifugo huku Ndaki akipigwa chini

Tetesi: Dkt. Kalemani kupewa mifugo huku Ndaki akipigwa chini

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Duru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dkt. Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi.

Mabadiriko hayo pia yatagusa baadhi ya wizara na ikitabiriwa bwana January Makamba atahamishiwa wizara ya madini huku anayehudumu madini bwana Biteko atahamishiwa nishati.

Mungu ibariki Tanzania.
 
Duru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dk Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi...
Source?
 
Duru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dk Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi...
Akina makamba,nape hao hawagusiki ni kuhamishwa tu
 
Duru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dk Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi.

Mabadiriko hayo pia yatagusa baadhi ya wizara na ikitabiriwa bwana January Makamba atahamishiwa wizara ya madini huku anayehudumu madini bwana Biteko atahamishiwa nishati.

Mungu ibariki Tanzania.
Mwigulu bado ata kuwepo?
 

Attachments

  • JamiiForums63784684.jpeg
    JamiiForums63784684.jpeg
    62.2 KB · Views: 9
Duru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dk Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi.

Mabadiriko hayo pia yatagusa baadhi ya wizara na ikitabiriwa bwana January Makamba atahamishiwa wizara ya madini huku anayehudumu madini bwana Biteko atahamishiwa nishati.

Mungu ibariki Tanzania.
Hakuna aliyewahi kupatia teuzi zozote za Rais Samia so acha uzushi..

Mwisho hii tabia ya kubadilisha badilisha Mawaziri haina afya,waachwe kwa mda wa kutosha wafanye maono yao..
 
Back
Top Bottom