Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaDuru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dkt. Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi.
Mabadiriko hayo pia yatagusa baadhi ya wizara na ikitabiriwa bwana January Makamba atahamishiwa wizara ya madini huku anayehudumu madini bwana Biteko atahamishiwa nishati.
Mungu ibariki Tanzania.
Ingependeza kama na yule Mbunge aliyekuwa CEO wa CRDB angejaribiwa hasa kwenye wizara ya fedha.Duru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dkt. Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi.
Mabadiriko hayo pia yatagusa baadhi ya wizara na ikitabiriwa bwana January Makamba atahamishiwa wizara ya madini huku anayehudumu madini bwana Biteko atahamishiwa nishati.
Mungu ibariki Tanzania.
Bora nyie ambao mnao unao katika katika, huku kwetu kuna mtanzania tangu azaliwe hajawahi kuona kitu umemeNdio umeme utaacha kukatika?
Eti waachwe, pathetic,unafikiri kila mteule ana maono?,wengine ni fadhila tuHakuna aliyewahi kupatia teuzi zozote za Rais Samia so acha uzushi..
Mwisho hii tabia ya kubadilisha badilisha Mawaziri haina afya,waachwe kwa mda wa kutosha wafanye maono yao..
Abaki hukihuko hatumtaki bwana FebruaryDuru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dkt. Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi.
Mabadiriko hayo pia yatagusa baadhi ya wizara na ikitabiriwa bwana January Makamba atahamishiwa wizara ya madini huku anayehudumu madini bwana Biteko atahamishiwa nishati.
Mungu ibariki Tanzania.
kipara apewe kazi na ajiraKipara apewe madini tumekwisha.
Kwa nini?😀Abaki hukihuko hatumtaki bwana February
Kweli umechemsha kwenye huu uzi.Duru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dkt. Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi.
Mabadiriko hayo pia yatagusa baadhi ya wizara na ikitabiriwa bwana January Makamba atahamishiwa wizara ya madini huku anayehudumu madini bwana Biteko atahamishiwa nishati.
Mungu ibariki Tanzania.
Duru zinasemaje pande hizo za magogoni?Duru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dkt. Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi.
Mabadiriko hayo pia yatagusa baadhi ya wizara na ikitabiriwa bwana January Makamba atahamishiwa wizara ya madini huku anayehudumu madini bwana Biteko atahamishiwa nishati.
Mungu ibariki Tanzania.
Yawayo, yapo.Duru zinasemaje pande hizo za magogoni?
UMESIKIA wapi?Duru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dkt. Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi.
Mabadiriko hayo pia yatagusa baadhi ya wizara na ikitabiriwa bwana January Makamba atahamishiwa wizara ya madini huku anayehudumu madini bwana Biteko atahamishiwa nishati.
Mungu ibariki Tanzania.
Kushinda nguvu ya Rais?Sukuma gang inanguvu[emoji86][emoji86][emoji86]
Tabiri ni nyingi,wanasema mama akitoka Kenya tena 🤣🤣🤣 kuna jamboUMESIKIA wapi?
Huyo January Makamba aondolewe kabisa aisee, Hataweza popote.Duru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dkt. Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi.
Mabadiriko hayo pia yatagusa baadhi ya wizara na ikitabiriwa bwana January Makamba atahamishiwa wizara ya madini huku anayehudumu madini bwana Biteko atahamishiwa nishati.
Mungu ibariki Tanzania.
Huyo bora aondolewe apewe uongozi kwenye chama hukoKipara apewe madini tumekwisha.
Mhhh...mauaji tena[emoji848], ya nani?Huyu lazima alihusika kwenye mauaji, hawezi kuagiza yutong 60 baada ya kuiba hela za "matibabu".