Mteghanyi Kighobo
Member
- Jan 30, 2016
- 55
- 40
Prezidaa materialHuyo angepumzishwa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Prezidaa materialHuyo angepumzishwa tu
Tanzania sihami walahi,nyie mnaomba Visa kwenda ughaibuni nendeni tu!Unaondokaje kwenye stress free country kama hii!!!Naomba atuondolee anaye temea mate bendera yetu. Amuondoe.
TaifaGas Sales and Distribution Manager aende Foreign akamsaidie yule Bibi anaye chekacheka muda wote!Kipara apewe madini tumekwisha.
Nadhani wahusika waliotajwa humu wakisikia hizi tetesi hata moral ya kufanya kazi na kufikiri kwa ajili ya ubunifu inashuka hata ingekua mimi.Hakuna aliyewahi kupatia teuzi zozote za Rais Samia so acha uzushi..
Mwisho hii tabia ya kubadilisha badilisha Mawaziri haina afya,waachwe kwa mda wa kutosha wafanye maono yao..
Hii nchi hata Yes akija kuwa Waziri bado haisadiii kitu,Duru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dkt. Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi.
Mabadiriko hayo pia yatagusa baadhi ya wizara na ikitabiriwa bwana January Makamba atahamishiwa wizara ya madini huku anayehudumu madini bwana Biteko atahamishiwa nishati.
Mungu ibariki Tanzania.
🤣🤣🤣Hii nchi hata Yes akija kuwa Waziri bado haisadiii kitu,
Hapa umechemka. January haondoki hapo na Kalemani hana chakeMabadiriko hayo pia yatagusa baadhi ya wizara na ikitabiriwa bwana January Makamba atahamishiwa wizara ya madini huku anayehudumu madini bwana Biteko atahamishiwa nishati.
Ana nini cha pekee hata awe na tumaini la watanzania wote. Au familia yake anaiita Tanzania?Mwigulu ni tumaini la Watanzania mkuu hivyo ni lazima awemo [emoji51][emoji51][emoji51]
Una uhakika gani kuwa kila anayeteuliwa ana maono?Hakuna aliyewahi kupatia teuzi zozote za Rais Samia so acha uzushi..
Mwisho hii tabia ya kubadilisha badilisha Mawaziri haina afya,waachwe kwa mda wa kutosha wafanye maono yao..
Huyu afungwe jiwe atosweHii yote haina tija kama MWIGULU LAMECK NCHEMBA bado atakuwepo.
Umejuaje?au upo ikulu na mama mnapanga toa huyu,weka huyu 😁😁😁Nape mnauye anakwenda tamisemi
Hivi muongo mujarubi hawamuoni? Lakini nimeuliza tuDuru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dkt. Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi.
Mabadiriko hayo pia yatagusa baadhi ya wizara na ikitabiriwa bwana January Makamba atahamishiwa wizara ya madini huku anayehudumu madini bwana Biteko atahamishiwa nishati.
Mungu ibariki Tanzania.
Ndio nani huyoHivi muongo mujarubi hawamuoni? Lakini nimeuliza tu
Stop nonsense speculationsDuru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dkt. Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi.
Mabadiriko hayo pia yatagusa baadhi ya wizara na ikitabiriwa bwana January Makamba atahamishiwa wizara ya madini huku anayehudumu madini bwana Biteko atahamishiwa nishati.
Mungu ibariki Tanzania.
Wenyewe wanamjua profNdio nani huyo
ACHA KUPIGA RAMLIDuru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dkt. Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi.
Mabadiriko hayo pia yatagusa baadhi ya wizara na ikitabiriwa bwana January Makamba atahamishiwa wizara ya madini huku anayehudumu madini bwana Biteko atahamishiwa nishati.
Mungu ibariki Tanzania.