Tetesi: Dkt. Kalemani kupewa mifugo huku Ndaki akipigwa chini

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Duru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dkt. Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi.

Mabadiriko hayo pia yatagusa baadhi ya wizara na ikitabiriwa bwana January Makamba atahamishiwa wizara ya madini huku anayehudumu madini bwana Biteko atahamishiwa nishati.

Mungu ibariki Tanzania.
 
Source?
 
Akina makamba,nape hao hawagusiki ni kuhamishwa tu
 
Mwigulu bado ata kuwepo?
 
Hakuna aliyewahi kupatia teuzi zozote za Rais Samia so acha uzushi..

Mwisho hii tabia ya kubadilisha badilisha Mawaziri haina afya,waachwe kwa mda wa kutosha wafanye maono yao..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…