Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Source?Duru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dk Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi...
Kalemani arudi Nishati anapaweza snDuru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa...
Nani tena huyo?!Naomba atuondolee anaye temea mate bendera yetu. Amuondoe.
Angeanza naye kabisa,anaidhalilisha degree ya UCHUMINaomba atuondolee anaye temea mate bendera yetu. Amuondoe.
Huyo angepumzishwa tuKipara apewe madini tumekwisha.
Ndio sahihiKalemani arudi Nishati anapaweza sn
Akina makamba,nape hao hawagusiki ni kuhamishwa tuDuru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dk Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi...
Mwigulu bado ata kuwepo?Duru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dk Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi.
Mabadiriko hayo pia yatagusa baadhi ya wizara na ikitabiriwa bwana January Makamba atahamishiwa wizara ya madini huku anayehudumu madini bwana Biteko atahamishiwa nishati.
Mungu ibariki Tanzania.
Yan ndio anasogezwa jikoni kabisa apige tukiwa atujui maana huku nishati umeme ukikatika tu tunae,anaenda kufichwa huko alie kivuliniKipara apewe madini tumekwisha.
Mwigulu ni tumaini la Watanzania mkuu hivyo ni lazima awemo 😬😬😬Mwigulu bado ata kuwepo?
Hakuna aliyewahi kupatia teuzi zozote za Rais Samia so acha uzushi..Duru zinatabanaisha huenda Rais Samia akafanya mabadiriko kwenye baraza la mawaziri hivi karibuni huku ikitarajiwa Dk Kalemani kurejeshwa kwenye baraza tarajiwa na atapewa ahudumu wizara ya mifugo wakati huohuo aliyepo sasa ikitarajiwa atafutwa kazi.
Mabadiriko hayo pia yatagusa baadhi ya wizara na ikitabiriwa bwana January Makamba atahamishiwa wizara ya madini huku anayehudumu madini bwana Biteko atahamishiwa nishati.
Mungu ibariki Tanzania.
Ndio umeme utaacha kukatika?bora arudi kalemani sio huyu mboga iliyochacha
Mwigulu ni Waziri wa Fedha hadi 2035 kwa hiyo usijihangaishe bure.Naomba atuondolee anaye temea mate bendera yetu. Amuondoe.