Tetesi: Dkt. Kalemani kupewa mifugo huku Ndaki akipigwa chini

Aamina [emoji2972]
Makamba akae nyumbani kama kina Lukuvi walahi!
 
Wataalam wameshindwa hasa kwenye uwaziri. Inavyo onekana Ili uwe waziri Bora inaitajika uwe na projo nyingi kuliko ujuzi.

Lejea afya , Dk Davide Mwacyusa , na Dk Gwajima hawajakaa sana.

Miundo mbinu wamepita ,DkShukuru kwambwa, mhandisi Isaki kamwelwe, mhandisi Greson Lwenge , hao wote hawajaweza kufurahisha hadila.

Elim nako hivohivo.
 
Mhhhh!

Tujiulize ameacha majanga mangapi kwenye Wizara aliyokuwa anaiongoza ndio aje arudishwe tena.

Ina maana hakuna Wabunge ambao wana uweledi wa kuongoza wapewe hizo Wizara kuliko kuwarudisha tena wale walioshindwa kuongoza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…