Uchaguzi 2020 Dkt. Kavishe: Wawakilishi wa CHADEMA waliomba Tundu Lissu apunguziwe adhabu, maana yake walikiri kosa

Uchaguzi 2020 Dkt. Kavishe: Wawakilishi wa CHADEMA waliomba Tundu Lissu apunguziwe adhabu, maana yake walikiri kosa

Kavishe ni mwepesi sana. Subiri Lissu awachezeshe ngoma. Lissu anawataftia gogoro zito la kidiplomasia kama hamna habari....this time mmekalia kuti kavu. Lissu Lissu Lissu dawa ya utawala mbaya wa magufuli
Lisu amepatikana bwashee!
 
Katibu wa kamati ya maadili ya tume ya uchaguzi Dr Kavishe amesema wawakilishi wa Chadema waliomwakilisha Tundu Lisu waliomba adhabu ipunguzwe na hii maana yake ni kuwa wamekiri kosa.

Kavishe amesema wajumbe wa kamati walibishana sana na hatimaye busara ilitumika kwa maslahi mapana ya taifa adhabu ilipunguzwa na kuwa kifungo cha kutofanya kampeni kwa siku saba (7)

Source: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Huyo dk kavishe anashikiwa akili na mahera na wajinga wenzake,arudi rombo akanywe viroba
 
[emoji16] [emoji2] [emoji1]
 
Katibu wa kamati ya maadili ya tume ya uchaguzi Dr Kavishe amesema wawakilishi wa Chadema waliomwakilisha Tundu Lisu waliomba adhabu ipunguzwe na hii maana yake ni kuwa wamekiri kosa.

Kavishe amesema wajumbe wa kamati walibishana sana na hatimaye busara ilitumika kwa maslahi mapana ya taifa adhabu ilipunguzwa na kuwa kifungo cha kutofanya kampeni kwa siku saba (7)

Source: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!

Pumbavu. Nimemsikia Kavishe usiku huu akiongea tbccm kwa jazba na hofu Kama mtu anayeogopa kutahiriwa. Ngoja sasa mtaalamu Lissu apangue huu ulofa wa mawazo. Jiwe amekiuka maadili waziwazi na makubwa. Ngoja meza ipinduliwe heshima ijengwe upya.
 
Dkt. Kavishe ebu tupiapo kapicha upo na wawakilishi wa Tundu Lissu. Nyie chezeni na petroni mbugani kuna watu wana viberiti. Sijui mnatafuta nini. Na kwanini mnafanya vitu sirini?
 
Kwani mtu kuwa na mwanasheria mzungu hapa Tanzania ni kosa?Na nimeshakuonya kuwa mtu anaekupa mkate wako wa kila siku huwezi kumkejeli kwa kumwita kuwa ni beberu au kibaraka,huo ni upumbavu wa kiwango cha Mr.Polepole!Bila wazungu ni hakuna miradi ya maendeleo Tanzania kama vile miradi ya maji,umeme,shule,afya,barabara,etc

- lkn WAZUNGU kwa kawaida hawatutakii mema ! Usipokua makini kwa kiwango cha MAGUFULI wataiba kila kitu...
 
Katibu wa kamati ya maadili ya tume ya uchaguzi Dr Kavishe amesema wawakilishi wa Chadema waliomwakilisha Tundu Lisu waliomba adhabu ipunguzwe na hii maana yake ni kuwa wamekiri kosa.

Kavishe amesema wajumbe wa kamati walibishana sana na hatimaye busara ilitumika kwa maslahi mapana ya taifa adhabu ilipunguzwa na kuwa kifungo cha kutofanya kampeni kwa siku saba (7)

Source: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!

Taifa lina maslahi gani kwenye haya jamani?
 
Katibu wa kamati ya maadili ya tume ya uchaguzi Dr Kavishe amesema wawakilishi wa Chadema waliomwakilisha Tundu Lisu waliomba adhabu ipunguzwe na hii maana yake ni kuwa wamekiri kosa.

Kavishe amesema wajumbe wa kamati walibishana sana na hatimaye busara ilitumika kwa maslahi mapana ya taifa adhabu ilipunguzwa na kuwa kifungo cha kutofanya kampeni kwa siku saba (7)

Source: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!

Wawakilishi wa Lissu walikuwa kina nani? Au ni kina chakubanga?

Hukumu gani au kesi gani huendeshwa dhidi ya mtuhumiwa bila yeye kuwapo au akiwakilishwa na wawakilishi wasiojulikana?

Hukumu ya hiyo kamati ni ya kupuuza.
 
Katibu wa kamati ya maadili ya tume ya uchaguzi Dr Kavishe amesema wawakilishi wa Chadema waliomwakilisha Tundu Lisu waliomba adhabu ipunguzwe na hii maana yake ni kuwa wamekiri kosa.

Kavishe amesema wajumbe wa kamati walibishana sana na hatimaye busara ilitumika kwa maslahi mapana ya taifa adhabu ilipunguzwa na kuwa kifungo cha kutofanya kampeni kwa siku saba (7)

Source: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!

Tangu lini kosa la mtu mwingine analokanusha akakiri mwakilishi?

Huyu naye atakuwa daktari wa jalalani kama yule propesa!
 
Back
Top Bottom